DOKEZO Threads

Mkandarasi wa barabara ya Tarime Mjini - Nyamongo awe makini baada ya kurundika kokoto barabarani, sasa wananchi wanazichota usiku kwenda kujengea majumbani kwao. Mkandarasi na Jeshi la Polisi...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Pikipiki sasa zinakokotwa kama baiskeli, bodaboda wahaha! Bei yapaa kwa wauzaji wa videbe. Inasemekana kuna mgomo wa wamiliki wa vituo vya mafuta. Hawaridhiki na bei ya sasa. Vipi hali ya...
0 Reactions
1 Replies
547 Views
Tena akiwa na Matamasha yake Makubwa ( hasa ya Mkesha ) huwa anawaambia Watu wa NHC Wanaoendelea na Ujenzi wa Nyumba za Samia Housing Scheme kuwa anaomba abomoe Kuta na akimaliza anawaambia...
0 Reactions
61 Replies
5K Views
Ikiwa imepita mwezi mmoja tangu kutolewa kwa Tuzo za TFF 2023, kuna malalamiko yameibuka juu ya zawadi za washindi. Kwa mujibu wa mmoja wa washindi wa tuzo hizo, mpaka leo hawajakabidhiwa fedha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Leo majira ya asubuhi hapa Wilayani Sengerema mkoani mwanza tulialikwa kwenye kikao cha watu kutoka TANROADS Mwanza wakielezea kuhusu mradi wa barabara ya Sengerema Buchosa agenda zao zilisema...
0 Reactions
0 Replies
920 Views
Kampuni ya Ardhisol ni moja ya kampuni zinazofanya shughuli za upimaji wa maeneo! Hawa jamaa wamekuwa wakizunguka kwa wananchi na kuwashawishi wawape viwanja kwa ajili ya kuvipima, na wao...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Ninawajulisha tuuuu,mpita njia wenu. CC:- Afisa Elimu Kata (Limemshinda au kajiongeza) Afisa Elimu Wilaya (Hasomeki,vikaoni haendagi) Afisa Elimu Mkoa (anajua mambo saafi kwa wa chini yake)...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
  • Closed
Kuna tukio linaendelea Lindi katika shule ya Lucas Malia ya wanafunzi wa kike. Wanafunzi wamechelewa kuripoti na walimu wamekataa kuwapokea tangu Jumapili ya Julai 9, 2023 hali iliyowafanya usiku...
3 Reactions
39 Replies
3K Views
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwaka 2020/2021 ilikuja na wazo zuri la urasimishaji wa Makazi Holela kwenye Majiji na miji mbalimbali. Wananchi wengi walijenga nyumba kwenye mashamba...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Taa za Kituo cha Daladala cha Mbezi Luis maarufu kwa jina la Mbezi Mwisho haziwaki na hali ya Giza imetawala eneo hilo na hivyo kuhatarisha Usalama wa mali na abiria wenyewe. Mpishano wa magari...
0 Reactions
6 Replies
928 Views
Wakuu, Hii ni hospitali ya Amana, Kivule. Vyombo vya kuhudumia wagonjwa na kufanyia upasuaji vinasafishwa kwa maji ya baridi ya bomba bila hata kufuata taratibu sahihi za kuvitakasa. Huu ni...
8 Reactions
24 Replies
4K Views
Anonymous
DOKEZO
Hii inapelekewa na uwepo wa kitu kichoitwa "post internship examinations" Baraza la madakitari Tanganyika limeandaa utaratibu wa kufanyisha mitihani ya kusajili madakitari tangu mwaka 2021...
8 Reactions
51 Replies
8K Views
Habari wakuu Niende moja kwa moja kwenye mada...nimekutana na kijana mmoja akawa ananisimulia kuhusu unyanyasaji anaopitia mwanamke hyu kutoka familia za kijijini ukweli inasikitisha sana, kisa...
2 Reactions
6 Replies
399 Views
Naishi kanda ya kaskazin huku huduma za afya ni nzuri kwa wateja wa bima kwakuwa watu walioelimika ni wengi ( watu wanatambua haki zao). Kuna ndugu yangu anapata huduma katika hospital ya walaya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kijana mmoja aliejulikana kwa jina la Israel Daudi, amefariki dunia baada ya kupigwa risasi 3 na askari Polisi kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kuachia ng'ombe kuingia shambani. Tukio hilo limetokea...
8 Reactions
41 Replies
6K Views
Siku za hivi karibuni hawa watu wa mabasi yaendayo Kasi(UDART) Wameanza wizi wa wazi wazi. Ukienda kukatq ticket halafu ukatoa hela kubwa zaidi ya gharama ya ticket yako wanakuambia uwaongezee...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Baadhi ya wananchi wa Jiji la Arusha wamesikitishwa na upendeleo unaofanywa na TASAF kwa kuwapatia vijana wenye nguvu na wenye kujiweza pesa badala ya wahitaji wa mfuko huo ambao ni wazee...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu zangu Wananchi, kuna jambo tunasahau kuhusiana na mkataba wa DP World. Malalamiko ya mkataba huo yamekuwa mengi sana lakini tatizo letu wananchi tumeshindwa kujua kuwa Rais Samia Suluhu...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Hawa viongozi ni wala rushwa wakubwa wanasababisha wakazi wa eneo lile tuteseke kwa harufu kali sana wakati wa usiku inayotokana na mabaki ya kuku. Iko hivi... Nyuma ya kituo cha daladala cha...
0 Reactions
0 Replies
916 Views
Ndugu zangu Watanzania serikali yetu ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania inapaswa kutambua kwamba katika majeshi ambayo ni shida na mateso kwa Watanzania hususani wenye vyombo vya usafiri Jeshi la...
0 Reactions
1 Replies
470 Views
Back
Top Bottom