Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu naombeni msaada juu ya kuroot tecno w4 maan kwa one click root kma kingroot zimegoma aseee.....ko tukiachana na kuroot kwa pc utaalam upi natumia kuroot hii Android.......maan cna pc
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nahitaji kufungua blog, watakamu wa blogs naombeni ushauri wenu,blog yangu ijihusishe na habar zip? Mfano sport au mchanganyiko. Karibun wataalamu
1 Reactions
3 Replies
828 Views
Subscribe
0 Reactions
2 Replies
765 Views
Wakuu naombeni msaada jinsi ya kufanya setting ya TTCL internet maana naona muda mwingi mnara hausomi kitu na net imekuwa nzito balaa.
1 Reactions
10 Replies
24K Views
Habari za sasa hivi ndugu zangu wana JF, Nimekuja na Idea ambayo wengi wenu yaweza ikawa hamjawahi kuifikiria, lengo na madhumuni ni kupata kushauri kwenu nyinyi wadau, Wazo langu ama idea...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu nisaidieni tafadhali lap top yangu nikiiwasha inaniandikia hivi..
0 Reactions
4 Replies
546 Views
Kama apo uzi unavyosema kuwa modem yangu ya Halotel inagoma kusoma Sim card Gafla sijui nifanye nini Naomba msaada wana familia wa Forums
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kuna cm tecno W3 inarestart kabla haijaanza kuwaka, yaan ikileta tuu logo ya tecno inaandika Hios then ina restart na hivyo itaendelea hata ukiiacha mpaka kesho, nimeiflash kwa kutumia, miracle...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Kila nikitafuta mtu wa kunitengenezea app ya android nakuta watu wanataka prsa ndeefu.. Zamani hata website ilikuwa pesa ndeefu siku hizi hadi bure wapo wanaokutengenezea Najiuliza why app hizi...
1 Reactions
59 Replies
5K Views
wakuu nahitaji app ya kuniwezesha ku register whatsapp bila local phone number mfano us numbers +1.....naona primo imekua ya kulipia
0 Reactions
3 Replies
879 Views
Kwanza kama ni whatsapp nenda settng kisha click _accounts _two steps verification Kisha ingiza 6 digit kma password ,irudie tena kuhakiki,kisha weka gmail account then save.....hapo kaxi kwisha...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu Habari za jioni me nilikua nahitaji msaada wa kupata hatua za kua na website yangu binafsi na niingize ela.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu nisaidieni tafadhali lap top yangu nikiiwasha inaniandikia hivi..
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwenye simu yangu inakuja maandishi yameandikwa LG TV AT CATS NET FREE HOTSPOT Kama picha inavyoonekana chini kabisa
0 Reactions
2 Replies
876 Views
Chande Abdallah na Deogratius mongela Katika hali ya kushangaza, mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Ali, mkazi wa Mwananyamala jijini Dar, amekamatwa na polisi baada ya kudaiwa kuunganisha...
1 Reactions
42 Replies
5K Views
Msaada kwa anaejua ili natumia iphone 7 nime reset net work ya internet haitaki kurud nifanyeje
0 Reactions
1 Replies
645 Views
habari wadau nina simu ya yangu ya htc desire ni yazamani kidogo ina android 2.2.2 sasa nilikuwa nahitaji niweze kuiupgrade kwenda android 3.3 Tatizo linakuja kila nikijaribu kuiconnect simu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
kama heading inavyojieleza niliibiwa simu aina ya I phone maeneo ya mbezi mwisho,mnamo tar 12/10/2017. Baada ya kuitafuta kwa mda nikashindwa sikutaka kwenda polisi japo ni muhim. Baada ya kukata...
6 Reactions
21 Replies
3K Views
Tafadhali rejea kichwa cha habari tajwa hapo juu, Ninaomba kama kuna mtu yeyote mwenye Program ya kueditia video iliyo full activated anipatie please. For PC use only.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naombeni msaada simu yangu imegoma kusoma kweny PC (siwezi kuhamisha files kutoka either kwenye simu au kweny PC)
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom