Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari zenu wapendwa katika forum,,nilikuwa naomba msaada wenu kwenye hili natumia tecno p5 tatizo ni kwamba nikiingia instagram video hua zina play audio tu pekee yan video inakuwa ina ganda then...
0 Reactions
2 Replies
703 Views
Wakuu flash disk haitaki kudelete vitu vilivyomo wala ku-format nifanyeje?
0 Reactions
2 Replies
780 Views
Yafuatayo ni magari yenye unafuu katika suala la mafuta, bei na hata upatikanaji wa vipuri 1.Toyota Ist 2.Vits 3.Passo
0 Reactions
10 Replies
11K Views
Habari za usiku wataalamu. natafuta mtaalamu wa kuondoa icloud kwenye iPhone
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wana jamvi, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu naomba mwenye kufahamu jinsi ya kutengeza umeme wa kinyesi cha binadamu anipe somo Natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Naomba msaada plse niliset kwa kutmia control panel , kama admin, sasa nimesahau password , plse assist , nimejalibu nimeshindwa .
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Wana JF msaada wa simu sumsung galax J7 prime, na J7 pro Samsung laini pia hii teminology ya flag ship ina maana gani?
0 Reactions
12 Replies
9K Views
No one enjoys battery issues. It's irritating that when you are already prepared to leave for work in the morning but your car won't start. No one enjoys being stuck somewhere at night because...
1 Reactions
2 Replies
746 Views
Niaje wanajamii naombe msaada wa kudownload season kwenye simu msaada plz
0 Reactions
20 Replies
10K Views
Wakuu habari, Naomba kujua nimesajili na kuunganisha account yangu ya adsense na viblog vyangu viwili lakini hadi sasa wananiamba wanareview sijui nini, nimeseti kila kitu hadi ads place nimeweka...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habaria za mida wakuu, kuna laptop hapa ina tatizo la kutowaka. Tatizo limeanza baada ya kuifungua kwa lengo la kuweka heat compound, sas baada ya kuifunga aitaki kuwaka yani hata ile taa ya...
0 Reactions
4 Replies
677 Views
Habari za siku Mimi sina ujuzi wa haya ila kutokana na changamoto iliyojiteza nyuma sitoizungumzia hivyo naona inanilazimu nitengeneze mimi mwenyewe hii website ndo mana nimekuja hapa nahitaji...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
SMART ambao walikuwa na package ya Unlimited kwa TSH 75,000 kwa mwezi sasa wameongezea lugha ya kibiashara kuwa hiyo "Unlimited" ina kikomo cha 100GB kwa mwezi. Hakuna pa kukimbilia!!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wakuu polen na kazi.nimepata kachance ka kwenda kutafuta kaujuzi.elimu 4m 4B.binafsi nilipendelea nikasome program yoyete mubashara ya computer ambayo kitaani nimarketable...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Nipo iringa na Nina Tsh.350,000 na ninataka kuagiza simu dar. Smartphone yenye prosessor nzur, internal memory yenye uwezo mzuri na camera nzuri. Naombeni ushauri. Aina Ipi ni nzuri kutokana na...
0 Reactions
4 Replies
607 Views
Habari za leo wakuu,Nimetatizika kupata Personal Hospot toka kwenye simu yangu,Kila ninapojitahidi kuunga napata ujumbe huu Naomba msaada mwenye kujua ili niweze kutumia kwenye computer yangu
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Ni solar power machine ya aina gani inayoweza kukausha mazao kama karanga na mihogo iliyotoka shambani ndani ya mda mfupi?
0 Reactions
2 Replies
569 Views
Ni kampuni bora kabisa tunatoa huduma zetu vizuri na warrant ya miaka mitatu yaani pakitokea tatizo tutafanya marekebisho bure ndani ya miaka mitatu ni cctv camera, za wire na wireless, pamoja na...
0 Reactions
0 Replies
941 Views
Write a C program which computes gross salary of an employee. Let your program input the rate of pay, hours worked, and service record in years. When the service record is greater than 10 years an...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom