Habari wana jamii naomba mwenye kujua app nayoweza kudownload nyimbo na hata nikibadili simu nizikute mgano picha kwenye google photo nikibadili simu nazikuta.nataka kwa nyimbo sasa. Maana natumia...
Katika harakati zangu za kutembea sehem tofauti hapa tanzania nilipita moshi mwezi uliopita, nikalala kwenye lodge moja nzuri sana, palikua na tv pale ndani, ile tv sikuielewa mchanganyiko wa...
baada ya kupokea PM nyingi kutoka kwa wadau mbalimbali kuwa badala ya kuweka hapa link ambazo wengi hawawezi kuziplay, wameshauri niweke kwenye app moja ambayo itakuwa rahisi kwa wote kuplay...
Wakuu kama title inavyojieleza nina kitochi hapa huwa kinanisevu sana ku hotspot PC na simu yangu muda mwingine, sasa kinaboot kinaishia kwenye logo.
Nahitaji msaada namna ya kukiflash, hii ni...
Tumepiga kelele weeee ila wapi!!!!
wanatubania njia za kupokea pesa kirahisi kutoka nje huku wao wanazunguka tu na viti huko maofisini wakisubiri mishahara yao wakati vijana wasio na ajira...
Heshima kwenu wakuu,
Je, Inawezekana kuonyesha mpira kwenye TV kwa kutumia smartphone? If yes naomba kujuzwa vitu muhimu kama cables needed and apps.
Sent using Jamii Forums mobile app
AI imeendelea kuthibitisha kuwa inaweza kuona picha, kufanya hesabu, na kadhalika. Mifumo mingi ya captchas hutegemea picha, hesabu, herufi na sauti kucheki kama mtumiaji ni bot au binadamu.
Kuna...
Habari zenu Guruz wa jukwaa la Tech.
Mwenzenu simu ya wife ameset imekuwa linked na Google kwenye message na sasa haitaki tena.
Sasa kaniachia msala wa.kuiondoa ili ibaki kawaida
Sqsa hio G hio...
Habarini wakuu
Tangu kifurushi cha startimes kimeisha nikaamua kuchomeka waya ya antenna direct kwenye tv na kuscan channel.
Nimepata channel zaidi ya 10
ITV, TBC, STARTV, CAPITAL TV, CH10, EATV...
Unapozungumzia setelite tofauti na huduma zengine ambazo ni rahisi kuwekewa vikwazo mfano mfumo wa redio za sauti,mawasiliano ya simu na njia za waya au wireless zenye uwezo masafa yasio kwenda...
Habari wakuu
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyouliza.
Kuna website nikifungua kupitia simu yangu naweza kukopi text lakini Kuna website zingine siwezi kukopi.
Nafahamu baadhi ya website...
INVERTER NI NINI?
Inverter ni kifaa kinacho badili umeme mdogo wa Direct Current (DC) kuwa Alternative Current(AC) na kuukuza ili uweze kkutumika kwa matumizi ya vifaa vikubwa vya nyumbani kama...
Wakuu, Nina Smart tv hapa inch 32 ( Alitop ). Naomba kuelekezwa jinsi ya ku-connect simu na tv Ili nicheze game kwenye simu ila display ionyeshe kwenye tv.
NOTE: Tv ni Alitop , simu ni Infinix...
Samsung imeachia update ya Android 14 One UI 6 toka wiki iliyopita.
Kwa wale wenye simu za Galaxy 23 Ultra unaweza ku-update simu yako kwenda One UI 6.
Binafsi nilisha update lakini sioni...
Habari Ndugu zanguni?
Mimi nahitaji nitumie umeme wa solar maana nilipoweka makazi umeme wa tanesco haujafika.
Nataka nitumie
i) Taa (04)
ii) Kuchaji Simu (07)
iii) Sabufa (01) tu .
Je, napaswa...
Habari. Kama kichwa cha habari hapo juu. Naomba msaada wa unlock code kwani nimechoshwa na kuunga bando ktk lain ya tigo maana ni gharama sana!
Naambatanisha na emai ya simu.
Network: TIGO
Model...
Kwema?
Nimepokea pesa kidogo kutoka kwa rafiki yangu nje ya nchi na kwa sababu PayPal haipokei pesa Tanzania nikamuomba anitumie kupitia Worldremit.
Tayari kanitumia tangu saa sita mchana na...
Habari mwanajamvi, najua umekuwa na siku ndefu sana ya kikazi maofisini au biasharani, ama mwingine unasoma uzi huu ukiwa kazini, piga kazi, kazi ni kipimo cha utu.
Kabla sijaendelea mbali naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.