Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Natamani kujua mechanism ya gas kwenye gari, inafanyajefanyaje kazi ilihari pampu ni Moja?
0 Reactions
1 Replies
254 Views
Siku hizi kumekua na ongezeko kubwa la programming bootcamps ambazo hutoa mafunzo ya programming, lakini nyingi kama sio zote hutoa mafunzo kwa bei kubwa huku wakihakikisha uhakika wa ajira baada...
7 Reactions
66 Replies
4K Views
Aisee Hii series nimekua recommended na moja ya jamaa yangu Nimemaliza kuangalia pantheon S02 itoshe kusema ukiachana na mr robot hii animation series kutoka studios za amazon prime ni kali...
1 Reactions
1 Replies
266 Views
Imei 355771013003998 mep-15326-002
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani kuna mtu humu aliwahi eleza jinsi ya kuondoa matangazo yanayokuja ghafla kwenye simu.Utakuta kwa mfano unaandika text mara tangazo hilo hapo
3 Reactions
3 Replies
483 Views
Wakuu natanguliza shukrani zangu kwenu, nataka kununua friji kwa matumizi nyumbani Friji ipi ni Bora na inauwezo wa kudumu kwa mda mrefu? Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
2 Reactions
41 Replies
3K Views
Ndege hai aina ya Kipanga "Peregrine Falcon" anasifika kwa kasi yake, hufika zaidi ya kilomita 320 kwa saa (200mph) wakati wa kupiga mbizi angani (Aerodynamic Dive). Kinadharia kwa kasi hii, hewa...
1 Reactions
0 Replies
267 Views
Asus Rog STRIX Z390-F Customized Gaming Desktop Core i7 9th Generation SSD 512GB+HDD 3TB RGB RAM 16GB DDR4 CPU 3.20 GHz 8 Threads RTX 2060 Super 8GB Power Supply Modular 600W Wi-fi Adapter 5 RGB...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Habarini wadau, Nauliza jins ya ku freez app ambazo sizitumii mara kwa mara ili kupunguza matumiz ya bando,nilikuwa natumia infinix smart 6 option ilikuwepo Lakini kwenye samsung A04 siioni kama...
0 Reactions
2 Replies
364 Views
Habarini wadau, Nauliza jins ya ku freez app amazon sizitumii mara kwa mara ili kupunguza matumiz ya bando,nilikuwa natumia infinix smart 6 option ilikuwepo Lakini kwenye samsung siioni kama...
1 Reactions
1 Replies
193 Views
Ada Lovelace alikuwa binti wa mshairi maarufu Lord Byron na Annabella Milbanke Byron. Ndoa yao ilidumu kwa muda wa mwaka mmoja tu, na Ada hakuwahi kukutana na baba yake. Ili kupambana na tabia...
2 Reactions
0 Replies
283 Views
Kwa sasa kutokana na maendeleo ya technology basi biashara nyingi zinafanyika kiurahisi zaidi tofauti na mwanzo. Wafanya biashara wengi wanatumia mifumo mbalimbali kuendesha biashara zao kwamfano...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Ipo hivi, akili mnemba au kwa kimombo Artificial intelligence AI's zimekuwa nyingi sana sikuizi. Ila hii ChatGPT imekuwa msaada mkubwa kwa watafutaji ajira. Fanya hivi fungua account ya ChatGPT...
3 Reactions
1 Replies
534 Views
King'amuzi cha Continental hakioneshi picha za channel za TBC zote, Safari Channel na Channel 10. Tatizo ni nini?
0 Reactions
9 Replies
678 Views
Kwa walimu wa shule za msingi nazani zitawarahisishia kazi zenu kipindi hichi Cha kuandaa maatokeo. INACHOWEZA KUFANYA 1 Kutambua daraja za kila somo (A-E) 2 kutafuta wastani kwa kila mwanafunzi...
5 Reactions
25 Replies
3K Views
Heri wakuu. Mwenye uzowefu na hiyo box, Najaribu kuweka simcard,inaisoma lakini haiwezi kuconnect internet. Tafadhali anaeijua,naomba anijuze shida yaweza kuwa nini
0 Reactions
4 Replies
301 Views
Habari zenu wakuu Nimekuja kwenu nikiamini hapa Kuna wataalamu Wana sayansi bomba wenye ujuzi na maarifa mengi Nilikua naomba ushauri kwenu nipo chuo na nimetumia muda mwingi kufanya tafiti na...
1 Reactions
3 Replies
338 Views
Msaada nataka kununua soundbar nzuri ya 1000 watts, naomba ushauri wa kitaalam aina ipi ni nzuri na wapi ninaweza pata. bar ya uhakika. Pia kama wewe ni muuzaji karibu. Bajeti yangu ni 1-2 Million.
3 Reactions
50 Replies
17K Views
Habari naomba kujua namna ya kufanya akaunti yangu ya YouTube ilipwe
0 Reactions
5 Replies
560 Views
Bilionea wa kiteknolojia Elon Musk amesema kwa mara ya kwanza kampuni yake ya Neuralink imefanikiwa kupandikiza kifaa maalum cha elektroniki kwenye Ubongo wa binadamu kisichotumia nyaya...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Back
Top Bottom