Wadau moderm yangu inasumbua kuconect.. ni hizi za universal sasa toka ninunue iliwahi kubali line ya voda mara moja baada ya hapo imenigomea kabisa!
Kama kuna mtu anajua setting zake au trick...
Umeme wa uhakika kwa masaa 24 kwa Tanzania bado ni tatizo sana kwa sehemu nyingi, pia kwa watu wanaoishi maeneo yenye joto kali kama mikoa ya dar es salaam hulazimika kuwa na fan au air...
Kazi yetu mpya ya tovuti (website) toka
www.africanbase.net unahitaji tovuti kwa biashara zako? Mobile app? Graphics/logo design katika brand yako? Wasiliana nasi Leo whatsapp +255753 149 701
Call...
Hakuna blogger asiejua ya kwamba bila watembeleaji kwenye blog zetu hatuwezi kuingiza dollar, ili mambo yawe omunye(safi) inabidi tupate views na hawa views bloggers wengi tunategemea kushare...
Imagine wewe ni dba katika kampuni ya logistic umepewa kazi na boss uonyeshe mizigo inakaa muda gani mpaka inatoka hapa chini naweka table yenye field ya item_id ,handlintype kuonyesha mzigo...
TLDR? Summary: We need to up our game
DISCLAIMER: This post is inspired by just a simple Google search. I'm not perfect in whatever I say hapa chini, I have many shortcomings listed hapo kama...
Hello members. Naombeni mnisaidie satelite , transponder na frequencies recent za startimes maana nataka ni install receiver mpg4 ya star x _x2 plus ila nashindwa.
》Kama kuna mtu mwenye uwezo wa kufuta namba ya simu iliyokuwa imesajiliwa kwenye huduma ya WhatsApp ili isionekane tena kwenye huduma hiyo.
Note; sijamanisha kubadili namba no just kuifuta kabisa...
Assassins Creed Origins With all DLC updates Free Download
Assassins Creed Origins-CPY | Ova Games
Assassins Creed Origins Incl 4 DLCs MULTi15 Repack By FitGirl | Ova Games
whatsapp wameleta new feature ambayo unaweza ukamtumia mtu hela online kutumia app hyo ya what's app. ni nini maoni yako soma zaidi hapa
How To Enable WhatsApp Payment Feature - Techincidents
Wakuu kwenye PC yangu kuna program inaitwa winrar sasa leo nimedownload program moja hivi ya kupimia magari inaitwa delphi, nimeshangaa imemamiliza kudownload imekimbilia kwenye hiyo winrar na...
Am intended to design a simple controller to control an electric circuit with a generator, a motor and two batteries. The circuit has to work as follows, At any instant one battery is driving the...
Assalaam alleikhu ndugu zangu..Matumaini mtakuwa hamjambo na wazima wa afya, nahitaji kujuzwa kuhusiana na International Money Transfer ipi inatakiwa niweze kupokea hela kutoka M-pesa au tigopesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.