DOKEZO Threads

Kama ni mnywaji wa hard liquor inabidi uwe makini sana. Mimi nilishanunua jagger shopperz, nafika home nafungua tu, ikatoka kaharufu fulani not amazing. Second chupa haina filter, nikarudi...
16 Reactions
136 Replies
10K Views
Imekuwa ni kawaida iliyozoeleka Ocean Road kwa mgonjwa kufika kwenye miadi ya tiba (kama ilivyopangwa) asubuhi saa moja na kuja kupata huduma saa nne usiku. Hutokea wakati hata hiyo usiku anaweza...
10 Reactions
48 Replies
3K Views
Hii nchi kuna matukio ambayo huwa yanaonyesha kabisa dalili kuwa kuna harufu ya maafa lakini Serikali huwa ipo kimya, ila likishatokea hilo tukio utashangaa yanatengwa mamilioni ya posho kwa ajili...
16 Reactions
36 Replies
3K Views
Baadhi ya Wagonjwa wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro wamelalamikia kuwepo kwa wataalam wachache wa kipimo cha CT-Scan kunahatarisha usalama wa wagonjwa wao. Wananchi hao wamesema mara...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwanza ni Jiji la pili Tanzania linalokua kwa kasi kutokana na Wingi wa watu na miradi mikubwa ya kimkakati ambayo imejengwa kwenye jiji hilo, Lakini mbaya zaidi ni kwamba takribani mikoa yote ya...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakazi wa mtaa wa Ntundu kata ya Nsalaga jijini Mbeya wameingiwa na mchecheto baada ya taarifa ya fedha ya balozi wao Laulian Kiyeyeu kuwa na ukakasi. Tukio hilo lilijili mnamo tarehe 6 ya mwezi...
0 Reactions
13 Replies
900 Views
Kuna utaratibu wa hovyo sana na uchezeaji wa kodi za Wananchi unafanyika mitaani kwenye magari ya Serikali. Mengi yametelekezwa ama kufichwa maeneo ambayo hayaeleweki mwengine yameondolewa namba...
0 Reactions
5 Replies
845 Views
High ways zetu hali si shwari ndugu zangu madereva wa mabasi ya masafa marefu na mafupi ni vurugu tupu dhana ya Defance drive ni zero jamaa wanafukuzana kama hawana akili nzuri. Kikao cha bunge...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Baadhi ya wakazi wa Manispaa ya Morogoro wanaohitaji kuunganishwa na huduma ya maji safi na salama wamelalamikia kukosa huduma hiyo kwa takribani miezi sita kwa madai kuwa mamlaka ya maji safi na...
0 Reactions
1 Replies
888 Views
Hakika ukicheka na nyani utavuna mabua! Mtu mmoja aliyefahamika kwa majina ya WILFRED FRANK NJAU amesikika akilalamika kuombwa rushwa na maafisa wa TANESCO Mbezi beach, kiasi cha Laki tano ili...
8 Reactions
34 Replies
2K Views
Ninavyofahamu kwenye usafiri wa mabasi kuna wakaguzi kama maofisa wa kitengo cha usalama barabarani. Sasa kwenu nyie shirika la reli TRC ya ndg Kadogosa sijui nani anawakagua mwanzo, katikati ya...
35 Reactions
114 Replies
9K Views
Anonymous
DOKEZO
Tamisemi pamoja na Wizara ya Afya kuna tatizo sugu ambalo naona linatafuna halmashauri nyingi nchini ' KUTOKUKAMILIKA KWA VITUO VYA AFYA KWA WAKATI. Mwaka jana mwezi wa 8 Mh Rais mama yetu...
0 Reactions
1 Replies
449 Views
Anonymous
DOKEZO
Sisi Wafanyakazi tunaofanya kazi katika Mradi wa SGR Kituo cha Itigi Rot 2 Camp, Kampuni ya Yap Merkez ambao tunatengeneza Kilometa 150 tumeamua kuingia katika mgomo huo kutokana na maslahi duni...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna kampuni moja ya magari mabasi itwayo Ester tunaiomba serikali iichunguze kuhusu Kodi na utajiri wa ghafla leo inasemekana kashusha mabasi zaidi ya Mia mbili kutoka China je, Kodi ya bandarini...
29 Reactions
222 Replies
15K Views
Anonymous
DOKEZO
Nianze kwa kukupa ‘intro’ ya stori kabla sijakushushia mkeka kamili, ipo hivi hapa mtaani kwetu kuna mtoto wa kike wa Shule ya Msingi Barracks, Dar es Salaam, amefanyiwa ukatili kwa kubakwa na...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Eng Justin Rujomba Tarehe 7.7.2022 amesaini Mkataba wa Construction of water blending system for FLOURIDE reduction wenye thamani ya TZS...
14 Reactions
161 Replies
15K Views
Rais Samia, Waziri wa Afya na Makatibu Wakuu Wizara, kwa taadhima tunaomba umtoe Dkt. Ernest Ibenzi Mganga Mkuu mfawidhi Hospitali ya Mkoa Dodoma. Amegeuza ofisi ya Umma kama Mali yake binafsi...
3 Reactions
28 Replies
4K Views
Waziri wa Mazingira upo? Mbunge upo, Diwani upo, Jiji mpo, Waziri wa Afya upo, NGO mko wapi, wakazi wa maeneo haya tunaangamia? Mbona hamumsaidii Rais wetu mpendwa Samia, ilihali amewaamini...
1 Reactions
18 Replies
831 Views
Wasaalam wanajamvi naendelea na namna maskari Eli eli, afande zawadi na mgambo ajulikanae kwa jina Samwel wanavyoharibu sifa nzuri ya jeshi la polisi wilayani Bunda. Huyu mgambo ambaye vijana wa...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Anonymous
DOKEZO
Kijiji chetu Kinaitwa Kijiji Cha kisangiro kata ya kirangi tarafa ya sale Wilaya ya Ngoro Ngoro. Kijiji chetu upande wa mashariki kinapakana na Kijiji Cha jema, kusini kinapakana na Kijiji Cha...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Back
Top Bottom