Tanzania ina kiwango kikubwa cha kodi na ushuru inaotoza kwenye simu za mkononi ikilinganishwa na mataifa mengine duniani.
Viwango hivyo vinaelezwa kuwa juu kuliko mataifa mengi ya kusini mwa...
Nina masomo mengi sana naona kabisa naweza kushea na Jamii Sasa nataka ni upload YouTube na kwenye MITANDAO ya kijamii.
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza natakaiwa kuwa na vifaa gani?!
NB...
Eneo niriropo ni la milima milima unaweza kukaa ndani mtandao haukamati kabisa ukatoka nje ukapanda tu ngazi mtandao unapanda
Au ukashuka tu kidogo mtandao unajaa
Hapa airtel na tigo hazishiki...
Nyingi zimepita kama Pirate bay, kat.ph na nyinginezo lakini nyingi zimefungiwa, Ipi inatumika 2024 bila kukudai Vpn na kukuletea vitu tofauti na ulivyoomba? Toka asubuhi najaribu jaribu bado...
Nilinunua mini fuel pump kutoka china kwa malengo ya kuanzisha kituo kidogo cha uuzaji wa mafuta huku vijijini ninapofanyia kazi.
Nimekumbana na tatizo la kwamba hii mashine ilitengenezwa kwa...
Huu ni wakati wa uchaguzi kuna blogu nyingi zinazoripoti na kutoa habari zingine za uchaguzi wetu ndani ya nchi na nje watu wamejiunga kwenye blogu hizi , majukwaa na hata wengine kufuatilia watu...
Habari za jioni wakuu.
Nimekumbwa Na tatizo la kutopokea WhatsApp code kwa wiki moja sasa naomba msaada wenu jamani
Maana kila nikijaribu inanionesha hivyo ๐ฐ๐ญ
Wakuu nahitaji msaada kwa mwenye ujuzi na uwelewa wa hii kitu
Nimefunga Router Ile ya WIFI Nimeifunga Dukani kwangu Nia na madhumuni Nisambazie watu ili nipige walau buku buku kwa kila mtu,Naweza...
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka
Nataka kutuma sms kwa watu wengi kila mtu na sms yake
Nimeshatengeneza excel file yenye collum
Jina|Phone number|SMS
Ujumbe upo tayari tatizo ni jinsi kutuma...
Moja kati ya misingi mitatu ya usalama wa mifumo ya TEHAMA (System security) ni Confidentiality.
Hakikisha zile taarifa nyeti zipo mikononi mwa watu walioidhinishwa (Authorized users) na si...
Habari wakuu,
Nilikua namiliki simu aina ya google pixel 3a nikaamua ku upgrade kwenda kwenye google pixel 4a 5g,
Baada ya kuinunua simu hiyo nikaikuta inatumia plrogram endeshi yaani android...
Kampuni ya kusambaza mtandao ya Starlink ya Elon Musk imepewa kibali cha kutoa huduma nchini Zambia.
Kwa sasa wazambia wataanza kupata internet ya kasi zaidi kutoka Starlink.
Kumbuka Starlink...
Najua wengi wenu mnapenda customization kwenye simu, sasa nimekutana na hii link ina font 600 amabzo unaweza kubadili kwenye simu yako kila siku tofauti na za kununua galaxy store
kwanza hii hii...
Habari na JF, now days kumekuwa na wingi wa laptop, hivyo kupelekea ongezeko la wauzaji wa vifaa hivyo hasa mtandaoni.
Waswahili wasema kwenye mengi Pana mengi, laptop zimekuwa very cheap kila...
Habari ndugu
Nilikuwa naomba ushauri wa kitaalam ni generator ya uwezo upi itafaa zaidi kwa matumizi ya nyumba yenye fan(panga boy 4), fridge 2, TV 1, taa za 30w ziko 7, na inverter AC moja yenye...
๐ฆ๐ถ๐บ๐ ๐๐ผ๐ฟ๐ฎ ๐๐ฎ ๐๐ป๐ณ๐ถ๐ป๐ถ๐ ๐บ๐๐ฎ๐ธ๐ฎ ๐ฎ๐ฌ๐ฎ๐ฏ
Moja Kati ya kampuni inayokuja kwa Kasi mwaka 2023 ni Infinix ambayo imekua ikitoa simu za aina mbalimbali zenye muonekano mzuri, picha, uwezo , ufanisi nk.
Leo...
Ehe Wapwa habari za usiku Huu harakati za kumtafuta maokoto zimekuwa Nyingi kwelikweli Nimeona weekend nijipumzishe na movies lakini pia na games
Kwa yeyote kweye games za mpira ningependelea...