DOKEZO Threads

Nawasalimu katika Jina la Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania, DAWASA ni Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa mazingira mkoa wa Dar es salaam pamoja na baadhi ya maeneo ya Pwani. Nianze kwa kupongea...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Anaitwa Cherehani ni Mfanyabiashara pekee wa Kuuza Mihogo katika Soko la Kawe na maarufu pia. Tukio Mfanyabiashara huyu Bwana Cherehani wa Soko la Kawe alipanga njama kwa Kushirikiana na Mkewe...
22 Reactions
163 Replies
12K Views
Wakuu habari za mchana. Serikali yetu inapambana sana kuwaletea wananchi wake maendelea. Naipongeza kwa kazi nziri. Pamoja na hayo nna jambo ambalo limenifanya niandike uzi huu. Kuna service...
1 Reactions
2 Replies
747 Views
Dada yangu Dorothy Gwajima, wizara ya afya Ili kushindwa na hili la ukeketaji mabinti wadogo nalo limekushinda? Kweli viongozi wengi ndani ya Serikali ni wanawake waneshindwa kuzuia ukeketaji wa...
0 Reactions
3 Replies
730 Views
Serikali mnajua kabisa jinsi vumbi la makaa ya mawe ilivyo shida kwa wananchi wake mnatuumiza vifua. Vumbi linatembea zaidi ya kilometer 2 kutoka yanapopakuliwa makaa kuingizwa katika meli. Mitaa...
0 Reactions
7 Replies
736 Views
Habari ndugu zangu? Naomba niseme haya ili wenye mamlaka wawachukulie hatua ikiwemo waziri wa mambo ya ndani na IGP nk. Ifakara na Lupiro ipo mkoa wa Morogoro. Iko hivi trafiki wa Ifakara hasa...
1 Reactions
10 Replies
731 Views
RIPOTA PANORAMA MWENENDO wa mambo katika Sekta ya Bima si shwari baada ya kubainika kuwa Kamishna wa Usimamizi wa Bima (TIRA), Abdallah Baghayo Saqware ameshiriki kuanzisha Chuo Kikuu cha Bima na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Sina muda wa kueleza sana, nimechoka. Mmeajiri madaktari vijana wanakaa wanapiga story tu vyumbani badala ya kuhudumia wagonjwa. Watu tumekaa zaidi ya lisaa tunasikia wanachekacheka tu ndani na...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Kwa mara nyingine tena napata wasi wasi mkubwa juu ya ubora wa UDOM. Wiki hii sasa wanafunzi wengi wa chuo hiki wanahangaika kuthibitisha kwamba wanastahili kuhitimu mwaka huu yaani mwezi huu...
5 Reactions
26 Replies
3K Views
Swali kwa mamlaka husika yenye kusimamia Termanal 3 ya Dar es Salaam, je ni kwanini ndege toka nje zimeshindwa kutua wala kuondoka karibu siku nzima ya jana na hata sasa? Kuna tatizo gani ambalo...
16 Reactions
127 Replies
13K Views
Wadau, Mara kadhaa kwa sababu za kijiografia imekuwa ikinilazimu kupata huduma za NHIF katika ofisi zile zilizo bandarini, kwa kweli huduma za pale mapokezi ambao pia ndio wanaopokea fomu na...
0 Reactions
0 Replies
539 Views
Wakuu, salama? Hili suala la rushwa ya ngono imezidi chuo cha SAUT tawi la Tabora hadi kufikia mkufunzi kumuhakikishia mwanafunzi asipotoa rushwa ya ngono hatograduate! Kibaya zaidi kiongozi wa...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Habari wadau. Niende moja kwa moja kwenye hoja. Kuna kikundi Cha porters (wabeba mizigo) Kiko Arusha Airport, Wanawabebea wageni mabegi kama msaada saa wakishushwa na magari kuwasogezea kwenye...
12 Reactions
56 Replies
4K Views
Kwenye mapungufu lazima tuseme na moja la pungufu kwa Idara ya Uhamiaji ni huduma mbovu si kwa wageni pekee hata kwa Watanzania. Idara hii imekuwa ikifanya shughuli zake kwa maringo na kujisikia...
1 Reactions
4 Replies
679 Views
Waziri Nape uko humu wasaidieni watanzania USSR
1 Reactions
13 Replies
932 Views
Uongozi mzima wa Temeke na Serikali lengo ni nini kwa hivi vifo na ajali katika hii barabara ya sehemu panaitwa Temeke-Tandika-Raha Leo? Watoto kila siku wanagongwa na magari na ajali za mara...
0 Reactions
2 Replies
673 Views
Wakuu Katika kipindi HIKI cha ujenzi wa madarasa nchini unaoendelea, nimefanya mazungumzo na mafundi wakuu na wakuu wa shule mbalimbali na kukutana na malalamiko kuhusu mlolongo mrefu sana wa...
1 Reactions
0 Replies
589 Views
Ndugu watanzania, mtajwa hapo juu ni mtumishi wa Serikali ya Tanzania. Hajulikani aliko, anachokifanya ndani ya Wizara ya Madini tangu ateuliwe na JPM hadi sasa. Cha kushangaza na kusikitisha...
6 Reactions
54 Replies
4K Views
Ndani ya Jeshi la Polisi Tanzania kuna Chama cha Wafanyakazi (TUGHE) ambacho kinaundwa na raia, I mean wale ambao siyo police officers but wapo ndani ya Jeshi la Polisi. TUGHE ina matawi mengi...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
KCMC imebaki jina tu, hospitali hii pendwa kwa miongo kadhaa sasa nakiri mbele ya umma, labda nipelekwe sijitambui ila kwa huduma nilizopata na kushuhudia kwa wateja wengne, hakika huu ndio mwisho...
60 Reactions
116 Replies
9K Views
Back
Top Bottom