Hii simu nimeielewa ile mbaya ila siijui kiundani naombeni msaada wenu mnaozitumia hizi au mliowahi kutumia.
Please, toa kasoro kwa kuonesha experience uliyonayo siyo ya kusikia au kuhisi.(uwe...
eBay imekubali kulipa $59m (£46.3m) kutokana na madai kuwa iliuza vifaa vinavyoweza kutengeneza dawa za kulevya.
Idara ya sheria ya Marekani ilikuwa imedai kuwa maelfu ya mashine za kutengenezea...
Dell inspiron 15 1564
Ni ya muda kidg,
Mkanda, na imepasuka kidg kwenye kioo nje
Nahitaj kujua makadirio ya matengenezo na upatikanaji wa spareparts maana ni pc ya kama miaka 10 nyuma hvi..
Ahsanteni
Simu kutokaa na chaji huwenda ikawani ni moja kati ya lalamiko kubwa kwa wamiliki walio wengi wa simu janja (smartphone).
Vipi ukipata simu ambayo inakaa na chaji kwa muda mrefu, huwenda ikawa ni...
Kila siku, teknolojia ya Artificial Intelligence (AI) inavyoendelea kukua, ndivyo inavyoleta mabadiliko makubwa katika maisha yetu ya kila siku. Watanzania pia wanafaidika na maendeleo haya...
Mkurugenzi Mtendaji wa Meta, Mark Zuckerberg ameomba msamaha kwa familia zinazosema watoto wao walidhuriwa na mitandao ya kijamii, wakati wa kikao kilichowaka moto katika Bunge la Seneti la...
Habar ,
Kuna ndugu yangu anasoma Mechanical Engineering so ameniambia wanahitajika kuwa na laptop kulingana na course yao husika
Hivyo basi nimekuja kwenu kuuliza
Ni laptop aina ipi na yenye...
Satellite internet is wireless internet beamed down from satellites orbiting the Earth. It’s a lot different from land-based internet services like cable or DSL, which transmit data through wires...
Niko huku mkoani Songwe Mbozi,naomba msaada kwa anaewajua mafundi wazuri wa mafridge huku tafadhali.
Fridge halipozi kabisa.Kuna fundi njaa alikuja kadai ni gesi imeisha,kajifanya kujaza lakini...
Habarini,
Naomba msaada najaribu kujisajili kwenye mfumo wa rrims wa latra lakin mahali napohitajik kuweka namba ya nida nikiweka inakataa je ni mtandao au kuna tatizo la kiufundi zaidi.
Kumbe kuna friji ni hadi mvua inyeshe ndio inagandisha vizuri na kupooza.
Hapa nimekuja kujua hili kwamba kuna friji zinafanya kazi kukiwa na mvua tu au baridi ndio linagandisha na kupooza...
Habari Wanajamvi,Awali ya yote niwatakie maandalizi mema ya sikukuu ya pasaka.Ishu yangu mimi ni hii!!! nawezaje kutumia screen mbili kwenye kompyuta moja? Yaani,wakati nimefanya kazi flani ktk...
Habari za jioni wakuuu nina mashine photocopier aina ya CANON 2520 IMAGE RUNNER (2014) nataka kuiunganisha na computer ili niwe na print na kuscan moja kwa moja nimejaribu kutumia CD walizonipa...
Wana tech habari ya muda huu, nataraji kuwa kila mmoja wetu ameamka salama kwa wenye changamoto ya afya mungu azidi kuwapigania.
Nisipoteze muda kwa wanao jua ni namna gani naweza kudownload...
Habari WanaJF naamini Kuna maProfessional wa kupiga picha na kutengeneza passport humu ndani.
Mara nyingi unajikuta ukitengeneza passport inatoka vizuri lakini kichwa kinakuwa slightly or totally...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.