Wadau nina uhakika kuwa kupitia jukwaa hili nitapatiwa majibu, simu yangu aina tajwa hapo juu imeanza jana kujizima na kujiwasha yenyewe kifupi huwezi kufanya kitu chochote ukijaribu kufungua app...
Kwa Wale Tuliotumiaga Mig33 kipindi cha Nyuma Na Simu zetu za Nokia .. Whatsapp Yetu kubwa Ilikuwaga Ni Mig33 na Group maarufu Nililokuwa naingia Lilikuwa Tigo Tanzania...
Mig33 ilikuwa na utamu...
Naomba msaada wa jinsi ya Ku Root huawei y3II lua L21 ina android 5.1 nime download king Root nika Root ikifikia kwenye asilimia 30% ina ji ristat nikitumia kingoroot ina gom naomba msahada mkuuuu
Salaam Wakuu!
Mie ni mjasiriamali nahitaji kujifunza adobe cc program za Adobe Illustrator, InDesign, Premier, na Photoshop.
Nahitaji mwalimu wa hizo program awe anakuja Kurasini jioni saa kumi...
Ni PC ipi sahihi kwa matumizi ya simulators kama Euro Track2 na Need for the speed.Nimekua nikitumia dell inspiron1500 yenye ukubwa wa RAM 2 Gb processor ya 2.30GHz naimekua inastack sana...
Yani ukinunua MB za Tsh elfu moja, alafu ukanunua pakti moja ya Azam Ice cream, ile bundle itakuwa imekwisha yeyuka na kumalizika fasta kuliko ile aiskrimu kama ukivitumia vyote kwa pamoja...
Habari wana JF, Natumaini wote mko poa na mnaendelea vizuri na majukumu ya kujenge taifa. bila kupoteza muda leo nina maujanja ningpenda kushare na nyie. Njia hii ni rahisi na ya haraka na unaweza...
Habari wadau ,nina samsung s5 , jana ghafla kioo kimeanza kupunguza mwanga kidogokidogo hadi leo hii hakuna hata mwanga yaani kimekuwa black,nikiiwasha screen haionesha ila inawaka na hata mtu...
Nataka kudowload app ya instagram, lkn kila nikijribu inaniletea huo ujumbe kama unavyoonekana kwenye attachment hapa chini, lkn siyo instagram tu hata fb na hata ku updated chrome nayo inagoma...
Msaada wakuu nimenunua PlayStation (ps) dukani sasa nina flash mpya sasa kazi kwenye kudownload game nilijaribu kwenye laptop jana ila nikaambulia patupu msaada wakuu.
sent from my galaxy using...
Wakuu kati kampuni ya Samsung na iPhone ipi ina simu nzuri
-kimuundo
-kukaa na chaji
-security
-camera
Hapa nimeegemea kwa GALAXY NOTE 8 vs iPHONE 8
Karibuni tafadhali
Tafadhali wadau na watalaam,maomba msaada samsung J320A inafanyakazi, ila ikienda kwenye sleep mode baada ya kutotumika kwa dakika chache screen haionyeshi kitu kabisa labda nitoe betri niweke...
Habari ndugu na jamaa,juzi nimeuza simu yangu ila nimependa hizi simu za Infinix ila sijajua ipi nzuri,kuna simu moja nimeona hapa
Sifa na uwezo wa Infinix Hot 5 X559c ~ SmatSkills ina vigezo...
Habarin wana jamvi,.mimi ni mgeni kabisaa kweny mambo yanayohusiana na solar power,.mwenye uelewa zaid anaieleweshe n wapi na ni nitazijuaje solar pannel na betry nzur na imara kwa ajil ya matumiz...
Solar water heaters are manufactured as pressure and non-pressure models. Pressure model (also called high pressure solar heaters) means, water in the tank are under high pressure, it's equal to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.