Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Ulishawahi kukaa ukajiuliza mbona kuna baadhi ya watu wana ngozi nzuri laini na soft? lakini kwako ni tofauti? ukawaza labda wanatumia vitu vya bei ghali ambavyo wewe huwezi ku – afford, au umesha...
2 Reactions
8 Replies
9K Views
Wiki ijayo nina harusi wadau, nataka kuutoa au kuupunguza ule weusi wa kunyoa ndevu mashavuni na shingoni kwa njia za asili maana "scrub" za kizungu za viwandani hazinisaidi wakuu na mimi nataka...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Jamani kupendeza na kushine ni jambo la kila mwanadamu, Najua humu jf watu muna experience na lotion mbali mbali .JE ni losheni gani kumfanya mwanamke ashine na ipi nzuri kwa mwanaume
0 Reactions
80 Replies
65K Views
HERENI ni pambo linavoliwa masikioni na kwa kiasi kikubwa linachangia kuongeza mvuto na muonekano mzuri. Kuna aina nyingi za hereni katika tamaduni mbalimbali. Zipo ambazo hutengenezwa kwa...
1 Reactions
8 Replies
7K Views
Wigi huvaaliwa zaidi na wanawake wenye asili ya Afrika au Wamarekani wa saili ya Afrika. Chimbuko halisi la uvaaji wigi ni ubaguzi uliokuwepo wakati wa utumwa ambapo wale wenye ngozi nyeupe na...
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Wachambuzi wa mambo ya saikolojia wanasema kwamba kwa kuchukua tai na kulivaa ile rangi ndiyo itakayoweza kupeleka ujumbe wa wewe unataka nini au unataka watu wakutambue kwa namna gani. Wakati...
5 Reactions
7 Replies
12K Views
Ni mafuta aina gani ni mazuri kwa kulainisha ngozi na yasio na madhara?
1 Reactions
22 Replies
16K Views
Habari zenu Naomba leo tuambizane ni mafuta gani au dawa gani unayoitumia pindi unapoa ndevu au sehemu za siri na kukufanya ngozi yako ibaki nyororo isiyo na vipele Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Watu wanajua kutengeneza magauni ,,,halaf kama linatisha hiviii au macho yangu tu
2 Reactions
38 Replies
10K Views
Habari JF, Ninaishi sehemu kunakopatikana maji ya chumvi kwa wingi, ni eneo nililohamia hivi karibuni. Nilichogundua ni kwamba maji haya yakitumika kufulia nguo huwa zinapoteza ule umaridadi...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Naomba kujuzwa bei ya hyo facial wash na alie wahi kuitumia ani juze kama ni nzuri hasa kwa oily skin
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau, Hii nimeishuhudia sana Arusha hasa sehemu za Tengeru kwenda mbele. Utakuta mama kaualamba vizuri kweli mfano gauni zuri, au dila, su sketi ndefu nzuri au suruali pana ya heshima. Utakuta...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Katika miongo kadhaa iliyopita, uvaaji wa wigi umekuwa fasheni katika sekta ya urembo na hutumika hususan na wanawake. Ingawa uvaaji wa wigi huwafanya wanawake hao kuonekana mithili ya mtu...
2 Reactions
15 Replies
6K Views
Habari waungwana, ni sehemu gani kwa hapa dar naweza pata jeans na shati og kutoka USA au sehemu nyingine ambazo sio za kichina? Nataka jinsi kama anayo vaa vandame ( pure og).. sio hizo za akina...
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Tujionee viatu vya majira ya kiangazi kwa wanaume na wanawake. casual wear
4 Reactions
33 Replies
10K Views
Warembo wengi huwa tunajitahidi kuvaa nguo zitakazotukaa vizuri kulingana na maumbo yetu lakini viatu tunavaa tu vyovyote tunavyoona vizuri. Hii si sahihi! Kama mjuavyo, muonekano mzuri wa mavazi...
5 Reactions
47 Replies
18K Views
Sio lazima kila wakati watoto wetu tuwasuke vidole vya maputo au kuwavisha vikofia vilivyosukwa kwa uzi. Mtoto pia anaweza kusukwa rasta simple kabisaa na akapendeza vizuri. Kina mama hata kina...
3 Reactions
56 Replies
38K Views
Mambo ya ubunifu hayo sasa sijui utanunua sahani kwa ajili ya chakula nyumbani au kwa tupambe ukuta? Au ungo kwa mimi ningetumia vile viungo vidogo vidogo tena siku hizi unaweza kuzipaka rangi...
3 Reactions
18 Replies
8K Views
kama mada inavyosema uso wangu unamafuta mengi hivyo naomba mafuta gani mazuri kwa kupaka asante
1 Reactions
18 Replies
8K Views
Back
Top Bottom