Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Samahani wakuu Mimi ni blogger sasa nilikua najaribu kuweka AdSense inayoitwa propeller ads hawa jamaa wanalipa hela nzuri tu lakini nimeshindwa kujiunga nao wananiambia ni verify website yangu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari Wakuu! Naombeni Msaada Samsung S4 Yangu Inapata Fasta! Yaan Ndani Ya Dakika 4 Tu Baada Ya Kuchomeka Battery! Nilinunua 2015, Sasa Juz Niliweka Chaji Kama Masaa 6. Kuamka Simu Ikawa Ya Moto...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ikiwa utaweka nia na ku-dedicate muda wako kujifunza na kufikiri ni applications gani waweza tengeneza na kufanikisha. Waweza kujikuta unauaga umasikini bila kutarajia, kwani wapo vijana wengi...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Nahitaji msaada kama kuna namna au aplication naweza kupaste maneno mengi ya kingereza kisha yakabadilishwa kuwa katika maneno mengine ya kingereza lakini yasipoteze maana. Mfano neno effect ni...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Salaam wakuu, Hili sio jambo geni ni la muda mrefu tuu naamini wengi tunalifahamu ila tunakumbushana na pia kuwajuza wasiolijua. Ili kuendana na kasi ya ukosefu wa fedha inayopelekea kushindwa...
0 Reactions
62 Replies
6K Views
Gafra modem yangu haisomi laini/simcard Kwann naomba msaada ili niendelee na kazi zangu Wanandugu
0 Reactions
3 Replies
901 Views
mi sio mwingi sanaaaa ! lakini niulize chochote kuhusu lugha hizi uone kama niko vizuri au hapana zingatia: HAPA TUNAZUNGUMZIA JAVA NA XML(EXTENDED MARKUP LANGUAGE) SIO JAVASCRIPT NA HTML
0 Reactions
51 Replies
7K Views
Ninadeal maalum, kwa mtu programmer wa android apps, na webdesign! Ni DM nikupeleke mahali! Hakikisha unavyeti
1 Reactions
8 Replies
878 Views
Habari wakuu Kama kichwa cha habari hapo, ni njia gani inahitajika kuweka App kwenye play store na AppStore ili mtu aweze kuidowload kama anahitaji, naamini hata Adimins anaweza kunisaidia
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu..nataka kuweka blog yangu Freebasics... Ni njia gani zinatumika kuweka blog freebasics?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
salamu kwenu! Nilifanikiwa kuanzisha blog na website tofauti mpaka sasa si chini ya tano lakini naona zote zikifa polepole hazifanikiwi kabisa licha ya kumiliki account ya google ya matangazo...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari yenu wanajukwaa, Kwa anaefahamu namna ya ku enable USB debugging kwenye devices bila kupitia kwenye settings ku enable developer options. Nitashukuru kwa msaada wowote
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwa watu wengi wanaotumia simu za mkononi, ni Vema Kulifahamu hili. Umoja wa Kimataifa wa Mawasiliano ya Simu uliripoti usajili wa simu milioni 6 mwishoni mwa 2011. Hiyo ni 86 kati ya watu 100...
2 Reactions
7 Replies
7K Views
Habari wana JF, Kwanza heri ya mwaka mpya najua ni muda umepita toka tujumuike pamoja lakini bila shako wote mnaendelea vizuri kusongesha gurudumu la Jamii Forum kwa uzuri kabisa. Basi kwa leo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu. Wakuu naomba kwa ambaye anaweza kunisaidia nipate Windows 10 anisaidie kama kuna namna anaweza kunitumia online au kuna link ambayo naweza kudownload. Niko mbali na mji kwa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Waheshimiwa nisaidieni PC yangu DELL LATITUDE E6230 ilikuwa inarun fresh windows ten sasa baadae katika kufanya mautundu flani ikaja ikazingua yaani ishu kama vile haikuwaka tena ikawa inadai no...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wadau hivi kulipia ads za playstore ili kutangaza app yako utaratibu unakuwaje maana nimetengeneza app yangu ya kustream Tanzania radio yenye zaidi ya radio 30 nahitaji kwa mwenye...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa wauzaji wa spare za simu kama unayo full display ya xiaomi redmi note 3 nicheki PM. Asante.
0 Reactions
0 Replies
612 Views
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza nahitaji kujua POWER BANK ORIGINAL hata kama inachaji simu mara mbili au mara tatu ikajaza kulingana na betri zake za mAh. Mfano power bank 9000mAh yenye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom