Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Wajuzi wa hii laptop naombeni msaada. Nilikua naitumia then nikatoka nje. Kurudi nakutana na hii hali. Msaada wa kujua tatizo wakuu
0 Reactions
4 Replies
431 Views
Naomba mwenye uzoefu na iPAD AIR PRO tablet pc Android 13 km ni nzuri kwa matumizi na km inaweza kusupport window yoyote. Hapo juu ni Android 13 siyo 23
0 Reactions
8 Replies
689 Views
Kuna namba ya simu nataka kuitrack nijue yuko wapi ila nashidwa kila app ninayo download playstore inasumbua. Hebu nisaidie katika hili mnaofahamu ku track simu.
0 Reactions
32 Replies
8K Views
Binafsi sio mshabiki wa mpira kabisa ila 2022 mwishoni nilianza kuahabikia timu ya Yanga, nikajikuta die hard fan. Kombe la dunia lilipoanza nikawa naangalia maramoja moja, siku moja nikasearch...
19 Reactions
59 Replies
3K Views
Uzi tayari, Ambao katika pita pita zenu mmekutana na simu zenye camera kali kwa ajili ya photo shooting & video recording njooni tufanye kushare idea Hakikisheni bei ya simu hizo ni chini ya...
0 Reactions
50 Replies
6K Views
What Ai AI stands for Artificial Intelligence, which refers to the ability of machines to perform tasks that typically require human intelligence, such as learning, problem solving, perception...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna mtu yeyote ambaye anajua software yoyote ambayo inaweza kufanya kazi kama voice Q inayorun kwenye windoes na inatoa features za dubbing kama voice Q
0 Reactions
0 Replies
252 Views
Nimedukuliwa facebook account yangu na kubadilishiwa email na password na mtu nisiyemjua, siwezi tena ku-login kwenye account yangu, kaondoa email yangu kaweka yake na kubadilisha password, MSAADA...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Mafundi naomba ushauri juu ya tatizo hapo juu namna gani naweza resolve.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Unarudi nyumbani toka kwenye mihangaiko yako unatufungua mlango kuingia ndani Tv hakuna nani kachukua hujui? Utafanyaje? Je Kuna njia tunaweza tumia ku track Tv iliyoibiwa ? Na kumkamata mwizi...
0 Reactions
2 Replies
903 Views
Aya wakuu, weka picha tuone speed Yako ya internet Leo Tumia FAST kujua speed ya internet inayotumia Mimi naanza👇🏿
3 Reactions
41 Replies
3K Views
Habari viongozi? Nimeibiwa pikipiki na kijana niliemuamini nikampa apige boda. Simu yake kuita mara ya mwisho ilikua juzi ila toka jana haiiti. Tulikuwa hatujakamilisha wadhamini maana ni kijana...
0 Reactions
34 Replies
1K Views
Habari wadau, nitangulize salamu Ni Mwezi sasa au zaidi nimekuwa nikiona na kusikia malalamuko ya baadhi ya watumiaji wa mtandao wa Facebook akaunti zao kudukuliwa na watu wasiojulikana (hacker)...
1 Reactions
9 Replies
981 Views
Wakuu nimejaribu mara nyingi kutaka ku-link Blog yangu na Google AdSense lakini nimechemka, kwa wazoefu, shida inaweza ikawa nini? Blog hii hapa Swahili 360 | Welcome Pia ninatumia Newspaper...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Waalifu wa mtandaoni wanatumia Chat Gpt kuweza kueneza virusi, malware kampuni ya meta imewaonya watumiaji wake. Teknolojia ya Akili bandia inazidi kushika Kasi ulimwenguni. toka ianze kutumika...
1 Reactions
4 Replies
747 Views
Wale wadau wa margin trading robots na MQL5 programming. Katika ulimwengu huu ambao tumeingia kwenye nyakati za matumizi ya Akili mnemba vivyo hivyo hata sekta nyeti kama vile margin trading nazo...
0 Reactions
0 Replies
396 Views
Mimi ni mpenzi wa magemu hasa Yale ya Ppsspp sasa hii simu ni Infinix hot 30 play Niki download game kupaste data kwenye Zarchiver inagoma inaandika kama hivo pichani nimejaribu kuangalia YouTube...
2 Reactions
15 Replies
653 Views
Habarini Natumia simu ya itel A05 mpya tu haina hata mwaka, laini ya voda nayo ni mpya haina mwaka, hili tatizo limeanza juzi, mb nakuwa nazo tena zaidi ya 800, ila nikiwasha mobile data sipati...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Wadau wa JF, kabla ya yote nikili jf kuwa chuo kwangu kwani napata madini mengi kupitia komenti za wanajf. Leo nimeonelea nije na mada chokozi; ni kwa nini mtandao wa fiber internet na air fiber...
2 Reactions
6 Replies
867 Views
Back
Top Bottom