Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Kenya lunch 1st satellite-2018 Rwanda lunch satellite-2019 Ethiopia lunch satellite-2020 Uganda lunch Satellite-2022 Zimbabwe lunch satellite-2022 Tanzania lunch satellite-0...
4 Reactions
53 Replies
2K Views
Mzigo jamaa anataka million 1.3. Wataalam nipeni uchambuzi kabla ya kuzama mfukoni.
0 Reactions
28 Replies
1K Views
Sabufa yangu inatoa sauti inayokwaruza nini chanzo cha hili tatizo?
1 Reactions
14 Replies
2K Views
CODING Coding inahusisha uandishi wa maelekezo fulani kwa lugha ambayo inaeleweka na kompyuta. Lugha hizo ni kama python, C, C++ n.k. Lakini pia coder anaweza kua na uzoefu na scripting kama vile...
10 Reactions
49 Replies
7K Views
Kuna mfanyabiashara mmoja nilikuwa natazama bidhaa zake Kwa watsap status ...mara akani block...aliamua Ku block wote ambao hatujawahi nunua hizo bidhaa... Nimewahi sikia inawezekana kutazama...
17 Reactions
103 Replies
10K Views
Kuna site nimeingia ikiwa na matangazo ya kujinasibu kuwa tuna update free driver to your Laptop.Nikaona acha nifaidike na huduma ya bure.Baada ya kudawnload na kufanya installation na kuelekea...
0 Reactions
5 Replies
357 Views
If you've seen the incredible upward momentum of Bitcoin, Ethereum, and other cryptocurrencies, you've maybe also considered getting in on the action. Now, you're gonna learn how. But first, a...
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Nimejikuta nina hofu ya kupoteza data zangu hasa baada ya matukio kadhaa ya kupoteza flash, kuibiwa simu, n.k. Data zilizokuwemo humo zilipotea moja kwa moja, ni kumbukumbu za muhimu siwezi kuja...
0 Reactions
21 Replies
856 Views
Wakuu nahitaji kujua nice nitatumia solar ya watt ngapi? Na betri la AH/N ngapi? Ili niweze kuwasha taa mbili na kucharge simu mbili zenye jumla ya mAh 6000 kila siku hata kipindi cha kifuku...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Ni wapi naweza kununua device ya namna hiyo kwa ajili ya kuonyesha location?
1 Reactions
5 Replies
433 Views
Wana Tech Kwema? Mimi ni full stack programmer Nafanya Web, na Mobile Nafahamu languages zifuatazo 1.PHP 2.Javascript 3.Java 4.Kotlin 5.mysql 6. Na kidogo flutter Mimi sio mzuri Sana kwenye CSS...
6 Reactions
75 Replies
3K Views
Habari wana JF ! Nimekusudia kumiliki simu hii ila bei yake kwa sasa siijui, so kwa yeyote anae jua bei yake naomba anifahamishe na wapi sehem duka ambalo nawez ipata og yenyew hapa Dar maana...
2 Reactions
48 Replies
3K Views
Habari; Tuseme mfano nahitaji kuskiliza mziki. ninachoskiliza kwenye headphone kiskike vile vile kwenye Bluetooth speaker kwa pamoja. kelphin, Extrovert na wadau wengine karibuni.
2 Reactions
12 Replies
634 Views
Nimekaa nikawaza nikaona kuna mambo mengi hayako sawa. 1. Zamani antenna ya analogy ile masikio ilikuwa inajizungusha yenyewe signal zikipotea unabonyeza tu kitufe. Hizi za sasa mpaka uipandilie...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu. Mbona app ya sms imekuwa kama whatsapp. Hata inaruhusu kuunda niunde group. Imekaaje hii?
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Habar za usiku wananzengo!! Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza Kwayeyote mwenye kujua apps nzuri ya music player kwenye simu naomba anitajie tafadhali ili ni download niweze...
4 Reactions
114 Replies
8K Views
Anaejua kuhusu HTML, anisaidie kugeuza code zake kuwa simple App
3 Reactions
4 Replies
452 Views
Habari za muda huu wanajamvi. Naenda moja kwa moja kwenye mada.. Mpaka hivi leo matumizi ya saa janja za mkono (smart watch) yameongezeka sana hapa nchini na maeneo mengine duniani, hali hii...
7 Reactions
23 Replies
2K Views
Back
Top Bottom