Wadau pc yangu ni Dell toleo la zamani, wakati nafanya shighuli zangu za kawaida imekata moto gafla ila adapta inawaka kama kawaida sema pc yenyewe ndo haiwaki.
Nina mpango wa kumwaona fundi ila...
Mhandisi wa kompyuta huchanganya uhandisi wa umeme na sayansi ya kompyuta ili kutegeneza teknolojia mpya. Wao hupanga, kujenga, na kuratibu vifaa vya kompyuta katika kompyuta za kisasa.
Wahandisi...
Habari
Nimeingia kariakoo kununua RAM nimemwambia muuzaji nahitaji ram DDR3 GB 8 ananiuliza tena unataka ipi PC3L au PC3 nikabaki mdomo wazi nikamwambia hebu nipe elimu kidogo tofauti ni nini kati...
Habari za jion wadau kama Kichwa Cha habari kinavyosema
Laptop aina dell E5430 Inaleta mistari kwenye screen ikiwa imetingishwa ila ikitulia screen inatulia je ni tatizo la screen au software...
Kuna hii machine ya kitambo sana kichwa chake hiko kilizingua nikaiweka kando. Nataka kuifufua niinunulie kichwa chingine. Spika zake zote ziko vizuri
Au kama kuna namna ya kuunga spika zake na...
Je umekuwa ukitafuta mahali unaweza weka Miziki yako baada ya Kuweka Cover katika hiz Nyimbo ili ubrand jina au Website jina lake sasa karibu
KWETU CLOUD ni Kikundi ambacho kimeanzisha Panel...
Kutengeneza mobile au web application haitofautiani sana na ukandarasi wa majengo, kwamba kabla Engineer hajanyanyua mjengo ni lazima awe na design au ramani ya jengo, kutoka kwa Architect.
Ndivyo...
kupoteza data huwa ni hasara kubwa, ni heri upoteze au uibiwe laptop ama simu lakini uwe na backup
Laptop yangu ina storage mbili
A. 128 GB SSD - Hii nimeweka window, programs na documents, ina...
Habari wakuu?
Nilinunua hisense smart 4k inch 58. Miezi miwili iliyopita. Sasa jana kwa bahati mbaya ime crak kioo. Na warant inasema mwaka mmoja. Je naweza wasiliana na mwenye duka akanipa tv...
Habari zenu wakuu , kama Kuna fundi anaeweza kurekebisha hii redio anitafute pm, mm nipo Dar so na yeye awe Dar
Shida yake ni ukiiwasha inawaka izi taa za pembeni pekee
Huduma ya internet ya bei nafuu na yenye kasi kubwa ya Bwana Elon Musk ya Starlink sasa inapatikana Msumbiji.
Sasa karibu nchi zote zinazoizunguka Tanzania zina Starlink. Tanzania tunasubiri Elon...
Naomba kujua nn tatizo kwenye hiki kingamuzi cha azam. Naona ghafla tu chanel zote za mpira hazionekan kwenye orodha ya chanel na salio lipo la kutosha, nimejaribunku search automatic lakin...
Sikuhizi watu wengi wamejiajiri kama content creator. Sasa ukitaka content zenye quality nzuri unahitaji mahali patulivu pa kurekodia sauti. Nauliza kuunda booth ya kienyeji ya kurekodia itaweza...
Habari wapenzi wa teknolojia! Habari za kusisimua kwenu wanafunzi wa chuo ni kwamba simu ya TECNO SPARK 20 inatarajiwa kuzinduliwa chuoni UDSM tarehe 06 Februari 2024, hii itakuwa ya kipekee sana...
Picha linaanza unakuta profile picture yake ni ya kibabe
Ila kwa vitendo sasa unaona kabisa ni sifuri
Wanajua zaidi kupiga domo kwenye misamiati na vitu maneno technical ila vitendo 0...
Maoni!!
Wengi huwa tuna malengo ya kujifunza mambo mapya huu mwanzo wa mwaka,
Je ni kipi cha kujifunza kati ya animation na programming?
Kama mimi ningeambiwa nichague ningeenda na...
Hi. Mfano wa hizo technology zenyewe ni
1. QLED
2. OLED
3. ULED
4. UHD4K
5. VIDAA
6. NAnocell
7. CrystalUHD
8. NeoQLED
9. OLEDevo
10. iphone 13
Ukichukua hiyo tv mpya na tv ambayo ulinunua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.