Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Habari wadau Kuna jamaa aliazima hdd kwa ajili ya kuchukua movies. Baada ya kuirudisha nikichomeka kwenye computer unaisikia imekuwa connected ila haionyeshi . Nimejaribu kuweka kwenye computer...
1 Reactions
8 Replies
618 Views
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na kasumba ya watanzania wengi kuukataa na kuudharau mtandao huu wangine wamefikia hata kutaka kufuta account zao huko facebook Hali ambayo nimeona ni tofauti sana...
6 Reactions
9 Replies
500 Views
Wakuu nahitaji Application ambayo ni easy kutumia inayoweza kupadili Image/picture kuwa pdf tena kwa kuunganisha kabisa
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Wana JF nna shida ya kujua sehem gani au chuo(short course) gani naweza kwenda kujifunza maswala za broadcasting technology based kwa radio transmitters issues au single course ya ufungaji wa minara..
5 Reactions
13 Replies
917 Views
Habari zenu wana jamvi, naomba tusaidiane. Nina TV aina ya Sundar (sio Smart). Ina-support Flash driver na ina-load subtitle vizuri kwenye video. Tatizo linapokuja ni kwamba, siwezi kuongeza FONT...
0 Reactions
1 Replies
291 Views
Je wewe ni muhanga wa kufungiwa kutumia WhatsApp ? Whatsapp Kwenye simu yako na kila ukijiunga Whatsapp lazima upigwe ban? Unafanyaje kujiondoa?? Wengi wanajiuliza inakuwaje imenitokea hii...
3 Reactions
5 Replies
4K Views
Kama ilivyo kwa YouTube pamoja na Blogs na website mbalimbali kuwa na kipengele cha Uvunaji kupitia Maudhui Mtandao hasa kampuni ya Google (Google Monetization) kwa kupitia Matangazo ya Google...
1 Reactions
5 Replies
914 Views
Jamani sasa hivi facebook kuna wimbi kubwa sana la account za watu zimedukuliwa. Jambo la kusikitisha na kutia aibu kupitiliza ni kwamba account hizi zinatumia na wadukuzi kurusha maudhui ya ngono...
7 Reactions
12 Replies
806 Views
Wakuu naomba msaada, wakati naangalia TV tanesco walikata/ umeme ulicheza kidogo yaani ndani sekunde mbili umeme ulikatika na kurudi. Taa ya standby inawaka na nikiwasha TV Kwa remote au Kwa...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Natanguliza shukrani kwenu. 🙏
5 Reactions
66 Replies
5K Views
Neno artificial intellency linaleta tafsili tata haswa kwa wataalamu wetu wa lugha ya kiswahi na viongozi wa serikali maana wengine husema ni akili bandia na wengine husema akili mnemba. Sasa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu katika kuhakikisha mambo yanakuwa sawa,timu nzima ya AfroIT itakuwa inakuletea mafunzo ya Networking kwa maandishi na Video,Hivyo kaa mkao wa kura.Maoni na ushauri unahitajika katika...
6 Reactions
14 Replies
5K Views
Kinachonipa wasiwasi hapa naona wameorodhesha windows za kizamani tu nawakati dell yangu iko na windows 10
2 Reactions
2 Replies
380 Views
Wadau,, hivi kwa Dunia ya sasa,,je mtu anweza kununu Lenovo thinkPad X260 au unamshauri anunue laptop ipi inayoendena na heavy duty activities lakini inatunza charge kama Lenovo X260 Ram8GB?Naomba...
1 Reactions
5 Replies
394 Views
Wakuu heshima kwenu. Niende kwenye mada husika. Nimepata ujumbe kutoka kwa YoWhatsapp ikinitaka nitumie Official Whatsapp. Nawezaje ku-link messages za YoWhatsapp na Whatsapp ya kawaida, coz...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu msaada jinsi kuzuia SMS ikiingia isionekane kwenye kioo wakat nipo mbal Asanteni
0 Reactions
31 Replies
13K Views
Habari wakuu, Kama heading inavyoeleza hapo juu, Naomba kwa mwenye experience na masuala haya ya mafuzo ya udereva yanavyokwenda anishauri ni Driving school gani niende ili kupata elimu ya...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Kampuni ya META kupitia mtandao wao wa WhatsApp, wameanza operation maalum ya kuzipiga Ban number zote zilizosajiliwa kwenye WhatsApp GB. Mwanzoni kampuni ya WhatsApp ilikuwa inawapiga Ban...
4 Reactions
16 Replies
4K Views
Ndugu zangu naomba mnipe ushauri kati ya Gofiber na TFiber (ttcl) ipi imetulia sana kwa maswala ya kucheza games online coz nataka nianzishe streaming. Ipi uhakika ndugu zangu?
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Na Bwn Kenge! "Entire third world shall change when consumers turn into producers" Ni Maneno ya mwalimu mmoja aliyekua akijibu swali la Mwanafunzi aliye Uliza "Ni lini Africa(Dunia ya 3)...
13 Reactions
44 Replies
4K Views
Back
Top Bottom