Habari za leo
Kwanza napenda kutoa shukrani kwa wale walionisaidia kimawazo asa pale nilipouliza kuhusu Adsense,kupitia kuuliza kwangu kuhusu Adsense nikajua kuna vitu kama Propeller ads na...
Youtube wametangaza masharti mapya, ili uweze kutengeneza hela na video za YouTube (monetize) inabidi uwe na Subscribers si chini ya 1,000 na watch hours 4,000 katika siku 365 zilizopita
Kwa...
jamani ndugu zangu wa jukwaa hili habarini, kwa wale ambao wamekuwa wadau wakubwa wa masuala ya Blogging watakubaliana na mimi kwamba ili upate pesa licha ya jitihada zote utazofanya mwisho wa...
Waakuu habarini home natumia evd player au DVD player portable kwa jina jepesi sasa yangu hii machine aisapot mp4 nikidownlod video ya nyimbo au muvi kwenye showbox labda ni lazima niipeleke...
Nimepokea ujumbe kutoka Voda kuwa wataanza kukusanya alama za vidole kuboresha SIM card registration. Hili sijui linatoka kwa Voda au serikalini?
Edit Kang: Post hii imekuwa edited na mods...
Nimefungiwa kutumia Instagram,nahisi mtu amenihack
kila nikiingiza log in details zangu,inaniambia hivi "We Detected An Unusual Login Attempt"
maprofile yote mawili
nifanyaje wakuu?
thanks
Habari wakuu?
Nina simu aina ya Vodafone VDF 301. ambayo inatumia laini mbili moja lazima iwe ya vodacom
Tatzo lipo kwenye kutumia data (internet) imekuwa guided kwa lain one tu ( ambayo ni ya...
Habari,
Nimetengeneza app ya android application ambayo ipo supported kwa android version 4 na kuendelea.. kwa sasa ni final version kwa upande wangu. Ila nitapenda mawazo zaidi kutoka kwenu.
Kwa...
Habari za mida hii wana jukwaa!
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyoeleza nahitaji msaada wa laptop yangu baadhi ya key hazifanyi kazi.
Ninalotaka kujua ni kuwa kuna uwezekano wa kutengeneza...
Wakuu
Changamoto yenyewe ni kuibiwa simu, nilinunua simu Aliexpress (malipo ya Credit card) na pia mtandao wa Banggood.com (kwa malipo ya Paypal) nimeibiwa simu mbili (Theft in Transit) watu...
je kuna umuhimu wowote wa hawa watengenezaji wa laptop kuweka touch screen kwenye laptop hizo. au ni poor design ambayo hawaifikirii ? je wao wanajali soko tu na sio design nzuri pia.
kwa mtazamo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.