Habari zenu wanaforum
Kwa wale wapenda games kwenye simu, Shujaa amekuja. Kampuni iliyokuwa ime base kutengeneza Gaming Laptops "LAZER" Imeingia rasmi kwenye soko la smartphone na simu yao mpya...
Habari wana jf, naombeni msaada wa simu gani nzuri ya sony expweria na ya bei rahisi. Nakumbuka niliombaga msada hapa nikashauriwa sumsung s6 nimenunua mpya dukan imekufa siamini, imeshanitesa...
habari za hapa ndani wakuu, nna uhitaji wa tcon card namba ni T420HVN06 . 2 CTR BD,....kwa mwenye nayo aje tuyajenge.
au kama naweza kupata ac no (AUO M106-11)...
namba ya simu ni 0762847552
Ni kipindi hasa cha Wanafunzi wengi kuelekea Vyuoni na wengi wao watapenda kununua Kompyuta kwa ajili ya Masomo/Kozi mbalimbali huko waendako
Kwa kutambua nafasi hii ya Kielimu juu ya Matumizi ya...
Habri.
Naomba kujua Kama naweza kuunganisha DEKI na SPIKA. Na nikasililiza mziki. Natumia audio na sio video. Kwa mwenye uelewa naomba msaada. Kama inawezekana.
Habarini wanajamii kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nahitaji msaada kwa yeyote anayejua au mwenye uzoefu na server za Linux.Shida yangu kubwa ni kwamba niinstall Ubuntu server kwenye pc yangu...
Habari za jioni wadau wa jukwaa kuna tatizo limeanza kutokea toka Jana kupitia laptop yangu ya mackBook air apple kushindwa kusave kazi nayofanya kupitia Microsoft office naambiwa no enough space...
Account ya WhatsApp inakataa kuweka profile photo, inaandika couldn't load try again ukijaribu inaandika hivyo hivyo, network ipo 3g na ipo vizuri kabisa, nimewahi kuuninstall na kuinstall tena...
Naomba kujua hivi wifi inafanya kazi umbali gani? Je nikitaka kuconnect wifi na mtu aliye umbali wa mita 900 inawezekana kama sio ni umbali gani sasa unaofaa
Habari wakuu. Nimekuwa nikitumia free vpn apps mbali mbali kwa android , ila ni kama vile zinaslow down speed ya internet.
Je ni kweli free vpn services zinafanya internet speed iwe chini au la ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.