KERO Threads

Wanajamvi ngoja nilibwage, Barabara inayotoka Kwenye mataa jirani na Stendi ya Mabasi kuelelekea Uwanja wa Alhasan Mwinyi ni imeharibika kwa kuwa na mashimo jambo ambalo linaleta adha kwa...
1 Reactions
1 Replies
379 Views
Kwema. Jamani kama Kuna watu wanavuta HEWA CHAFU hapa Dsm basi ni hawa watu wa mabibo mwisho hasa karbu na stendi Kwa ambao ambao hawajafika hili eneo Lina bwawa la maji taka Kuna mabwawa...
5 Reactions
27 Replies
709 Views
Anonymous
KERO
Mimi ni muhitimu wa Stashahada ya maabara ya binadamu (Diploma in Medical Laboratory Technology) 2014/2017 katika chuo cha St. John’s university of Tanzania Dodoma. Toka nimemaliza 2017 matokeo...
2 Reactions
0 Replies
106 Views
Taa za barabarani eneo la Stand ya Morocco hadi Biafra zinahitaji kutengenezwa, kwani ni hatarishi kwa usalama. Ikifika usiku, Morocco inatisha kwa giza. Taa za barabarani kuanzia Stand ya...
0 Reactions
0 Replies
431 Views
Anonymous
KERO
Tupo kwenye sintofahamu, Chuo cha SAUT-MWANZA mpaka sasa hakijatupa Vyeti wahitimu wa Mwaka 2023. Ukienda kufuatilia wanasema tusubiri wakidai vyeti havijafika, wakati huohuo wengine wamepata...
5 Reactions
10 Replies
750 Views
Anonymous
KERO
Kama kichwa kinavyoeleza hapo tunabambikiwa sana parking siku hizi naomba utupazie hili nina uhakika wahudumu wa huduma za parking WAMEKUWA wakibahatisha namba za gari na kuandika bili za parking...
3 Reactions
2 Replies
351 Views
Kabla ya kijazi interchange eneo hili lilikuwa linaruhusu wananchi (wanafunzi/wakazi/watembezi na sisi wazururaji) kuvuka kutoka upande mmoja hadi mwingine bila shida. Ila baada ya kuwekwa flyover...
1 Reactions
22 Replies
581 Views
Wakati mama anapambana kupata wageni million 5 Tanapa wameshindwa kuweka maji tu CHOONI hapa Olduvai. What an embarrassing situation.
8 Reactions
56 Replies
1K Views
Moja kati ya vitu ambavyo nilikuwa najiuliza ni kama Watanzania tunaweza kutunza Miundombinu yetu ya Reli ya SGR, bila unafiki ukiitazama imekaa poa kwa asilimia kubwa. Lakini jioni ya leo...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Nikiwa kama mwananchi eneo hilo (Kasino Kwa Msango Gulani) Tafadhali tunaomba Serikali iingilie kati mana viongozi wanashindwa tusaidia hili, tuna ukosefu wa maji kwa miezi miwili kasoro sasa na...
1 Reactions
5 Replies
222 Views
Hii barabara ya Kilwa kipande cha kushuka hapa Kokoto kuja daraja la Mzinga mpaka Kongowe imeshakuwa kero kubwa sana kwa wakazi wa huku maana foleni haziishi sababu barabara ni nyembamba kiasi...
1 Reactions
3 Replies
436 Views
Licha ya kuwa Viongozi wengi wa Kiserikali wamekuwa mstari wa mbele katika kusisitiza usafi kwenye mazingira ya ofisini na hata kwenye makazi ya watu lakini upande mwingine wapo ambao huwa...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Hakika ni jambo la aibu,dhihaka,ujinga na kukosa ustaarabu na wakati huo huo tukijiona jamii yenye ustaarabu na Elimu. Maeneo yenye mkusanyiko mkubwa wa watu,wenye kutafuta huduma au kupatiwa...
2 Reactions
16 Replies
632 Views
Anonymous
KERO
Mtu mmoja ananidai pesa; nimekuwa nikimlipa kidogo kidogo na karibu namaliza deni. Ajabu jana kanipigia simu kuwa amefuatilia katika akaunti yangu na kuona nimetoa fedha bila kumlipa. Taarifa hii...
1 Reactions
1 Replies
168 Views
Pale Arusha wilaya ya Arumeru hasa Halmashauri ya Meru shule ya msingi Kimandafu kuna mzungu anaitwa Birgita sijui ametokea nchi gani. Huyu mama anatoa vifaa kadhaa vikiwemo vitabu, chakula km...
0 Reactions
3 Replies
330 Views
Nimeomba clearence certificate polisi ni takriban miezi minne mpaka sasa hivi sijapata.Hili jeshi letu itabidi lijitathmini aisee vitu vidogo kama hivi kweli vinachukua miezi kupatikana.
2 Reactions
21 Replies
681 Views
Wakuu kwenye hii barabara ya kwenda Ubungo Makoka kupitia kwa Mzee wa Upako, kuna kipande kama mita 300 kinaongezwa kwa kiwango cha lami inaenda miezi minne mpaka sasa hakijamalizika. Jamaa...
3 Reactions
11 Replies
642 Views
Manispaa ya Morogoro eneo la mjini mzunguko (roundabout) ilipokuwa stand ya zamani zinapoanzia barabara za: 1. Boma Road 2. Korogwe Road 3. Old Dar es Salaam 4. Barabara iendayo Soko kuu la...
3 Reactions
14 Replies
540 Views
Wafanyakazi wa TRA ofisi za Sido & Mwanjelwa mnakera sana wateja wenu. Watu tumeacha shughuli zetu ili tuje tulipe hizo kodi mnazozihitaji lakini huduma zenu zimekuwa mbovu sana. Wahudumu...
1 Reactions
12 Replies
708 Views
Anonymous
KERO
Siku hizi kumekuwa na shida sana ya mitandao ya simu na inaleta kero na hasara kubwa sana kwa sisi watumiaji. Hasa mtandao wa Vodacom unakuta huwezi kupiga simu wala kutuma meseji. Sasa najiuliza...
1 Reactions
2 Replies
164 Views
Back
Top Bottom