elon musk

Elon Reeve Musk ( EE-lon; born June 28, 1971) is a business magnate, industrial designer, and engineer. He is the founder, CEO, CTO, and chief designer of SpaceX; early stage investor, CEO, and product architect of Tesla, Inc.; founder of The Boring Company; and co-founder of Neuralink and OpenAI. A centibillionaire, Musk is one of the richest people in the world.
Musk was born to a Canadian mother and South African father and raised in Pretoria, South Africa. He briefly attended the University of Pretoria before moving to Canada aged 17 to attend Queen's University. He transferred to the University of Pennsylvania two years later, where he received bachelor's degrees in economics and physics. He moved to California in 1995 to attend Stanford University but decided instead to pursue a business career, co-founding the web software company Zip2 with his brother Kimbal. The startup was acquired by Compaq for $307 million in 1999. Musk co-founded online bank X.com that same year, which merged with Confinity in 2000 to form the company PayPal and was bought by eBay in 2002 for $1.5 billion.
In 2002, Musk founded SpaceX, an aerospace manufacturer and space transport services company, of which he is CEO, CTO, and lead designer. In 2004, he joined electric vehicle manufacturer Tesla Motors, Inc. (now Tesla, Inc.) as chairman and product architect, becoming its CEO in 2008. In 2006, he helped create SolarCity, a solar energy services company that was later acquired by Tesla and became Tesla Energy. In 2015, he co-founded OpenAI, a nonprofit research company that promotes friendly artificial intelligence. In 2016, he co-founded Neuralink, a neurotechnology company focused on developing brain–computer interfaces, and founded The Boring Company, a tunnel construction company. Musk has proposed the Hyperloop, a high-speed vactrain transportation system.
Musk has been the subject of criticism due to unorthodox or unscientific stances and highly publicized controversies. In 2018, he was sued for defamation by a diver who advised in the Tham Luang cave rescue; a California jury ruled in favor of Musk. In the same year, he was sued by the US Securities and Exchange Commission (SEC) for falsely tweeting that he had secured funding for a private takeover of Tesla. He settled with the SEC, temporarily stepping down from his chairmanship and accepting limitations on his Twitter usage. Musk has spread misinformation about the COVID-19 pandemic and has received criticism from experts for his other views on such matters as artificial intelligence and public transport.

View More On Wikipedia.org
  1. Yopinto

    Nimegundua Elon Musk na wengine walio kwenye world richest people ranks sio matajiri

    Utashanga kwa nini nakwambia haya ila tambua ni kweli na wazi kabisa Huu ni uzi mfupi tu. Je unajua nchi zote duniani zinadaiwa?, kama ndio ni nani anaewadai. Nilipokaa nakujiuliza hili swali nilicheka sana na hivyo niliamua kufatilia. Je unajua kuwa Kuna Familia ambazo zinamiliki Pesa zote...
  2. T

    Jifunze kanuni chache anazotumia Bilionea Elon Musk kuendesha makapuni yake 7 kwa wakati mmoja na yote yanafanya vizuri Duniani

    Bilionea Elon Musk anaendesha makampuni yake 7 Duniani kwa wakati mmoja na makapuni yote yanafanya vizuri Duniani. Elon Musk ni muanzilishi, mkurugenzi na mmiliki wa makampuni 7, SpaceX, Starlink, X(Twitter), X Artificial intelligence, Boring Company, Tesla na Neuralink. Makampuni yote haya...
  3. Yoda

    Elon Musk atangaza kampuni yake ya Neuralink kuleta kifaa tiba cha kuwawezesha vipofu kuona!

    Tajiri namba moja duniani Elon Musk ametangaza kampuni yake mojawapo ya Neuralink inayofanya kazi za kuhusianisha ubongo wa binadamu na teknolojia ya computer kuja na kifaa cha kuwawezesha vipofu kuona. Anasema kwa kuanzia uoni kupitia kifaa hicho utakuwa hafifu lakini utazidi kuboreka na kuwa...
  4. T

    Elon Musk anatabiriwa kua Trilionea wa kwanza Duniani ifikapo 2027

    Tajiri namba moja Duniani bwana Elon Musk anatabiriwa kua Trilionea wa kwanza Duniani mwaka 2027 kama utajiri wake utaendelea kukua kwa mwenendo unaokua kwa sasa. Elon Musk utajiri wake unaongezeka kwa 110% kwa mwaka hivyo kama utakua hivyo ndani ya miaka 3 ijayo Elon atafikia hadhi ya kua...
  5. G

    Elon Musk anatikisa mizinga ya nyigu, atadumu kweli huyu?

    Marekani, baada ya kuinunua Twitter kaanza kuruhusu kuwe na neutral ground kinyume na democrats wanavyotaka mawazo yao peke yao yasikike, hiki chama huwa kinacheza rafu sana, huanza kwa makesi kibao ya kubambikiwa, wakishindwa wanakuchomoa Kama walivyotaka kumfanyia mtu maarufu mwaka huu. Elon...
  6. Gemini AI

    Brazil yazuia akaunti za benki za Starlink kufuatia mzozo wa serikali na X ya Elon Musk

    Mahakama ya Juu imefungia Akaunti za Benki za Kampuni ya Huduma za Intaneti ya #Starlink inayomilikiwa kwa ubia na Mfanyabiashara Bilionea #ElonMusk ambaye pia ni mmiliki wa Mtandao wa X (zamani Twitter). Awali, Mahakama ya Juu ya Brazil ilitoa Saa 24 kwa Mtandao wa X (zamani Twitter) kumtaja...
  7. Damaso

    Vita ya Starlink na Safaricom ni somo kwa kampuni za mawasiliano Tanzania

    Aliyekuwa waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye aliwahi kusema kwa mujibu wa tafiti zilizofanywa na taasisi za kimataifa, Tanzania inashika nafasi ya sita kwa Bara la Afrika kwa kuwa na gharama za chini za bando “vifurushi” huku ikishika nafasi ya 50 Duniani kwa...
  8. Yoda

    Elon Musk mbinafsi sana

    Huyu bwana wazazi wake ni makuburu wa Africa Kusini kwa maana ya kwamba ni wahamiaji kutoka Ulaya, yeye sasa hivi ni mhamiaji wa US kutoka Africa Kusini, alirithi pesa kutoka mgodi wa rubi wa baba yake huko Africa Kusini lakini kucha kutwa kuwasema, kuwabeza na kwananga wahamiaji wanaoingia West.
  9. W

    Imane Khalif Aushitaki Mtandao wa X dhidi ya Unyanyasaji Mtandaoni

    Imane Khelif (25) mwanabondia kutoka Algeria amefungua kesi ya madai ya uonevu mtandaoni kufuatia sakata la jinsia katika Michezo ya Olimpiki Agosti 9, 2024 Miongoni mwa watu waliotajwa katika kesi hiyo ni Elon Musk na JK Rowling kulingana na Mwanasheria wa Imane Khelif, Nabil Boud Aidha...
  10. Yoda

    Chama cha wafanyakazi wa magari chawafungulia mashitaka Trump na Elon Musk

    Chama kikubwa cha umoja wa wafanyakazi wa sekta ya uzalishaji magari, ndege na mashine za mashambani wamewafungulia mashitaka Donald Trump na Elon Musk wakilalamika mazungumzo yao ya jana Twitter yalihusisha kauli za kudhalilisha, kutishia na kudhoofisha wafanyakazi wanaogoma kushinikiza...
  11. BARD AI

    Zaidi ya Watu Milioni 1 wanasikiliza Spaces ya Donald Trump na Elon Musk

    Mgombea Urais wa Republican, Donald Trump anaendesha Mazungumzo na Mmliki wa Mtandao wa X (Twitter), Elon Musk na hadi kufikia Saa 10 Kasoro usiku wa leo Agosti 13, 2024 watu waliofanikiwa kujoin ni zaidi ya Milioni 1.4. Hata hivyo Elon Musk amelalamika kupata mashambulizi kadhaa ndani ya...
  12. Baba Dayana

    Mnamo 2018, Elon Musk alizindua Tesla Roadster yake angani

    Mnamo 2018, Elon Musk alizindua Tesla Roadster yake angani. Hakuandika chochote kama "Made in America" au "Made by Tesla." Aliandika kwa urahisi, "Made on Earth by humans."
  13. matunduizi

    Kwanini Tahiti Elon Musk ana ushawishi kwenye Kila kitu kuliko matajiri wengine waliowahi uwepo Dunia?

    Wakuu mnijuze. Wamewahi uwepo mabilionea wengi Dunia I. Wakina Bil Gate, Carlos Slim, Warren Buffet, Suleiman maana wa Daudi etc Ninachoshangaa huyu jamaa wanakuwa na ushawishi karibu katika Kila kitu Duniani. SMO ya Urusi Ukraine yeye yuko na ndiye anayesikilizwa. Mashariki ya kazi Yumo...
  14. M

    Wanaoshangalia utajiri wa Elon Musk (Marekani). Hawajui historia

    Surah Al-Qasas (28:76-82):“Hakika Qarun alikuwa miongoni mwa watu wa Musa, lakini alijitenga na wao kwa kiburi. Tulimpa mali nyingi sana, na funguo za hazina zake zilikuwa nzito kubeba na watu wenye nguvu walikuwa wanabeba funguo hizo. Wakati alipojionyesha kwa watu wake, wale walio kuwa...
  15. X

    Elon Musk anaunga mkono sana mapinduzi ya kijeshi yatokee Venezuela. Kuna siri gani nyuma ya hili?

    Jana matokeo ya uchaguzi yalipotoka ilitangazwa kuwa Nicolás Maduro ameshinda tena kiti cha uraisi nchini Venezuela. Akimshinda mpinzani wake Edmundo González ambaye anaungwa mkono na Marekani. Viongozi wa mataifa ya Magharibi wameonyesha kutofurahishwa na matokeo hayo. Huku vyombo vya habari...
  16. Lycaon pictus

    Mtu kama Elon Musk anaweza kuamua nani awe Rais wa Marekani

    Media ni hatari sana. Zinaweza wachagulia Rais bila nyie kujua. Huyu jamaa ana nguvu sana baada ya kununua twitter. Inadaiwa kuwa kuna kipindi baada ya kununua twitter alipost tweet yake. Akaudhika sana baada ya kuona tweet ya Rais Biden in engagement kubwa kuliko yake. Akawaita mainjinia wa...
  17. Jaji Mfawidhi

    Simu mpya ghali kabisa zazinduliwa na Elon Musk!

    Hii ndio simu ambayo Elon Musk anatarajia kuizindua mwezi august 2024. Hii simu ukinunua maisha yako yote unapata free internet toka star link. Pia utapata uanachama wa X[tweeter] premium na kuwa verified. Sisi tuendelee na kujenga matundu ya choo na kubishana kuhusu Simba na Yanga.
  18. ward41

    Matajiri 10 wa dunia, 9 ni wa Marekani mmoja Mfaransa

    Matajiri kumi wa dunia, 9 ni wa MAREKANI mmoja MFARANSA Products zao zinajulikana. Hapo kuna google, Microsoft, Tesla, space x, Apple nk. Je, na wao wanachapisha mi dollar. Tuache kushupaza shingo, eti USA wana print dollar.
  19. Yoda

    Elon Musk ana gundu gani na Tanzania?

    Wiki imeanza kwa raia wenzetu mbalimbali katika hii nchi kwenye nafasi za kisiasa za chama tawala na wale wa upande kidini kuitaka serikali ifungie mtandao wa Twitter/X Pia itakumbukwa Starlink kampuni ya mtandao ya Elon Musk imeshindwa kupata kibali cha kufanya kazi Tanzania ikesemwa na Nape...
  20. I

    Elon Musk ashika tena namba moja kwa utajiri duniani

    Elon Musk Kwa viwango hivyo vipya, thamani ya Elon Musk imepanda hadi dola bilioni 210.7, huku Bernard Arnault akishikilia nafasi ya pili akiwa na dola bilioni 201, na Jeff Bezos yuko katika nafasi ya tatu kwa dola bilioni 197.4. --- Elon Musk, 52, derives his wealth primarily from his stake in...
Back
Top Bottom