DOKEZO Threads

Mamlaka ya usimamizi wa usajili wa majini TASAC katika mkoa wa Mwanza, wameendelea kwa muda sasa kufanya jambo la hatari kwa maisha ya watu na mali zao kwa kushindwa kusimamia usafiri wa Majini...
0 Reactions
1 Replies
323 Views
Kama nchi hakuna changamoto kubwa katika maisha ya vijana wetu wanaomaliza kidato cha sita katika elimu kama uchaguzi wa taaluma gani wanatamani kwenda kusomea vyuo vikuu na vyuo vya kati...
1 Reactions
2 Replies
254 Views
Anonymous
DOKEZO
Sekretariet ya utumishi wa umma(PSRS) hawapokei simu. Yaani sioni umuhimu wa wao kuweka namba za simu kama mtu unaweza kupiga kwa dakika 30 na haipokelewi. Pia mfumo haukubali mabadiliko, mfano...
2 Reactions
2 Replies
346 Views
Anonymous
DOKEZO
Wakulima wa mahindi katika kituo cha NFRA cha kununulia mahindi kilichopo kijiji cha Muze wilaya ya Sumbawanga vijijini hawajalipwa na NFRA pesa za mauzo ya mahindi kwa zaidi ya mwezi mmoja...
0 Reactions
0 Replies
159 Views
Anonymous
DOKEZO
Awali ya yote napenda kuushukuru uongozi wa Jamii Forums kwa kuendelea kuruhusu kufichua maovu yanayoendelea kutendeka katika jamii zetu. Kuna ukatili wa watoto (wanafunzi unaoendelea katika...
9 Reactions
87 Replies
5K Views
Wakala wa Hifadhi ya Chakula ya Taifa, yaani NFRA ni Taasisi iliyoanzishwa mahsusi kuhakikisha kuna kuwepo na Hifadhi ya Mazao ya Chakula muda wote Nchini. Hununua mazao ya Chakula, kuyahifadhi...
2 Reactions
3 Replies
357 Views
Hii tetesi itazaa taharuki kubwa sana, kwa vyanzo vya uhakika vitakapo sema ndio itakuwa taarifa rasmi. Iko hivi 👇 Ndizi Mbichi zikiwasili DSM zikiwa mikononi mwa wawekezaji wa biashara hio...
20 Reactions
126 Replies
5K Views
  • Question Question
Habari ndugu zangu? Nisaidieni kujua ni simu gani nzuri kati ya Samsung S series na Note series na vipi kati ya S10+ na Note 10+ ipi ni nzui?
2 Reactions
7 Replies
808 Views
Mbegu zote za Asili duniani za mimea yote ya asili wazungu wanazo wanaficha hapa.Unajua kwa nini? Lengo wauze mbegu xa GMO halafu tukiona zina madhara hatutaki mbegu za asili zitakuwa...
6 Reactions
37 Replies
1K Views
Natoa pendekezo kwa halmashauri ya manispaa ya Morogoro iweke lami kwenye barabara hii muhimu, miaka ya zamani old Iringa Road ilikuwa na lami ambayo baadae iliondolewa kutokana na uchakavu badala...
3 Reactions
30 Replies
1K Views
Assalam Aleikum, Nimekuja Festival toka ijumaa jioni sasa leo kwenye moja-mbili nimeopoa binti Afisa Burudani II nikajiburudishe ila Kondom adimu pharmacy hata maduka madogo ya mitaani (kuanzia...
12 Reactions
51 Replies
2K Views
Maeneo mengi ya Tanzania mfano Dar es Salaam na Pwani kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wahamiaji haramu hasa watu kutoka nchi ya Malawi ambapo wameathiri sana ajira na vibarua kwa wazawa. Mfano...
1 Reactions
9 Replies
395 Views
Anonymous
DOKEZO
Kwanini katika zoezi linaloendelea hivi sasa nchini la kuandikisha wapiga kura, watumishi wanaofanya kazi hiyo kulipwa kiasi Cha pesa tofauti tofauti katika majimbo ya uchaguzi nchini wakati kazi...
1 Reactions
0 Replies
170 Views
Anonymous
DOKEZO
Habari ndugu zangu, napenda kwanza kuwajulisha kuhusu nyaya feki, na pili kuzijulisha mamlaka husika zichukue hatua kwani jamii inaumia. Waya hizo ni za twin ambazo 1.5mm na 2.5 mm hazijai vipimo...
1 Reactions
1 Replies
168 Views
Kiwanda hicho ambacho ni mali ya serikali kwa sasa hakifanyi kazi kimeuzwa kwa thamani ya shilingi bilioni 3 wakati thamani halisi ya kiwanda hicho ni zaidi ya shilingi za kitanzania bilioni 157...
1 Reactions
3 Replies
387 Views
Nimeshutushwa sana na kampuni ambayo inawakilisha Fedex Tanzania. Ukituma mzigo wowote kwa Fedex hata barua tu utasumbuliwa sana. Hawa jamaa ukituma mzigo kwa Fedex mfano hata kama mzigo ni wa $50...
9 Reactions
39 Replies
5K Views
Anonymous
DOKEZO
Habari ndugu zangu Wana JamiiForums, ninaomba kusaidiwa suala hili 1) Hivi Sheria za nchi zinaruhusu mfungwa kuendelea na wadhifa wake kazini au ni huku Kwetu Iramba tu? Ninaleta mada hii kutoka...
3 Reactions
15 Replies
564 Views
Anonymous
DOKEZO
TEMESA Pangani hawa-scan tiketi, askari anazikusanya tu! Kuna harufu ya upigaji! Nilipita asubuhi nilivyorudi jioni ticket niliyopewa ilikuwa inaonyesha imekatwa saa moja asubuhi! kuna mazingira...
4 Reactions
11 Replies
258 Views
Anonymous
DOKEZO
Habari wanabodi Hapo awali treni ya SGR Morogoro - Dar inayochukua abiria takribani 900 ilikuwa inajaa siku 1 au 2 kabla ya safari. Ukiingia mtandaoni hupati tiketi. Utafiti wangu nilioufanya...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Rais Samia, kuwa makini na watumishi wa SGR, mfumo unagoma kukata ticket. Process ya kukata ticket, inaenda mpaka unafikia hatua ya kuchagua seat, ukishachagua seat unapotaka kuelekea mbele kwa...
2 Reactions
6 Replies
510 Views
Back
Top Bottom