Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu habari, Nataka kuunda video ambayo nitakuwa nikitoa maelekezo kupitia mic huku nikirekodi screen kwenye pc ya kile nikachokifanya. Ni software gani inayoweza kunisaidia kufanya hilo ambayo...
3 Reactions
23 Replies
809 Views
Nimepotelewa na funguo ya gari na haikuwa na copy, vipi kuna uwezekano wowote wa kutengeneza funguo bila copy ya kuangalizia? Kama kuna mtu anao utaalamu tusaidiane au tupeane contacts kwa...
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Habari za wakati huu wadau wa Jamiiforums, Ama baada ya salamu ni kwamba nina desktop aina ya Dell, nimekuwa niikitumia kwa matumizi ya kawaida tu mfano scanning, printing n.k lakini baadae...
1 Reactions
4 Replies
353 Views
Habarini za muda huu wakuu, Msaada namna ya kurudisha tena msg iliyofutika bahati mbaya anaefahamu njia ya haraka pls nijulishe yani ni msg muhimu sana kwaajili ya malipo.
0 Reactions
2 Replies
533 Views
Nimekuwa nikiagiza mizigo AliExpress kwa muda Sasa ,, nataka tumia alibaba kwa baadhi ya mizigo Nimechat na seller kanitumia link na nili inquiry logistics company akanipa cheapest Ni Dola 30USD...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Naomba kujua namna ya kudownload english subtitle kwenye movie "ahsanten" Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
35 Replies
8K Views
Mauzo ya simu za Apple nchini China yameshuka na dalili zinaonesha yataendelea kushuka mwaka huu wa 2024, kwa mujibu wa utafiti wa Jefferies. Mauzo ya iPhone 15 series hayakuwa mazuri tangu...
5 Reactions
46 Replies
3K Views
Habari za jioni ndugu zangu, naomba msaada mwenye kuelewa hili ninashida na home theater yangu inatatizo lakupoteza sauti nakubaki na bass tu peke yake pindi ntakapoweka sauti kuanzia 16 sauti...
2 Reactions
9 Replies
499 Views
wakuu niaje.nina simu ya samsung note9 shida niki unistall au delete txt notification ya deleted inakaa muda mrefu sana alaf ndy inatoka.eg. picha below
4 Reactions
5 Replies
410 Views
Kumekuwa na dhana kuwa wakati radi ikipiga huku ukiwa na simu iliyowaka kuna uwezekano ukadhurika na radi kutokana na uhusiano wa karibu kati ya umeme wa simu na umeme wa radi. Sasa je, ni upi...
6 Reactions
15 Replies
7K Views
Sio kila kilichopo kimetengenezwa au kuundwa kina dhamila mbaya inaweza kuwa nzuri kwa wengine na wengine wakatumia vibaya. Teknolojia inazidi kukuwa na kuwa msaada kwa matumizi lakini ugeuka...
2 Reactions
3 Replies
692 Views
Salama mafundi simu. Nokia yangu kama ilivyo kwenye picha,haisomi laini yoyote.
1 Reactions
8 Replies
775 Views
Katika Tehama kuna haya maneno HARDWARE na SOFTWARE software nikama control ya hardware.
0 Reactions
0 Replies
282 Views
Wakuu kuna kisimu changu kimeibiwa sasa nimehangaika naona imekuwa mambo mengi kama mtu unaweza kuifunga isifanye kazi kama inawezekana nitashukuru Lakini pia kama utaitrack kama utamlipisha...
0 Reactions
6 Replies
717 Views
Kama unahitaji website kwa ajili ya Biashara yako au app kama vile za movie, mziki, kubet, social media na vingine vyote. Malipo ni baada ya kazi. Karibu 0692782826
1 Reactions
6 Replies
701 Views
Naombeni Msaada, nimesahau e-mail na password za account yangu ya Facebook. Nawezaje ku-access account yangu?
0 Reactions
16 Replies
40K Views
Wanajamii habari zenu ,ninaomba msaada wa kielimu kwenye suala hili la kutengeneza animation ya automated power factor correction system kwenye kiwanda kidogo . Pia na namna ya kuandika...
0 Reactions
6 Replies
653 Views
Najuta kuchukua star X [emoji17][emoji55]‍[emoji2418], of course iko vzur Quality HD, muonekano mzuri deep black (margin nzur + kioo) zote n deep black sio unakuta margin nyeus kuliko kioo...
4 Reactions
42 Replies
4K Views
Habari za saa hizi wanajf! Nahitaji kununua TV ila sijajua kati ya hizo kampuni mbili ipi ni nzuri kwenye ubora wa picha na kudumu. Nasikia Samsung TV ipo ya kichina, UK, Korea na South Afrika...
1 Reactions
41 Replies
6K Views
Nimeleta nyuzi kadhaa kuhusu programming watu hawanijui na Wala hawajawahi kuniona anaongea if anakufahamu Kuna watu baadhi yenu huku mnanifahamu na tulishawahi kuonana live tuka discuss na...
2 Reactions
9 Replies
369 Views
Back
Top Bottom