Naomba mwenye uzoefu na iPAD AIR PRO tablet pc Android 13 km ni nzuri kwa matumizi na km inaweza kusupport window yoyote.
Hapo juu ni Android 13 siyo 23
Kuna namba ya simu nataka kuitrack nijue yuko wapi ila nashidwa kila app ninayo download playstore inasumbua.
Hebu nisaidie katika hili mnaofahamu ku track simu.
Binafsi sio mshabiki wa mpira kabisa ila 2022 mwishoni nilianza kuahabikia timu ya Yanga, nikajikuta die hard fan. Kombe la dunia lilipoanza nikawa naangalia maramoja moja, siku moja nikasearch...
Uzi tayari,
Ambao katika pita pita zenu mmekutana na simu zenye camera kali kwa ajili ya photo shooting & video recording njooni tufanye kushare idea
Hakikisheni bei ya simu hizo ni chini ya...
What Ai
AI stands for Artificial Intelligence, which refers to the ability of machines to perform tasks that typically require human intelligence, such as learning, problem solving, perception...
Kuna mtu yeyote ambaye anajua software yoyote ambayo inaweza kufanya kazi kama voice Q inayorun kwenye windoes na inatoa features za dubbing kama voice Q
Nimedukuliwa facebook account yangu na kubadilishiwa email na password na mtu nisiyemjua, siwezi tena ku-login kwenye account yangu, kaondoa email yangu kaweka yake na kubadilisha password, MSAADA...
Unarudi nyumbani toka kwenye mihangaiko yako unatufungua mlango kuingia ndani Tv hakuna nani kachukua hujui? Utafanyaje?
Je Kuna njia tunaweza tumia ku track Tv iliyoibiwa ? Na kumkamata mwizi...
Habari viongozi?
Nimeibiwa pikipiki na kijana niliemuamini nikampa apige boda.
Simu yake kuita mara ya mwisho ilikua juzi ila toka jana haiiti.
Tulikuwa hatujakamilisha wadhamini maana ni kijana...
Habari wadau, nitangulize salamu
Ni Mwezi sasa au zaidi nimekuwa nikiona na kusikia malalamuko ya baadhi ya watumiaji wa mtandao wa Facebook akaunti zao kudukuliwa na watu wasiojulikana (hacker)...
Wakuu nimejaribu mara nyingi kutaka ku-link Blog yangu na Google AdSense lakini nimechemka, kwa wazoefu, shida inaweza ikawa nini?
Blog hii hapa
Swahili 360 | Welcome
Pia ninatumia Newspaper...
Waalifu wa mtandaoni wanatumia Chat Gpt kuweza kueneza virusi, malware kampuni ya meta imewaonya watumiaji wake.
Teknolojia ya Akili bandia inazidi kushika Kasi ulimwenguni. toka ianze kutumika...
Wale wadau wa margin trading robots na MQL5 programming.
Katika ulimwengu huu ambao tumeingia kwenye nyakati za matumizi ya Akili mnemba vivyo hivyo hata sekta nyeti kama vile margin trading nazo...
Mimi ni mpenzi wa magemu hasa Yale ya Ppsspp sasa hii simu ni Infinix hot 30 play Niki download game kupaste data kwenye Zarchiver inagoma inaandika kama hivo pichani nimejaribu kuangalia YouTube...
Habarini
Natumia simu ya itel A05 mpya tu haina hata mwaka, laini ya voda nayo ni mpya haina mwaka, hili tatizo limeanza juzi, mb nakuwa nazo tena zaidi ya 800, ila nikiwasha mobile data sipati...
Wadau wa JF, kabla ya yote nikili jf kuwa chuo kwangu kwani napata madini mengi kupitia komenti za wanajf.
Leo nimeonelea nije na mada chokozi; ni kwa nini mtandao wa fiber internet na air fiber...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.