Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Moja ya changamoto inawakumba wengi ni Window 10 Kuweza Kufanya Auto Update ambayo inaweza Chukua Bundle lako chap na Hii huwa inachukua zaid ya GB 2+ kufanya update, first time kutumia Hii Window...
0 Reactions
0 Replies
460 Views
Naona Windows 10 inakula sana bando kila nikitumia modem kwenye PC tofauti na nilivyokuwa nikitumia Windows 8. Swali; Nini kinasababisha na njia zipi zitumike kutatua changamoto hii?
2 Reactions
11 Replies
634 Views
Habari wadau! Nina laptop yangu aina ya Dell ambayo USB ports zote zimegoma kabisa kufanya kazi.. Na hiyo laptop natumia external keyboard na mouse sababu keyboard yake imekufa. Sasa nikiwasha...
2 Reactions
6 Replies
419 Views
Naomba kuuliza kwa mafundi na wajuzi, ni TV aina ipi za kichina ni nzuri au zina afadhali, kwa ubora, uimara, picha nzuri nk kushinda nyingine maana nasikia nyingine hazitimii hata zile inches za...
5 Reactions
34 Replies
4K Views
Nahitaj mtu wa kunilockia acc kama hivo Na anielekeze dau nono kwa mtaalam ataefanikisha hilo
0 Reactions
0 Replies
180 Views
Kuna vijana wa hovyo wamenishawishi sana nijiunge na hii kitu inaitwa twiga Soft. Nguvu wanayo tumia nikubwa mnoo. Hebu wadau waelevu nipeni nondo za hii kitu. Link...
1 Reactions
2 Replies
804 Views
Heshima kwenu wakuu. Naomba mnijulishe kuhusu Call Recorder nzuri kwa Simu za Android inayoweza ku-rocord simu zote zinazopigwa na kupigiwa ili niweze ku-install kwenye simu yangu na niwe na...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Rejea kichwa Cha Habari Hapo Juu. Nataka kuuliza baadhi ya maswali kuhusu vifaa vya minara thanks
1 Reactions
4 Replies
531 Views
Habari, A FULL CHARGE WILL LAST ABOUT ni masaa ya simu kukaa na chaji kutoka ikiwa full mpaka inapoisha. Piga screenshot kwenye A FULL CHARGE WILL LAST ABOUT halafu weka hapa tuangalie. Taja na...
0 Reactions
2 Replies
454 Views
Pata nambari ya IMEI ya kifaa chako (*#06#) Nambari ya IMEI au Nambari ya Kitambulisho cha Vifaa vya Simu ya Kimataifa ni nambari ya kitambulisho cha kipekee chenye tarakimu 15 kinachotolewa kwa...
4 Reactions
6 Replies
8K Views
1. Nini kinachangia au kusababisha katika system meseji kugoma kwenda? Mfano unatuma sms inafeli, unarudia tena inafeli, unarudia tena inafeli unarudia tena inaenda? 2. Nini kinasababisha ujumbe...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimeamini neema ipo Dar. Mchawi hela. Kama hawa liquid wamekuja hivi me nahamia Dar
2 Reactions
41 Replies
2K Views
Naombeni msaada kujua Ipi ni nzuri. katika Fuel consumption na bei inakuaje kuagiza. used from Japan. Na mengineyo wadau. Jamani nahitaji mawazo yenu chochote wakijua usisite kuniambia
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Ninasomea fitter mechanical engineering Niko level two kama Una ofisi yaani workshop naomba nije nifanyie field kwako kama auto jali Kwa hapa Dodoma mjini tuu
2 Reactions
2 Replies
324 Views
Mimi ni fundi seremala huwa napenda sana kutumia internet hasa youtube kuongeza ujuzi. Nimejikuta natumia wastani wa shilingi laki moja na elf 30 kila mwezi kwajili ya internet kwenye kucheki...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Niko hapa kwa issue zako zote za PayPal. Nione
1 Reactions
9 Replies
498 Views
Habari ndugu, Naomba msaada nina wiki mbili laini yangu ya ttcl haisomi data pamoja ya kuweka data roaming lakini bado ila kwa wengine inasoma tatizo ni nini! nikiwapigia huduma kwa wateja...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Ni kampuni gani ya redio za music mnene inavunja records? Kwangu mimi ni JBL😊👍
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Habari za muda huu wana jamii tech,, Ninaomba kufahamu app nzuri ya kuedit picha kwa simu maana kuna jamaa huko fb anadai anaedit kwa simu kama picha hapo chini ila anaringa kutaja jina la App...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Back
Top Bottom