Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Jaman habari za mida, kwa wale wataalam wanao jua mambo ya browse naomba kujua ivi nikweli au inawezekana mtu akafanya mambo yake mtandaoni paspo kua na bando? Nakama inawezekana unaunganishaje...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Juzi nilikuwa nataka kuupdate window. ikazingua nikaamua ni reboot. sasa tangu juz inaandika " press [f2] for setup, press [f12] for boot device selection menu. Nimejaribu kubonyeza vyote ila...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimekuwa natumia mara nyingi hii PC tangu 2015 ila miezi michache iliyopita ilianza kuonesha mstari katikati ya Kioo, Mstari huu unafanya nishindwe kutazama video au kutumia baadhi ya Programu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau mnaotumia hii app ya kuangalia movies ya terrarium TV, ninaomba kuuliza ni option gani ambazo hazitumii bando sana na mfano ukifungua movie unakutana na HD-publifilm(streamango) 393 mb...
0 Reactions
0 Replies
906 Views
Habari ndugu wana bodi, naomba mwenye kujua namna ya kustream match za mpira anifundishe, asanteni sana.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanasayansi na wataalamu mliosomea masuala haya..naombeni mwenye utaalamu wa kutengeneza app za simu anifundishe au anitengenezee app ya simu ambayo nitaweza kuweka simulizi...
0 Reactions
1 Replies
969 Views
Habari Wakuu!!! Kwa wale wapenzi wa PC Games, nina Call Of Duty 4 Modern Warfare naitoa bure bila malipo yoyote japo sikukatazi ukinipa hata ela ya vocha. -Nitakuwa nazitoa hizi Game kwa WanaJF...
7 Reactions
351 Replies
29K Views
Jamaa wanajukwaa mwenye ujuzi wowote au experience ya jinsi ya kuifanya Vodafone smart 4 min 785 iweze kutumia line zote yaani isichague line naomba anifahimshe sina mpango wa kubadili simu ila...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu wakuu nilitaka kujua je? Ninaweza kufanyia editing sauti kwa kutumia simu yangu natuma iPhone kuna vipande nataka kuviondoa kwenye hiyo oudio.
0 Reactions
1 Replies
585 Views
Habari za muda huu, naitaji msaada kwa anayefahamu jinsi ya kutoa rar pasword, nilidownload mtk file kwa aili ya ku flash simu lakn imekuja na password, Msaada tafadhali..
0 Reactions
7 Replies
36K Views
Kwa wanozifahamu Xiaomi ni simu za China (wanaziita Chinese apple) mi nina "Xiaomi mi 5c" lakini tangu imefika hapa Tz imekataa kukamata 3g au 4g, msaada plz wa kufix hii mambo
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Naomba msaada app ya android yenye kuweza kufanya convesion ya pdf kwenda word, nimejaribu kutafuta play store lkn zote hizo hazikunisaidia, natanguliza shukrani
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari..Ningependa kuwakaribisha beatmakers ile tuweze kupeana maujuz na kujadili vitu mbalimbali vinavyohusiana na utengenezaji wa beats (instrumentals).... #pia nikuunge kwnye group la whatsap...
0 Reactions
5 Replies
880 Views
Habari wajukwaa nawengine kwa ujumla.Naomba kwa yeyote yule ambaye anauza simu tajwa hapo juu ikiwa mpya kabisa aniuzie .Hapa nazungumzia simu ambayo iko kwenye box kabisa nahaijatumika ata...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Nombeni mnisaidie Wadau. Kwenye setting gani naweza kubadilisha ID yangu.
0 Reactions
13 Replies
8K Views
Aisee wakuu tangu nimeanza kufanyakazi za blog pesa ninayoipata ni ya kunywea chai tu Mara ya kwanza blog yangu ilikua kwa lugha ya kiswahili nikaona hailipi nikaanza kupost ngeli lakini hawa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Katika tembea tembea yangu porini maeneo ya Mkoa wa Tabora nimekuta mlima mwepe wenye mawe meupe kama chokaa. Nimevunja mawe hayo lakini siyo magumu sana nimeyasaga yametoa unga mwepe kama...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Nina tumia azam ila naona usumbufu kibao. Naomb mnisaidie namna ya kuiset hii star x x2 plus. Hasa nitumie satellite IPI na frequency ngp, najua wataalam mnajua. Karibuni.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
DOOGEE BL12000 ni chinese product nyenye android ya 7.0, ina RAM ya 4GB, internal storage ya 32GB, camera yenye 16MP, procesor ya MTK6750T octa core na kikubwa kabisa ina betri ya...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nina simu yangu Huawei Ascend Y530 ina 4gb internal storage capacity ila inaonesha kwamba no enough storage masaa yote....nimerestore mara nyingi tu lkn baada ya cku mbili inaonesha no enough...
0 Reactions
1 Replies
977 Views
Back
Top Bottom