Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Msaada wenu watu wa IT sihitaji tena kitumia fb pia nataka account yangu niiondoe
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Tutatumia c++ na opengl library Kama Uko tayari subscribe uzi huu Karina......
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nimekuwa nikitafuta flat screen TV ya led 42 inch kwa muda mrefu ila kwa hapa bongo naona kama bei ni kubwa sana japo zinatofautiana kwa bei kwa kila brand name. Ila nimeangalia...
1 Reactions
17 Replies
6K Views
Ilikuwa 2G,3G,4G na sasa dunia inajiandaa kupokea intaneti yenye kasi ya mwanga itakayobadilisha kabisa maisha ya binadamu.Intaneti hiyo inatazamiwa kuja kutumika kuendesha magari yasiyo na...
5 Reactions
28 Replies
4K Views
Nina router inayotumia line ya kampuni fulani. Lakini hivi karibuni wamekuwa kama matapeli Fulani hivi, ukinunua MB zinaisha fasta wakati MB kama hizo kwa line zingine unaweza kutumia hadi siku...
1 Reactions
4 Replies
922 Views
Toka juzi inasoma hivi ....Tatizo nn wakuu ...PC aina ya HP window 10
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Nataka nimtumie mtu movie yenye MB 95 kuna njia yoyote itakayoniwezesha kutuma movie, msaada please.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafuta MTU wa IT maeneo ya Mbezi ya Kimara Kwa Ajili ya kuniwekea programs kwenye PC yangu hasa Microsoft offices. Anayemfaham au kama ni wewe weka no yako nikutafute.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mambo vipi wakuuu, naomba msaada nataka ni-update simu yangu ya Nokia Lumia 520 kutoka windows 8.1 to windows 10, nimejaribu kuangalia kwenye orodha ya simu za windows ambazo zinatakiwa kuwa...
0 Reactions
0 Replies
813 Views
Kichwa cha habari kinajieleza..... Nahitaji laptop ambayo ipo katika hali nzuri kwa ajili ya matumizi yangu binafsi. Mwenye nayo aje hapa tukubaliane na mwenye uzoefu wa hizo pia anifahamishe...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Nimejaribu kufuata taratibu za ku root simu kwa kudownload app ya kingoroot kweny pc. Ilipofika hatua ya kuiconect na pc haiconect sasa sijui nakosea wapi? Msaada tafadhali
0 Reactions
2 Replies
686 Views
Naomba kujulishwa application ya ku - download picha na video za instagram (but nataka iwe moja tu means sitaki kuwa na instagram apk na hii ya kusevu) nataka ifanye kazi mbili ,kama ista na kama...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
kwa anaejua mafundi wazuri wa redio za sony wanapopatikana anijuze maana mtaani washanipiga hela hakuna walichotengeneza.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Jamani mimi niliangusha simu ya smart phone iliniuma sana na sasa nimenunua nyingine ya tecno w5 naomba msaada jinsi ya kuilinda ikiibiwa I niletee ripoti mahali ilipo
1 Reactions
1 Replies
822 Views
Wanajamvi ili neno nimekuwa nikiliona WhatsApp pia uwa linanipa jeuri kuwa pengine kuchati, kupiga simu na video call, kwa WhatsApp sio rahisi kuwa traced kama wanavyofanya katika normal text...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu wana jamvi natumaini wote ni wazima Wa afya, niende moja kwa moja kwenye ombi/msaada nina shida ya circuit ya XRF detector ya kudetect madini tofauti tofauti kama kuna mtu anaweza nisaidia...
1 Reactions
5 Replies
939 Views
Waungwana wa technology, kuna uwezekano wa data kuwa on wakati mitandao ikiwa off? Naamanisha unapokuwa unatumia JF, Watsupp, face book na mengineyo off mpaka uikomandi kuwa on, sio hivi ukiwasha...
2 Reactions
5 Replies
5K Views
Amani iwe pamoja nanyi wakuu. Nahitaji samsung S5 kwa shng laki 300, yenye specs zifuatazo Ram : 2 gb chipset : snapdragon internal : 32gb Pia ,iwe kwenye hali nzuri close to new one.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Heshima kwenu wanajamvi. Nimekua nikipakua Apps za androids na nyingi ili zifanyekazi zimekua zinaomba access ya vitu kama contacts, calls log history, pictures, videos, messeges, etc. Maswali...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Back
Top Bottom