facebook

  1. Mkogoti

    Msaada: Nawezaje kufuta account ya mtu ambaye alishafariki Facebook?

    Habari waugwana wa humu, je salama!? Ok. Sasa bwana mimi nina shida moja kuna account ya mtu wangu wa karibu alishafariki alikuwa na account Facebook na mpaka sasa nikiwa napita kuona baadhi ya vitu lazima nikutane nayo. Je, naomba nataka niwaambie Facebook waifute nifanyeje msaada wenu
  2. beth

    Facebook kuacha kutumia mfumo wa face recognition. Alama za sura zaidi ya Bilioni 1 kufutwa

    Facebook itafuta alama za Sura (Faceprint) za Watu zaidi ya Bilioni moja baada ya kutangaza kuwa itaacha kutumia mfumo wake wa utambuzi wa Sura (Facial Recognition). Kumekuwa na shinikizo la kisiasa na kisheria dhidi ya Mtandao huo wa Kijamii kutokana na wasiwasi unaozunguka matumizi ya...
  3. chizcom

    Facebook inaweza kujikuta kwenye kesi na logo ambayo ni kampuni nyingine

    Sijui kwanini facebook alikurupuka kutengeneza logo ambayo kumbe ni ya kampuni nyingine. Hawa watu wanamsubiria kutambulisha na kumfungulia kesi waje kumfilisi.
  4. The Assassin

    Facebook wabadili jina, sasa kuitwa Meta

    Hivi karibuni facebook walitangaza kuwa watabadili jina. Leo wametangaza jina lao jipya kuwa ni Meta. Meta ilikuwa initiative ya mke wa Mark, leo Facebook imebadili jina na kujiita Meta. Nguvu ya mapenzi hii. Karibu meta. --- Facebook has changed its corporate name to Meta as part of a...
  5. B

    Shahidi wa pili kesi ya Mbowe, Bw. Kaaya afunga akaunti ya facebook baada ukweli kuhusu uachama wake wa CCM kuwekwa wazi mitandaoni

    Hii inaitwa kukurupuka na kukosa watu walio serious kwenye uandaaji na utetezi wa kesi ya jinai. Kwa mahakama zilizo huru na ambazo zinajitegemea kilichofanywa na shahidi wa pili kinatosha kumfunga au kutaka Chama cha mapinduzi kinachotuhumiwa kutumia Polisi na wanachama wa chama hicho...
  6. Mapensho star

    Nini sababu za Facebook kublock account ya mtumiaji

    Habari za humu wadau natumaini ni wazima kwa ambao awapo vizuri kiafya ama majanga tuendelee kuwaombea heri wamalize mwaka huu salama Jukwaa hili sijaingia muda mrefu sana nilipata mambo mengi kupitia hapa ya kiufundi kipindi nafanya blogs nawashukuru wote ambao siku mliekuwa mnatoa michango...
  7. Analogia Malenga

    Facebook yajipanga kubadili jina

    Facebook Inc. imepanga kubadilijina ili kuendelea kushikilia soko la mitandao ya kijamii. CEO na Mmiliki wa kampuni hiyo, Mark Zuckerberg amesema atalitaja jinajipya Oktoba 28 katika mkutano mkuu wa mwaka wa kampuni. Facebook imesema haitajibu masuala ya uzushi yanayoenezwa dhidi yao. ===...
  8. MK254

    Facebook Awards Kenyan Teacher Ksh5 Million

    An undated image of Samuel Mwaniki. FACEBOOK Two Kenyans emerged victorious in the 2021 Community Accelerator Program initiated by Facebook. In a statement dated Tuesday, October 5, Facebook announced that Samuel Mwaniki, a teacher, as well as doctor Wala Amakove, the medic behind Wanderlust...
  9. Kasomi

    Je, nini kilichoikumba Facebook, Instagram na WhatsApp?

    Tatizo lililo kumba kampuni ya facebook Je, tatizo lilikuwa lipi? Kwa ufupi, mifumo ya facebook ilishindwa kuwasiliana na mtandao duniani. 'Ni kama ambaye kuna mtu aliyeaathiri nyaya za kampuni hiyo katika kituo kikuu cha kutoa data na kuzitengenisha na intaneti' , ilielezea kampuni ya miundo...
  10. beth

    Facebook yashutumiwa kusababisha athari kwa watoto

    Mfanyakazi wa zamani wa Facebook, Frances Haugen amewaambia Wabunge Nchini Marekani kuwa App za Kampuni hiyo kuleta athari kwa Watoto. Facebook ni Mtandao wa Kijamii unaotumika zaidi duniani, ikiwa na watuamiaji wapatao Bilioni 2.7 kwa mwezi. Mamilioni ya watu pia hutumia WhatsApp na Instagram...
  11. N

    Gerson Msigwa: Serikali inawasiliana na watoa huduma wa mitandao ya WhatsApp, Facebook na Instagram kuhusu kukosekana kwa huduma

    Msemaji mkuu wa Serikali Bw. Gerson Msigwa ametoa wito kwa wananchi wote kuwa watulivu wakati serikali inawasiliana na makampuni ya WhatsApp, Facebook na Instagram kuhusu changamoto ya kukosekana kwa huduma ya mawasiliano ya mitandao hiyo. Huduma za mitandao hiyo zilikwama kwa saa kadhaa tarehe...
  12. Kasomi

    Historia ya kuanzishwa kwa Facebook

    Historia ya kuanzishwa kwa mtandao wa Facebook Tovuti ya Facebook ilizinduliwa tarehe 4 Februari 2004 na Mark Zuckerberg pamoja na wenzake wa Chuo Kikuu cha Harvard yaani Eduardo Saverin, Andrew McCollum, Dustin Moskovitz na Chris Hughes. Waanzilishi awali walikuwa wachache na kufanya...
  13. Kasomi

    Mark Zuckerberg atangaza kurudi hewani mitandao yake

    Mkurugenzi mtendaji na mmiliki wa Facebook ametangaza kurudi hewani kwa mitandao hiyo ambayo ni Facebook, WhatsApp, instagram na messenger ambayo inamilikiwa na facebook. Mark Zuckerberg amesema mitandao hiyo imerudi hewani saa moja lililo pita na kuwaomba radhi watumiaji wake kwa kusema anajua...
  14. Kasomi

    mark Zuckerberg apata pigo baada ya kuzima kwa Facebook, WhatsApp na Instagram

    Baada ya kukosekana kwa saa kadhaa kwa mitandao ya Facebook, WhatsApp, messanger na Instagram, mkurugenzi Mkuu wa Facebook ambayo ndio inamiliki mitandao tajwa Bwana mark Zuckerberg amepoteza zaidi ya Tshs. Trilioni 13.8 na kupelekea kushuka mpaka nafasi ya 6 ya mtu tajiri duniani akitoka nafasi...
  15. C

    Instagram, WhatsApp & Facebook all Down! Worldwide 04/10/2021

    Instagram, WhatsApp & Facebook all Down! Worldwide 04/10/2021 What happened?
  16. Alagwa

    Whatapp, facebook na Insta zikifungwa mtaweza maisha bongo hii

    Kwa muda mfupi wa mitandaao hi ya kijamii kusumbua wate wengi wamekwama katika shughuli zao nyingi. Mfano mshijai wangu kazini kwako kila kitu ni kwenye group la whatapp la job sasa jioni nii mtandao hakuna ndio kama likizo kwake,, Je kama ikichukua muda mrefu halii hii tutaimudu?
  17. Travis 1

    WhatsApp, Facebook na Instagram zatoweka hewani Oktaba 4, 2021

    Au tatizo hili ninalo mimi tu? ---Update---
  18. Shadow7

    Watoto Wawili Mapacha wamefariki Dunia wakati Mama yao akiwa busy live Facebook

    Watoto wawili mapacha wamefariki dunia baada ya kuporomoka kutoka ghorofa ya kumi wakati mama yao akijivinjari LIVE katika mtandao wa facebook. Mapacha hao Moise Petrice wa kiume na Beatrice Petrice pacha wa kike wamekumbwa na umauti huo baada ya kudandia katika dirisha lililokuwa wazi. Tukio...
  19. U

    Sijaelewa Naibu Spika Tulia Ackson alimaanisha nini kwa alichopostí kwenye ukurasa wake wa Facebook

    Wadau wenye macho ya rohoni Tafadhali tazama na utafsiri alichopostí Mheshimiwa Dkt Tulia Ackson
  20. beth

    Ireland: WhatsApp yapigwa faini ya Euro Milioni 225 kwa kuvunja Sheria ya Ulinzi wa Data Binafsi

    Mtandao wa WhatsApp umetakiwa kulipa Euro Milioni 225 kwa kuvunja Sheria ya Ulinzi wa Data Binafsi ya Umoja wa Ulaya (EU) kwa kutowaambia Watumiaji wake jinsi inavyotumia Taarifa zao Tume ya Ulinzi wa Data ya Ireland imesema imebaini ukiukwaji katika namna ambayo WhatsApp ilielezea jinsi...
Back
Top Bottom