Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Google pixel 7&7pro ni moto wazeee Team pixel tukutane kuzijadili. Ikiwa tayari uzinduliwaji wa simu aina ya google pixel 7&7pro kuzinduliwa mda mchache ulio pita Sasa hizi ndio Bei zake na nchi...
4 Reactions
317 Replies
33K Views
Smart parents take extraordinary steps for their children's future. It's time to take that crucial step now and enroll your children in programming courses at Safco Academy! Why Safco Academy is...
0 Reactions
0 Replies
210 Views
Habari, Mimi ni mtumiaji wa hii App ya X zamani twitter ila inapotokea inahitajika kuifanyia update inashindikana kwasababu simu yangu ni android version 7. Halafu ni tecno na sasa hivi hii App...
1 Reactions
7 Replies
464 Views
Habari wanajamvi, nina Computer desktop Dell Precisio t3400 nahitaji kupata motherboard kwani kila ninapojaribu kuulizia napata ya t3500. Naomba msaada wadau.
0 Reactions
0 Replies
189 Views
Uliza utajibiwa Maswali yanayo husu ukubwa wa battery na muda ambao inaweza kufanya kazi cheki HAPA
0 Reactions
36 Replies
8K Views
Wakuu nina friji langu aina ya HAIER nimelinunua miez 6 iliyopita nilikua nalitumia vizuri tu bila tatizo ila mgao wa UMEME ulipoanza basi umeme ukirudi linakua linachelewa kuwaka Linakua...
11 Reactions
74 Replies
5K Views
Nakumbuka nilileta huu uzi hapa wa kuomba ushauri wa friji langu kujiwasha na kujizima[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]...
7 Reactions
16 Replies
915 Views
Mada hii imeshajadiliwa na wenzetu kabla. Hata hivyo kutokana na umuhimu wake ni muhimu kuijadili katika vipembe vingine kuzidi kuifahamu Microsoft wameshatangaza kuwa toleo la windows 10 liliopo...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Nauza laptop Elitebook HP 830g5 Resolution HD Cpu2.5 -3ghz Size 14 inch Bei 400,000 Location Dar Contact 0713307733
0 Reactions
1 Replies
328 Views
Why Choose Power Query Training with Us? Hands-On Learning: Our training is practical and hands-on, ensuring you gain real-world skills that you can apply immediately. Expert Guidance: Learn from...
0 Reactions
0 Replies
365 Views
Habari Earphone za buku mbili mbili na za buku jero zimenichosha sababu hazina maisha marefu wiki mbili tu zinaanza wenge sasa nataka niji upgrade nipeni jina la earphone nzuri ya 5,000 mpaka...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Sijui ni mimi tu mafundi niliowahi kutana nao au lah. Kama kule Kariakoo. Mitaa kama Aggrey na Uhuru zina mafundi simu wengi ila wengi kama siyo wote ni miyeyusho. Mikoani huko ndo kabisa. 1...
22 Reactions
58 Replies
8K Views
Hello bosses........ Nadhan hii inawakuta watu wengi pia. Kuna muda unafanya decision bila kuwa na sababu yoyote ya msingi au logical. Hii wazungu hupenda kuiita 'gut feeling'. Yaan unaweza panga...
7 Reactions
37 Replies
2K Views
Mimi ni mpenzi wa muziki na miaka 3 nyuma nilikuwa naweza kupakua miziki niitakayo kutoka YouTube yeyotena kuisave ili kuiplay kutumia y2mate lakini kwa sasa naona nakwama. Naomba msaada kwa...
2 Reactions
6 Replies
609 Views
Kuna mjadara unaendelea space kutoka kwa wataalam wa teknolojia bunifu ya akili bandia, nimejiunga kupata kitu na nimelegea kiakili zaidi baada ya kuona mambo yanayokuja. Kwa mfano katika muundo...
21 Reactions
253 Replies
10K Views
Wadau habari Nauliza kuhusuuborawa izi lens za canon fx1.8 50mm izilens kwa mdau aliye wahi kuzitumia izi lens je anaweza akashare tips za izi lens
0 Reactions
9 Replies
547 Views
google play services wanachukua kias Cha sh 4000 kwa mwezi mmoja.kila mwezi lakini situmii huduma yoyote kutoka kwao..ila niliwai kuingia mtandaoni nikaingiza namba ya Siri ya kuunda tu sio ya...
3 Reactions
15 Replies
731 Views
Habari Wana jukwaa, Kama kichwa kinavyojieleza naomba msaada jinsi ya kudownload vitabu kwa kutumia PDF drive, maana Kila nikijaribu nashindwa Kama kufungua akaunti nimefungua na kufuata process...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu bila shaka huu siyo msamiati mpya ila kama mjuavyo inawezekana jambo unalisikia miaka mingi tu na kulielewa juujuu tu ila ukitakiwa kulieleza kitaalamu ukakwama. Nimepita ukurasa fulani...
3 Reactions
6 Replies
677 Views
Back
Top Bottom