Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
𝗔𝗽𝗽𝗹𝗲 𝗶𝗺𝗲𝘄𝗮𝗼𝗻𝘆𝗮 𝘄𝗮𝘁𝘂𝗺𝗶𝗮𝗷𝗶 𝘄𝗮𝗸𝗲 𝗸𝘂𝗮𝗰𝗵𝗮 𝗸𝘂𝘁𝘂𝗺𝗶𝗮 𝗰𝗵𝗮𝗷𝗶 𝘇𝗮 𝗔𝗻𝗱𝗿𝗼𝗶𝗱 𝗸𝘂𝗰𝗵𝗮𝗷𝗶𝗮 𝘀𝗶𝗺𝘂 𝘇𝗮𝗼 Store ya Kampuni ya apple nchini china imewaonya watumiaji wa iphone 15 series kuacha kuchaji simu zao kwa...
9 Reactions
50 Replies
4K Views
Habari za muda huu sons and beautiful daughters of men. Ninyoke kwenye mada. Hivi hawa samsung wameshindwa kabisa kutengeneza batteries au vip yaani simu kama note 10 ina 3500mah s10 3400mah ...
8 Reactions
189 Replies
20K Views
Katika pita pita zangu mtandaaoni, nimekutana na review ya device za Huawei na Harmony OS kwa who is the boss. Aisee Harmony OS ni kali sana, hasa devices zake zinavyopair na kuinteract yani ni...
1 Reactions
3 Replies
398 Views
Wakuu mganga ajigangi nimepata hii shida kila nikisajili namba yangu whatsapp au kusajilia namba yangu kisha nibadilishe kwenye hii namba Huu ujumbe nimeteseka sana nao na hapo natumia official...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
...
0 Reactions
8 Replies
528 Views
wakuu kwema msaada kwenye tuta,nina vibarua kama 100 nimepewa jukumu la kuwalipa kila siku baada ya kazi kuisha waliorodhesha namba zao kwahyo kila ikifika saa 10 kila mmoja anatumiwa pesa yake...
3 Reactions
10 Replies
726 Views
Yaani nimekuwa disappointed sana na hii simu, Ina complications na ina lack features ambazo ni za kawaida sana kwenye android. 1. Number row on keyboard hamna. 2. Text massage app yao huwezi ku...
46 Reactions
332 Replies
12K Views
Siku zote lipo tumaini katika hali yeyote mtu anayokutana nayo Maishani. Umasikini au hali ngumu ya Maisha sio vitu anavyodumu navyo mtu siku zote. Nnamdi Ezeigbo, ndie Mwanzilishi na mtendaji...
24 Reactions
72 Replies
22K Views
Wasalaam Wakuu, Naomba kujua ni vipi unaweza kutumia handset yako kuchangia humu JF? Kwa mfano mimi natumia TECNO H7 smartphone lakini nashindwa kutumia effectively JF zaid ya kusoma tu, sasa...
1 Reactions
30 Replies
13K Views
Habarini. Sote tulishuhudia Mtaalamu kigogo alivyosumbua. Wakuu nimeona nije na swala hili kwamba huyu kigogo umahiri wake kiweza kukwepa mishale enzi na awamu Ile technically ikoje hii.? Msaada...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari! Ushamba siyo dhambi, ushamba siyo ulemavu wala ushamba siyo ugonjwa. Ushamba ni jambo la aibu ndiyo maana watu wengi hawapendi kuonekana washamba. Kinyume na wengi wasiopenda kuonesha...
3 Reactions
39 Replies
6K Views
Habari wakuu? Naomba mnipe tofauti ya hivyo nilivyo taja hapo juu. Nini matumizi yake? Faida na hasara zake? Na ni ipi bora kuwa nayo nyumbani? AHSATENI
1 Reactions
9 Replies
2K Views
I love tech. Phones are part of it. Leo nilikutana na fundi simu mmoja wa miaka mingi sana. Nakumbuka mwaka 2009, kabla Simu za laini mbili hazijakuwepo, huyu fundi alikuwa anakata laini na...
1 Reactions
6 Replies
571 Views
Habari za muda huu? Naomba kupata muongozo kwenye uchaguzi wa camera hizi mbili Canon 5D Mark II na Canon 750D Ipi nzuri, kwa matumizi ya picha na video shooting, Natanguliza shukrani.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naomba kuelekezwa ni jinsi gani naweza pokea pesa kutoka Kongo kupitia mitandao ya simu yani namaanisha mpesa, airtel money au tigo pesa
0 Reactions
2 Replies
571 Views
Infinix NOTE 30 na Samsung A24 ni miongoni mwa simu janja ambazo zimeachiliwa Mwaka huu na kuuzika katika mataifa mbalimbali. Simu hizi zinatofautiana bei na baadhi ya sifa hivyo basi leo...
4 Reactions
27 Replies
7K Views
Kwenye pitapita zangu huko kwenye YouTube nimekutana na channel yenye subscribers 151 tu. Ila ukiplay video inaleta kwanza matangazo. So, hii ndo kusema hii channel ya watu 151 Iko monetized...
0 Reactions
2 Replies
414 Views
Habari za humu jamani naombeni msaada simu yangu infinix hd model x612. Camera imenizingua nikipiga picha picha inageuka juu chini na ya nyuma ndio imegoma ata kufunguka kabisa msaada wenu waku...
0 Reactions
7 Replies
468 Views
Ukuaji wa technology pamoja na fild zake kama AI, robots, autonomous na IoT Umeongeza fursa hasa upande wa M2M. Kama unampango wa kua billionea miaka ijayo anza sasa, fanya research na kuona...
0 Reactions
2 Replies
401 Views
wakuu wataalam wa tech, je nawezaje kusoma text au jumbe zilizotumwa kwene account yangu ya Facebook kupitia Email? Zamani sana nilikuwa naweza kusoma ujumbe kupitia email notification bila...
1 Reactions
3 Replies
675 Views
Back
Top Bottom