Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nimekuwa nikitumia bundle za halotel. Nashangaa kila nikifanya hotspot tethering kwa PC yangu, bundle la 700MB, halichukui hata dakika 10, chali. Nisipofanya tethering na kuamua kutumia bundle kwa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
wakuu naombeni mnisaidie napataje hii kitu na mimi niweze kufurahia ulimwengu wa kidijitali
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau naomba msaada,kuna jamaa yangu nimejaribu kumuingizia Facebook lite kwenye simu yake lakini imegoma,nimetumia njia zote kuanzia play store na kwa njia ya apk ambako inaleta ujumbe app not...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
wakuu napenda kuuliza kuhusu simu tajwa hapo juu, uwezo wake (kitaalam), je zimeshaingia hapa kwetu?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mambo vip Wanandugu???? kwa wale wapenzi wa game la dream league soccer leo nina Trick yao moja hatari sana. Leo nitawaonyesha Jinsi ya kubadili muonekano wa uwanja wako na ukaweka Uwanja wa...
2 Reactions
5 Replies
9K Views
Wadau kama tunavyojua kuna aina nyingi za "Browser",watu wengi wamezoea kutumia Firefox,chrome,opera,safari nk Je umeshawahi kusikia browser inayoitwa TOR,je unajua hii browser inafanya nini??Hii...
5 Reactions
57 Replies
5K Views
habari wana jf, kichwa cha habari kinahusika nina Idea ya project nataka nifanye sasa ili hiyo project ikamilike inatakiwa nimpate mtu wa Programming so kama unajihisi uko vema kwenye programming...
0 Reactions
5 Replies
912 Views
Habari Ndugu zangu.kama Kichwa kinavyojieleza naihitaji kujua mashine Nzuri itakayotoa photocopy na kuprint ambayo itafaa kwa matumizi ya nyumbani. Nina HP 1515 series Ila matumizi ya catrage...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Napenda kuuliza wana JF kabla sijanunua iPhone ambao mmezitumia kiustadi ,je hazichemki ukiwa kwwnye matumizi nayo ata kama kwa mda mrefu ,coz kitu kuchemka kwa simu huwa sipendi . Kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hello guys.. Naombeni wataalamu wanionyeshe jinsi yakupima mashamba kwa kutumia Google Map kisha nipate picha kama hii inayo onekana hapa kwa ajili ya kuprint kisha nitoe copy nisave kwenye...
0 Reactions
7 Replies
9K Views
Wadau kwa anayejua bei ya hiyo simu tajwa kwa Dar dukani nauzwaje anisaidie maana mara ya kwanza kuna jamaa aliniambia 320,000/= lakini leo kuna mtu kanambia ni 220,000/= msaada kwa anayejua...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari wadau, nimefanikiwa kununua visa card ya BancABC na kuiwekea balance pamoja na kufungua account ya paypal ready for online banking. Baada ya hapo nikalink card yangu na paypal pamoja na...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Naomba msaada wa Key ya Window 8.1 pro yakwangu inasema ina expire Feb 2018. nina activate haikubali bado inaomba niweke key nyingine
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Build Responsive Real World Websites with HTML5 and CSS 3 Cost: Tsh 150,000. Delivery Mode: 11.5 hours on-demand video 11 Articles 7 Supplemental Resources Full lifetime access What Will I...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini wakuu nina simu yangu Samsung S5 nilinunua November 2016 juzi ilidondoka kioo kikavuja kikawa hakionyeshi ila touch inafanya kazi nikipigiwa napokea fresh ila kioo ni giza mwenye Idea pls...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Natumia laptop aina ya lenovo E51 series core i5 ambayo ni mpya kwani tokea niinunue ina mwaka mmoja tu na inatumia window 10.Mimi siyo IT ila huwa napenda kupokea updates zote pamoja na upgrades...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Hiki kitu nilikuwa sijakifahamu, Baada ya juzi kati natengeneza campaigns kwe admobs za app zangu nakuta total reach ya wa TZ wenye uwezo wa kudownload app ni only 1.3M,,,!! hapo sijatoa wale...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu wakuu Heshima zenu, natumai mko poa sana Nina shida sana na baadhi ya soft copies ya vitabu vya inspirational , naombeni kunijuza application ninayoweza kutumia na kuvipakua bila shida...
0 Reactions
3 Replies
778 Views
Habari Wadau Wa JF, Naomba kuuliza ni kitu gani nizingatie kabla sijanunua Laptop? Ninapenda Sana Laptop za HP. Naomba muongozo wadau. Natanguliza Shukrani.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale wateng'eneza LOGO wasio na pc,nenda playstore pakua app iotwayo Logopit Plus Kisha ifungue baada ya hpo anza kudisgn Saaasa hapo kuna vitu vyiingi saana vya kujifunza kam rang...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom