furaha

  1. Mwamuzi wa Tanzania

    Tanzania hata kama tungekuwa na dhahabu kila mtaa bado umaskini ungekuwepo

    Habari za asubuhi waungwana! Nimeamka salama nimekutana na habari moja ya ugunduzi wa madini katika Kijiji fulani huko Mtwara a.k.a Ntwala. Nikajisemea moyoni kuwa bado hayataleta impact kwa taifa ingawa wananchi wachache watanufaika kwa kupata vibarua huko. Nimebahatika kufanya kazi kwenye...
  2. M

    Kwanini Mightier sijachukia Simba SC yangu Kufungwa Goli 1 kwa 0 na TP Mazembe katika Simba Day na bado nina Furaha kwa Mbungi Kubwa iliyopigwa?

    1. Nimefungwa na Timu Bora mwenzangu na ambaye ameshakuwa Bingwa wa CAF CL mara Tano tofauti na Zanaco FC au Rivers United FC. 2. Nimefungwa na Timu yenye Uzoefu mkubwa wa Kimpira kuliko Zanaco FC au Rivers United FC. 3. Nimefungwa na moja ya Timu si tu Kubwa bali ni Tajiri pia barani Afrika...
  3. Hardlife

    TANZIA Zacharia Hanspope, Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba afariki Dunia kutokana na Covid-19

    Aliyekuwa mjumbe wa bodi ya wakurugenzi ya Simba, Hans Pope amefariki usiku huu katika Hospitali ya Aga Khan alipokuwa akipatiwa matibabu. Marehemu alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya UVIKO-19 na alinukuliwa na kituo cha E-FM akisema alikuwa ICU akipambana na maradhi hayo. Marehemu Hanspope...
  4. O

    Unaweza kudumu na kuishi maisha ya furaha na mwenza wako

    Hivi unakumbuka mara ngapi ulishawahi kumwambia maneno mazuri mwenza wako na yakamkosha hadi akafurahi? Hakuna Siri ya kwanini fulani amedumu na ana furaha katika maisha yake ya mapenzi. Unaweza kufanya vitu mbalimbali ili kuhakikisha unakuwa na unaishi kwa furaha na kudumu katika mapenzi...
  5. Chendembe

    Bodaboda: Furaha za punguzo la adhabu ya makosa ya barabara imepotea?

    Tulishuhudia na kusikia shangwe za wabunge, Bodaboda na wamiliki wa pikipiki wakati bajeti inasomwa na mheshmiwa Wazili Mche. Naomba kufahamu, hali ya sasa katika Hilo nchini kwakuwa, nimeona idadai ya pikipiki inaongezeka katika vituo vya polisi. Mbaya zaidi, nimeona askali wetu wakizisaka...
  6. incredible terminator

    Ku - date na mabinti wa 18-28 ni mateso tupu hamna furaha kabisa

    Habari wakuu, Kwa uzoefu nilioupata kutokana na kupitia mahusiano mbalimbali hatimae leo nimeona nilete hitimisho kuwa kudate na mabinti hakuna furaha kabisa, yaani hawa watoto maisha yao katika mahusiano yamejaa vioja na mateso chungu nzima, yaani ni mahusiano ya wasiwasi tupu, Kwanza haupati...
  7. OMOYOGWANE

    Mke akikufumania fanya yafuatayo ili akusamehe

    Habari wakuu, Leo nawaletea mbinu ya kivita ambayo unaweza kuitumia kwa mkeo ili akusamehe kiulaini, mfano kama kakufumania, kakukuta na SMS za michepuko, au kosa lolote kubwa ambalo limeleta ugomvi na linatishia uhai wa ndoa au mahusiano yako, Tumeambiwa Tuishi nao kwa akili, Njia nzuri ya...
  8. OMOYOGWANE

    SoC01 Maana ya Furaha na Nadharia ya Punda anayekimbiza karoti

    Je umewahi kujiuliza Furaha ni nini? Je umewahi kuwa na furaha? Ilikuaje ukawa na furaha? Je unakumbuka nini siku ile ulipopata matokeo yako ya kidato cha nne ? Bila shaka ulihabarishwa kuwa umefaulu na unatakiwa kujiunga na chuo au kuendelea na kidato cha tano, bila shaka ulipata Furaha kubwa...
  9. Ferruccio Lamborghini

    Siku ya kuzaliwa yenye furaha kwako Eric Shigongo

    Leo ni siku muhimu katika historia ya Maisha yangu, ndiyo siku ambayo Mwenyezi Mungu alinileta duniani kupitia wazazi wangu Bi. Asteria Kapela na Mzee James Bukumbi (wote marehemu). Napenda kumshurku Mungu kwa kuendelea kunipa uhai, afya, nguvu na maarifa ili kuendelea kutimiza dhumuni lake la...
  10. I

    Ndoa ni box tupu, unahitaji kuwekeza ili uvune

    Watu wengi wanaingia kwenye ndoa kwa matarajio kuwa maisha ya ndoa ni raha mustarehe. Mnaelewana na mwenza wako nae atakua rafiki yako. Ukweli ni kuwa, ndoa ni box tupu, unahitaji kuwekeza ili uvune. Hakuna mapenzi kwenye ndoa bali ni watu wawili wanaopendana wanaingia kwenye ndoa. Ingiza...
  11. mama D

    Mama aliyezaa watoto7 akimbiwa na wanawe, aishia kutunzwa na mjukuu wa miaka8 - Kuzaa ni kitu kimoja na kupata furaha ya uzao wako ni kitu kingine!

    Mama amezaa watoto7 lakini hana hata wa kumjulia hali, tena katika maradhi yanayomsibu. Hivi kweli waafrika wa Tanzania tumefikia hatua ya kushindwa kulea wazazi wetu!? Yaani hii ni kinyume kabisa na mila na desturi zetu. Mgonjwa kiasi hiki kutelekezwa na watoto wake wa kuzaa! Inaumaaaa...
  12. I

    Simulizi: Jinsi binti alivyoweza kuwatoa wazazi wake kwenye umasikini

    Haya ni maneno aliyoyatamka Linda, binti wa pekee kwa wazazi wake. Baba yake alikua mlinzi wa majengo ya serikali kwa miaka mingi. Mama yake alikua mama wa nyumbani aliyejishughulisha na biashara ya vitafunio vya asubuhi kama chapati, maandazi, sambusa na vitumbua. Linda na wazazi wake...
  13. C

    Kevin-Prince Boateng:′′ Nilinunua magari matatu kwa siku moja nikiwa Tottenham: Lamborghini, Hummer, na Cadillac lakini sikuwahi kua na Furaha

    Lamborghini, Hummer, na Cadillac. Lakini kwa kipindi chote nilichokaa Tottenham nlishindwa kununua FURAHA. Furaha pekee ndo ilinifanya niondoke Tottenham na kwenda kuitafuta sehemu nyengine. Swali kwako how far can you go for find of happiness and what cost u can pay for your happiness?
  14. B

    #COVID19 Ni Furaha kuu, Corona kama Ugonjwa na yatokanayo yakielekea ukingoni

    Leo ni siku ya furaha kuwa chanjo ya Corona inazinduliwa. Hatimaye pana Nuru tena katika maisha yetu. Baada ya uzinduzi huu na kutupa maelekezo ya wapi kila yeyote alipo anaweza kwenda kuchanjwa kwa raha zake, tutakuwa tunaifunga rasmi sehemu kubwa ya mijadala kuhusiana na ugonjwa na yote...
  15. Behaviourist

    2018 - 2020 World Happiness report: Burundi ina furaha kuliko Tanzania

    Nchi zilizopo kwenye kumi bora kwa kuwa na furaha duniani kwa mwaka 2018 - 2020👇 Nchi zilizopo kwenye kumi bora kwa kukosa furaha duniani kwa mwaka 2021👇 Sources:Happiness, trust, and deaths under COVID-19
  16. mama D

    Waliostaafu na wastaafu watarajiwa pokeeni ushauri utakaowawezesha kuishi kwa furaha na amani a

    Tunapofikia umri wa kustaafu tunatakiwa kujua tumefikia ukomo wa kipindi cha kuanzisha mambo mapya na tuko kwenye kipindi cha kuishi na kuyafurahia yale tuliyoyafanya tukiwa makazini, tukiwa na nguvu, tukiwa na nguvu na umri unaoturuhusu kurekebisha makosa. Niseme tuu kaka yangu Antony ameongea...
  17. badison

    Tathmini ya madhara ya kiuchumi juu ya hizi tozo na makato miamala ya simu

    Natanguliza shukrani wasomi Evelyn Richard, University of Dar es Salaam Business School Pamoja Eliamringi Mandari, Bank of Tanzania Katika utafiti (study) uliochapishwa na chuo kikuu cha dar es salaam juu ya umuhimu wa mobile banking na lengo la kuanzishwa kwake. Katika utafiti wao walichukua...
  18. Lycaon pictus

    Natafuta kitabu Someni kwa furaha 2B. 15,000 ipo hapa.

    Natafuta hiki kitabu chenye hadithi ya bulicheka. Kama unacho kiscan na kunitumia. Nina 15,000 ya shukrani.
  19. Arch - Forum Tz

    Furaha Ya Maiti

    Naita furaha ya maiti kwakua sasa jamii iliyoumia na kukaa kiunyonge kwa miaka mingi inafurahia namna mpya ya maisha yasiyo ya vitisho lakini ukweli ukibaki palepale kuwa bado jeneza na kaburi ni lilelie ila sanda pekee ndiyo imebadilishwa. => Kwanini makato ya miamala yaongezeke => Kwanini...
  20. M

    Nimejiunga leo

    Nimefurahi kwakufanikiwa kujiunga Leo katika jukwaa hili amina
Back
Top Bottom