Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Habari ya uzima wakuu, Naomba mnishauri wapi nitapata gpu nzuri na ikiwezekana mniambie ninunue toleo gani bajeti yangu 400k asante CHIEF MKWAWA
1 Reactions
81 Replies
5K Views
Hili ni jiko la umeme na la kisasa ,ambalo ni fanisi, linatumia umeme kidogo SANA, linapika haraka mara mbili zaidi ya gesi na ni salama kutumia, ni JIKO JANJA kwa sababu ni la kutachi kama...
6 Reactions
60 Replies
24K Views
SASA RASIMI PI IMEKUWA LISTED KWA THAMANI YA $0.2 ILIPANDA MPAKA 3 ILA SASA INASHUKA IPO 1.2 NA ITAZIDI KUSHUKA SABABU WATU WANAUZA SANA CRYPTO NDIO ILIVYO PI ILISHINDWA MALENGO YAKE TOKA ZAMANI...
1 Reactions
0 Replies
100 Views
Habari Wakuu. Naomba msaada Nina Aquos sense 5G, inachangamoto kwenye internet, niliagiza 2nd hand from Dubai nilipoweka laini mara ya kwanza ikadai PIN nikamcheki supplier akaniomba nimtumie...
3 Reactions
16 Replies
290 Views
Wadau, me shida yangu ni ndogo tu.. Naomba mnielekeze jinsi gani naweza kumtag mtu/member mwenAngu humu JF. Nawasilisha
4 Reactions
360 Replies
29K Views
Viongozi nilikuwa naomba mnisaidie jina la mfumo unaoweza ku tract kila kitu kweny kampuni kuanzia accountung,inventory,sales and purchases ,etc
2 Reactions
12 Replies
272 Views
Hebu nitoe maelezo yenye undani kuhusu akili bandia (Artificial Intelligence - AI), aina zake, na jinsi inavyofanya kazi: 1. Ufafanuzi wa Akili Bandia (AI) Akili bandia ni uwezo wa vifaa vya...
0 Reactions
1 Replies
160 Views
Kwa wale wapenzi wa game za mpira kwenye pc karibuni tujumuikeni hapa hasa kwa wale wa pc na hata console pia sio mbaya. Lengo ni kupeana mambo kama yafuatayo-: Latest patch (update...
20 Reactions
1K Replies
154K Views
Nataka kununua router ya Airtel ila mitandaoni naona kelele ni nyingi juu ya malalamiko kuhusiana na internet kuwa slow. Nilipo hapa natumia bando la kawaida la Airtel na liko poa. Naombeni...
5 Reactions
43 Replies
2K Views
Wakuu kuna mtu amehack group langu la whatsapp la muhimu sana. Naombeni kufahamu inawezekanaje hii, mtu umemuamini na kumpa uadmin halafu unaamka unakuta "You're no longer an admin" wakati wewe...
7 Reactions
35 Replies
709 Views
Baada ya DeepSeek kuleta changamoto sasa Elon Musk kaamua Grok kupatikana kama Application ya kawaida, ambayo itapatikana kwenye App store zote.
1 Reactions
4 Replies
177 Views
Choosing the Right AI Model for Strategic Tasks Businesses today face the challenge of selecting the optimal AI model for tasks ranging from simple automation to complex strategic...
1 Reactions
2 Replies
228 Views
Penye wengi daima pana mengi, nimekuwa mfuatiliaji wa mada zinazoendelea kwenye jukwaa hili la Teknolojia hasa ukizingatia kadri siku zinavyozidi kwenda basi na teknolojia nayo inazidi kushika...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari wa coding. Kama ttitle inavyojieleza kwa utafiti niliyofanya kwenye upate wa coding, DEEPSEEK niko vizuri zaidi kwa kuandika code ambazo sija experience kwenye CHATGPT, nimekuwa mdau wa AI...
20 Reactions
50 Replies
2K Views
Wakuu kifupi mimi ni music enthusiast, hivyo nazingatia sana quality ya muziki maana ndo burudani yangu kuu! Sasa ni muda mrefu nimetumia Sony zile radio za kizaman zenye cd 3, nimepata quality...
23 Reactions
221 Replies
13K Views
Jamani poleni nakazi na mihangaiko ya hapa na pale wakuu. Kama nilivyosema mimi ni mpenzi wa games sasa kuna gaming pc nimeipata mshikaji anaiuza hana hela kaishiwa ina graphic card aina ya GTX...
1 Reactions
19 Replies
413 Views
Habari wana jukwaa juzi nimenunua Tv aina ya Star X inch 50 smart Tv 4k UHD. Wakati nainunua hii Tv waliniwekea baadhi ya video kutoka Youtube na zikawa zinaonesha clear sana hadi nilipenda kwa...
5 Reactions
90 Replies
11K Views
Nimeitumia deepseek nafikiri mimi ni mmoja wa watumiaji wa mwanzoni. Ilikuwa vizuri na ipo fasta. Lakini baada ya kuanza kelele kila muda inashindwa kufanya kazi server zao ni ndogo mchina...
8 Reactions
44 Replies
2K Views
Wadau kuna yeyote anaweza tupa maujanja hasa frequency ambazo zitatupa FTA channels frm satellite kwenye AzamTV
1 Reactions
18 Replies
14K Views
Nipeni Specifications za computer zinazo support kazi za Graphics design Especially InDesign Adobe Photoshop Illustrator Nataka ku base humo
2 Reactions
14 Replies
255 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…