DOKEZO Threads

Wilaya Uyui, ni wilaya pekee ambayo ni wilaya korofi sana na kuna upigaji wa aina nyingi, Kuna ujenzi wa halmashauri mpya ya Uyui kuna ufisadi mkubwa wa kutisha watu wamejilipa pesa za kufa mtu...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Hali ya biashara ya vyuma chakavu na matunda mbalimbali inaendelea kushamiri katika Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi na imekuwa ikifanywa kwenye maeneo ya Manispaa hiyo na watoto wadogo ambao...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa wahusika, Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi wilaya ya Sengerema hajatoa nakala za hukumu ya kesi nyingi na leo ni siku ya 36 baada ya hukumu kutolewa, na ikumbukwe kuwa muda wa kukata rufani ni...
0 Reactions
2 Replies
482 Views
Hii ni Barabara ya Majohe wilaya ya Ilala kata ya Ukonga Barabara iliharibika Sana baada ya mvua kubwa zile kunyesha mfululizo, Baada ya mvua kukata wakaleta vifusi ambavyo wamevipanga barabarani...
0 Reactions
0 Replies
541 Views
UPDATE: Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Saad Mtambule ametembelea Mtaa wa Nia Njema Mei 23, 2023, baada ya kusoma post hii ya JF DC aliambatana na Mhandisi wa Wilaya na maafisa wengine. Baada ya...
11 Reactions
274 Replies
23K Views
Vitendo vya unyanyasaji wa kingono vimeendelea kushamiri katika nchi yetu na tunategemea jamii iwe na ushirikiano katika kupinga na kutokomeza uovu huu ili kuokoa jamii yetu. Katika hali ya...
3 Reactions
48 Replies
4K Views
Mimi ni Mkazi wa Mkoa wa Tanga, Wilaya Kilindi, Kijiji cha Kikunde naona huku wazee wanapata shida sana. Wale wazee ambao hawajiwezi wanaopokea pesa za TASAF wamegeuzwa makatapila huku...
8 Reactions
30 Replies
2K Views
Kuna baadhi ya Nchi mwaka huu zimeendelea kufanya kama zinavyofanya miaka yote. Usalama wa chakula muhimu sana, wafanyabiashara wa hizo nchi wamepewa mabilioni ya pesa na tayari wamemwagika...
0 Reactions
7 Replies
558 Views
Wanufaika wa TASAF kutoka katika baadhi ya Kata za Machame Mashariki, pia baadhi ya kata zilizopo katika Wilaya ya Moshi na Moshi Vijijini Mkoani Kilimanjaro wamekosa malipo yao tangu kuanza kwa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kituo kikuu cha mabasi ya kwenda mikoani kilichopo jijini Arusha kimekuwa kero kwa watumiaji wake kutokana na adha mbalimbali zinazowakabili abiria pamoja na wanaowasindikiza. Kituo hicho kikuu...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kama mwezi huu nilikwenda Bujumbura, nilipofika Manyovu nikashangaa hakuna mfumo wa uhamiaji kama ukipita uwanja wa ndege au Tunduma. Nikaangalia namna wale maafisa wanavyofanya kazi, nikajiuliza...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Huyu Mratibu wa NIDA Mkoa kwa jina maarufu Odoyo amekuwa akisumbua wakazi wa Kigoma kwa kuwafukuza ofisini kama wanyama, kuwanyanyasa na hata kuwatukana. Nilipopata taarifa hizo nikasema wacha...
5 Reactions
23 Replies
1K Views
Tafuta vijana wafanye usafi daraja la watembea kwa miguu pale kituo cha mwendokasi ubungo hali ni tete
1 Reactions
3 Replies
468 Views
Kichwa cha uzi kinajitosheleza, wahusika chukueni hatua mapema. Zege lilotumika cement ni kidogo sana, limeanza kubomoka kabla ya matumizi. Screws, bati na zile bars miaka miwili tu zitakua...
2 Reactions
31 Replies
2K Views
UFISADI WA MITIHANI WA MUHULA MOSHI MANISPAA IDARA YA ELIMU MSINGI WATANZANIA WENZANGU KABLA SIJAELEZEA UFISADI HUO NAOMBENI TUWE WATETEZI WA SERIKALI YETU PAMOJA NA JAMII INAYOTUZUNGUKA UFISADI...
0 Reactions
0 Replies
778 Views
huyu jamaa na genge lake ni kati ya wanaosumbua wafanyabiashara kariakoo
5 Reactions
9 Replies
2K Views
Naandika haya kwa masikito makubwa makubwa sn na ninasikitika kuona sheria zinachezewa wakat sheria ziko waz na zimeweka waz kila kitu. Afisa utumishi wilaya ya Tunduru kwa majina MASANJA CHUMA...
12 Reactions
40 Replies
4K Views
Anonymous
DOKEZO
Jeshi letu la polisis kupitia askari wa usalama wa barabarani wamekua ni chanzo cha usumbufu barabarani. Eneo la Mbezi Tangi bovu / shule kwa muda mrefu sasa nyakati za asubuhi, polisi wamekuwa...
0 Reactions
0 Replies
172 Views
Kuna tetesi ya mgomo wa wafanyabiashara eneo la Kariakoo. Sababu za kuitisha mgomo; 1. Urasimu bandarini 2. Usajili wa stoo 3. Kamata kamata hovyo ya wateja kwa ukuguzi wa risiti Wao wapo...
15 Reactions
136 Replies
10K Views
Sijajua vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wa nchi vimejisahau au vimelala. Wakuu kumekua na wimbi kubwa sana la wahamiaji haramu hasa wamalawi, aisee jamaa wametapakaa mitaani sana Nadhani kwa...
18 Reactions
283 Replies
11K Views
Back
Top Bottom