Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wakuu. Ilikua mwaka 2010 nikiwa na wenzangu tukielekea maeneo flani ivi ya beach kwa madhumuni ya kwenda kufurahi. kwa kuwa ilikua ni mbali na tunapoishi ilitulazimu kukodi gari na tulikua...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Wakuu Habarini za majukumu. Niende 1kwa1 kwenye mada tajwa juu. Mimi kijana nimeona bora nirudi kijijini nikalime, lakin pamoja na kilimo naona ili nipate Mia Mia za kujiliwaza nimeona bora niende...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
naombeni msaada wenu jamani ili namimi nijiunge
1 Reactions
17 Replies
10K Views
Naombeni msaada kwa watumiaji wa Blackberry smart phones nina simu yangu hapa ni z3 whatsApp kwenye hii simu iligoma kufanya kazi na kwenye my world nikaifuta nikijua nitairudisha tena sasa...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Husika na kichwa nahitaji zuma revenge game maana nimepata demo tu na nikijaribu kununua nashindwa
0 Reactions
1 Replies
586 Views
Wakuu niko na simu aina ya samsung s7 simu ni yenyewe,lakini code zote zile za samsung na imei zinagoma nilijaribu kugoogle wakaniambia niclear cache partition lakini nimefanyw hvyo bdo hali ni...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Hello wana JF Kama unajua ili swali nisaidieni katika kusoma ipi course nzuri kati ya. Journalism and Mass Communication & Radio na Tv Broadcasting...
0 Reactions
0 Replies
671 Views
Cellular data limit exceeded.. 2.01GB over specified limit Naomba kufahamu tatizo
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu Habari Last Week Katika Kuhangaika Hangaika Kutafuta Flashing Box Ya Kufanya Network Unlocking Ya Tecno N2! Nikakutana Na Uzi Ambao Nishausahau Kutokana Na Haraka Na Ujinga Wa Pupa Ambao...
6 Reactions
56 Replies
16K Views
Habari wakuu, na wataalamu wa Technologia wa JamiiForums Napenda kuchukua nafasi kuwataarifu wale watembeleaji na wanachama wa Mjasiriamali Desk kua tumeongeza features mpya ya utumiaji wa...
0 Reactions
0 Replies
724 Views
Wakuu sana. Nimekua nkitafuta sukuhisho la kutengeneza 'info video" na nimebahatika kukutana na hii application ya wibbitz. Changamoto yake ni kwamba inapatikana kwa demo. 1. Sijawai Purchase...
0 Reactions
0 Replies
679 Views
Bei ni sh 65000tsh zote kwa pamoja Hdd 500 gb Ram 4gb
0 Reactions
1 Replies
625 Views
Habari za Asubuhi wana JF, Naomba Masada Wa kitaaluma if naweza kutumia Whats app application kwenye PC hapa Tanzania,au any App inayofanana Na What App. Shukrani,sorry kwa usumbufu
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wana jf ninahaka kasimu kangu kanazingua sana kananiandikia kamahivyo inavyoonekana kwenye picha nikifungua kalenda,YouTube, Google drive n.k. Nahisi msaada wa tatizo hili jamani.
0 Reactions
0 Replies
611 Views
Wadau Brother HL-3040CN Compact Digital Color Printer with Networking inauzwa kwa bei 1,200,000 tu. Imetumika kidogo kwani ilitumia toner zilizokuja nayo baada ya hapo haikutumika tena kutokana...
0 Reactions
1 Replies
992 Views
Wasallam wana MMU ..................nisuala tata sana kwa wengi wa watumizi wa jamiiforums kupitia computer kuingia jamiiforum au freebasic bure kama ilivyo sawa na watumiz wa simu za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau, Nimekutana na changamoto katika kufanya malipo kwenye akaunti ya Google kwa ajili ya kupata huduma ya Google Play Store. Napata error message "<i>Correct this card info or try a...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wana jamvi wenzangu naomba msaada wa kurudisha picha zangu kwenye simu yangu baada kisimu changu cha tecno kuzingua nikakiflash, je naweza kuzipata tena?? Mwenye ujuzi tafadhali anisaidie
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari! Kama inavyojieleza hapo juu kama una kifaa cha Halotel Ambacho ni simu Model -Model -OXE101 na Model -H8402 njoo inbox au whatsapp tufanye trick tupate GBs Za Intenet Madakika Na Ma-SMS...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
hili ni tatizo la playstation kutokuwaka yani ukiiwasha inawaka taa nyekundu alafu njano alafu kijani inazima inarudi nyekundu, hapa kariakoo mafundi wanajua hilo tatizo kama yellow light...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom