Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Hi ni kwa wale wapenda mionekano mikali ya simu. Pia huu mfumo ni mgumu saana hata kwa mtumiaji tofaut na wewe atashangaa na kubaki kuzubaa.. Huna haja ya kuhide apps au ku lock kwa password...
3 Reactions
60 Replies
9K Views
Habari wataalamu Poleni na mihangaiko ya kutafuta riziki. Wakuu kama kichwa cha habari kinavojieleza Account yangu ya twitter imefungiwa gafla ila tatizo linalonikumba ni kutokua na line...
0 Reactions
0 Replies
994 Views
Habari wakuu, Naomba mtu yoyote anayeuza au anayefahamu wanapouza hizo usb cooling pad au hata usb fan anifahamishe hapa.
0 Reactions
5 Replies
708 Views
Maelezo kamanlivo toa apo juu mwenye kujua aplication itakayo nsaidia kurudisha picha coz kuna m2 nlimuachia cm akazifuta
0 Reactions
6 Replies
2K Views
nimejaribu njia nyingi za you tube ila bado imenishinda msaada plz.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu! Mwenye hiyo kitu tuongee biashara hata kama ni ya kutoka kwenye simu ambayo ilitumika.
0 Reactions
2 Replies
702 Views
Kama unatumia simu ya 4G na upo Dar nakushauri tu utumie Zantel kwenye data. Hawa jamaa ni hatari sana aisee. Binafsi nateleza na bundle za chuo GB 10.5 Kwa tsh 10,000 mwezi mzima. Halotel...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wadau naomba kuelekezwa namna ya kupiga screen shot kwenye computer natumia windows 10, nifanyeje? Natanguliza shukrani
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari wana jf,kichwa cha habari kinahusika ipi simu bora kati ya hizo simu mbili? Tafadhari nahitaji majibu yenu kitaalamu
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wadau wa Technologia, nauhitaji wa haraka wa motherboard ya laptop Model: HP Pavilion 13.3" 13-a010dx Intel i3-4030U 1.9GHz Motherboard Kwa yeyote aliyenayo anicheck kwa mawasiliaono...
0 Reactions
0 Replies
521 Views
Hello member this is my second and Last leak for today:This is a facebook wealth formula lakini kabla sijaielezea kidogo kwanza naomba kusema kua nashea hivi vitu kwa moyo mmoja tu na wala sio...
4 Reactions
113 Replies
12K Views
Habari wana JF leo tarehe 21kwa mara ya kwanza nimefanikiwa kufikisha 100$ na pia nimeshaweka western union kama primary payment method...je mwezi huu naweza kupewa hicho kiasi???
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Je kuna uwezekano wa kutoa zile camera shutter sound unapopiga picha? Kama upo uwezekano huo unatoa vipi?
0 Reactions
1 Replies
718 Views
Wakuu nimesahau password ya iTunes hivyo naombeni msaada kama kunanjia nyingine ya ukipata.au jinsi naweza kudownload muziki au video kwenye iPhone bila kupitia iTunes
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakuu kwa anayejua kuediti picha vizuri background kuna picha yangu 1) ninayo naitaji background kama niko uwanja wa vita hivi, au sehemu frani yenye mandhari ya ki movie yaani niwe kama...
0 Reactions
4 Replies
927 Views
Habari za mchana wana jamvi, nime restore simu yangu aina ya K7 sasa cha ajabu tangu nii restore mpaka sasa hivi ni zaidi ya lisaa haijawaka sasa sijui tatizo nini? Na nina jamaa yangu week...
0 Reactions
2 Replies
978 Views
Wakuu naombeni msaada wenu,simu aina ya tecno s1 ikipigiwa inaita kama sekunde mbili tu inajipokea yenyewe.Yani unaweza kua mbali na simu,simu ikipigwa unakuta imeshajipokea yenyewe IPO...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wakuu, na wataalamu wa teknolojia Kwanza kabisa nipende kuwashukuru kwa kunisaidia kuipata appk nzuri ya mobile tracker, nimekuja tena naomba mnisaidie ni app gani nzuri ya kurekodi simu...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
jamani msaada niweke anti virus gani mzuli kwenye PC yangu aina ya HP Na ninatumia window 8
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Back
Top Bottom