Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Polen kwa majukumu Naomba mnifahamishe namna ya kuweka picha JF kwa kutumia simu ya mkononi Ahsanteni
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Habarini wanajukwaa... Samahanini... Naomba kuelekezwa jinsi ya kuzipata na kuinstall MTK drivers kwenye PC yangu, specifically Windows 7 Asante
0 Reactions
3 Replies
2K Views
habari za humu wadau,smartphone yangu inatatizo la kugandaganda kila niitumiapo,nifanye nini ili kuondoa tatizo hili?
0 Reactions
1 Replies
781 Views
Wakuu, natumia Tecno P6, nikiingia playstore na kui search game ya mpira ( Pro evolution soccer 2018 ) inakuja kwenye list ila hainiruhusu niinstall na badala yake nakuta ujumbe ( Your device is...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Chief mkwawa nime delete video yangu moja niipendayo,je nifanyeje ili niipate tena.Android phone
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Msaada waungwana Azam tv app kila nikfungua inasema something went wrong. Nn tatizo????
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji hiyo kitu ya desktop... Pm please
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Samahani naombeni kunisaidia Kwa nini nikiinstall browsers kwenye computer zinagoma kufunguka.
0 Reactions
0 Replies
578 Views
Naomba msaada kila ninapofungua picha kwenye pc yangu napata hiyo meseji Tatizo ni nini? Windows canot find D:/jobs/flags/flags china mchemba. Make sure you typed name correctly, and try again.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
husika na kichwa kuna subwofer sikuizi zina hii switch imeandikwa ac na DC je inafanyaje kazi asante
0 Reactions
2 Replies
37K Views
Hello Guys, Leo nimecheka sana aisee. Nimetembelea Forrum ya TECNO, nikaona wanacompare K7 na Iphone 7 , Japo mimi pia ni mtumiaji wa tecno , ila ni kichekesho cha mwaka kuifananisha Tecno na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za humu ndugu zangu wataalamu wa teknelojia,nina simu yangu aina ya SAMSUNG s7 EDGE inanisumbua sana.. Mwanzoni ilianza kuzima na kuwaka,nikaipeleka kwa wataalamu wa simu ili waweze...
2 Reactions
27 Replies
5K Views
Nna mac pro 2012 Specification HDD 500GB RAM 8GB PROCESSOR 2.5 @GHZ INTEL HD GRAPHICS 4000 512MB hapa naweza kcheza kcheza game zipi Na jinsi gan ya kuinstall izo games kwenye mac hasa game za...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hivi izi hack na ma app yote ya kuforge, ukiyatumia kwenye kompyuta (hasahasa) hawawezi ku locate upande uliopo na wakakukamata, maana nasikia kuna gereza lipo wapi sijui. Ndo lina lea waizi wa...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Wakuu kwa anaefaham tiba ya hii tatizo, nimeletewa simu hapaukiwasha inaleta hilo wenge kama tv iliyokosa antena. Ni tecno W3
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wapendwa nilipotea kwa muda kidogo huku Jf. sasa nimerudi na uzi mpya ambayo tutajifunza online na kuna wajuzi wengi sana humu Tanzania sasa hii ni fursa ya mtanzania kusomea java...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Ijapokua zimeshatumwa sana, post kama hii, bado wana jamii wanapata ugumu wa kutumia modem zao. nasema hivyo kwa sababu nimekuwa ninapata PM nyingi zinohusu ku unlock modem hizo. njia ya bure ni...
5 Reactions
10 Replies
10K Views
Katika pitapita yangu huko Youtube nimekutana na hii kitu, I was interested to try lakini nimeona before nije kwa wajuzi humu ndani japo kupata mawazo, is it worth trying ? Kuna aliyejaribu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wajuzi wa digital camera watupe mawazo yao kuhusu -camera nzuri kwa ( beginners) wanaoanza. -camera za bei nafuu kwa still pictures na za video. -Maujuzi kuhusu lens. -Kuhusu kununua camera eBay...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom