Upo tayari kujua tunachokuletea leo? TECNO ilitambulisha Dynamic 1, mbwa wa AI roboti, katika MWC pale Barcelona mwaka huu wa 2024 Februari 26. Kwa muundo wake rahisi kutumia na vipengele vya...
Kwa Tv's nzri inashauriwa ununue OLED,
Humu JF watu wengi wanaomba ushauri kuhusu TV gani nzri, wanaelekezwa nunua LG, sumsung, TCL, hisense, Sony even if zinatumia teknolojia ya LED ambayo sio...
Kama kichwa kilivyojieleza,
Sina uzoefu na mambo ya back up system, shida kila muuzaji unaemuuliza anakupa majibu yake kutetea maslahi
Jamii form najua ina watu wenye maarifa na haya mambo...
Habari wanajamiiForums, poleni na majukumu ya hapa na pale 🤝, Simu yangu imeleta mushkeri kidogo, najua kuna wataalam kwenye masuala ya simu.
Tatizo hili nimeliona Asubuhi nilivyo amka, jana...
Kumeibuka wimbi la watu kujifunza programming na kujiaminisha kwamba jambo hili linawezekana
Ukweli ni kwamba wengi wanaopitia njia hii wanakosa foundation ya CS na wanajikuta wamekariri tu...
1. Telegram (Only Available as App)
2. Instagram (App consumes data than web)
3. Tiktok (Both App and Web consume data)
4. Facebook (App consumes data)
____________________________
5. X (...
Begi ukilikuta njiani kuna uwezekano mkubwa wa uhalifu kuhusika, aidha limetupwa wakati majambazi yakimkimbiza mwenye nalo, majambazi waliiba ila wakalitupa kupoteza ushahidi hasa wakiwa...
ni miaka nenda rudi wazungu wanatoa dollar kuzisaidia Tech hubs za Tanzania lakini cha ajabu hatuoni matunda ila utakuta viongozi wa start ups wanatumia simu latest zenye bei mbaya, magari mazuri...
Najua watu wengi mnatumia app ya Xender kuweza kurusha vitu mbalimbali ila Sio Salama kwako ? [emoji848]
App ya Xender ni moja wapo ya app ambayo inatumiwa Sana ulimwenguni kwani husaidia kuweza...
Mauzo ya bidhaa za Kampuni ya Apple (iPhone) yameshukwa kwa kiwango cha Asilimia 24 ndani ya wiki sita za kwanza tofauti na ilivyokuwa Mwaka 2023, hiyo ni kwa mujibu wa Utafiti uliofanywa na...
Habari za weekend wakuu..
Mi mgeni wa Technologia, naomba mnisaidie tofauti kati ya Smart Tv Flatt Screen na LED Tv, na ipi unge recommend mtu kununua kwa matumiz ya familia
Wapedwa Kuna mtu aliniunga na huduma ya kupata sms za mtu bila yeye kujua mwisho wa siku ikauganishwa na A/c yangu ya Tigo pesa ndani ya wiki mbili washakomba elfu 60,000.
Na huduma au sms za...
Wakuu, samahini nilikuwa naomba niulize kwa wanaojuwa kati ya hizi programming skills job.
1. Full stack web developer,
2. Block chain developer,
3. Machine learning and Artificial...
Habari wakuu,
Nimejaribu kufanya malipo ya mzigo kutoka Us kwa njia ya Airtel mastercard lakini nashangaa kuona ujumbe wa Muamala wako Haukukamilika TXN Id: MP240304.1650.T99101, Mpokeaji...
Habari ndugu mimi natumia laini ya ttcl ila kuanzia juzi haisomi kwenye data ninaomba msaada anaefahamu namna ya kuiwezesha ili iweze kusoma data nimejaribu kuwasiliana na ttcl na nimefuata...
Habarini
Nitatumia lugha nyepesi Ili Kila mwenye uhitaji aweze kufaidika
Kumekuwepo na matatizo mengi yanayoripotiwa na wamiliki wa hizi TV za kisasa hasa kwenye upande wa kioo ama kutowaka...
Habarini za Asubuhi wana JF
Niende direct kwenye jambo
Nilichukua simu ya mkopo ila ndani ya mwezi ilipotea (niliibiwa ) mahali, tar 24.2.2024). Ile simu kwa wakati huo wote kupitia google find my...
Jambo wa ndugu zangu
Nakuja kwenu ku omba msaada Kama kuna mtu anajuwa solution ya SIM yangu
Nina SIM yangu TECNO POVA aita ki ku instal application mpaka ni Download kupitiya Playstore tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.