19:30 TODAY THURSDAY SEPTEMBER 19,2024
LATEST UPDATES FROM THE SPEECH OF HEZBOLLAH CHIEF NASRALLAH:
Israel strikes southern Lebanon as Hezbollah leader condemns fatal device attacks
Israel has launched air strikes on southern Lebanon as Hezbollah leader Hassan Nasrallah condemns this week’s...
alhamisi
breaking news
duniani
gold
habari
hezbollah
jina
kampuni
kesho
kiongozi
kuzungumza
magaidi
mawasiliano
mkuu
news
redio
septemba
taiwan
ulaya
waandishi
waandishi wa habari
Yaani miaka nenda Rudi ukitazama ITV, TBC, ZBC, clouds, wasafi
Habari ni zile zile za matatizo.
1. Video
2. Watu kutekwa
3. Mafuriko.
4 Matatizo ya maji
5. Mlipuko wa magonjwa, kipindupindu, suala
6. Upungufu wadawa
7. Ugomvi wa wakulima na wafugaji
8. Ufisadi.
9. Ubakaji
10 Njaa n.k
11...
Sean "Diddy" Combs was arrested in Manhattan on September 16, 2024, following a grand jury indictment related to an ongoing federal investigation involving allegations of sex trafficking, sexual assault, and other criminal activities. This arrest came after his properties were raided by federal...
Tangu kuanzishwa kwa mfumo wa uhamisho kwa watumishi mwaka jana 2023 watumishi wamekuwa na kilio kisicho na mtu wa kunyamazisha, kwa maana hakuna mtumishi aliyeomba uhamisho na akapata kibali cha kuhama kwenye mfumo.
Mbaya zaidi ukipiga simu TAMISEMI hata wao hawajui ni lini vibali hivyo...
Anonymous
Thread
fichua uovu
habari
kero
tamisemi
uovu
utumishi
yangu
Jamani nimekua selected course ya bachelor of arts with education Duce lakini ninahitaji kwenda udsm mlimani kusoma course nyingine nifanyaje ili kubadili admission
Watengenezaji wakubwa wa battery za magari ya umeme CATL jana (tar 13 Sept) wamezindua battery Tectrans Bus Edition kwaajili ya mabasi ya umeme yenye lifespan ya miaka 15 au Kilometa Mil 1.5 na warranty ya miaka 10 au kilometa Million 1.
Hii battery ina energy density ya 175 Wh/kg ambayo ni...
Nimepita Tegeta juzi kuuliza yule kada alitekwa wapi,wale watu mostly waliniuliza "kwani yupo kada wa Chadema alitekwa?"
Halafu yule mmoja akaniambia,"Ah yes,hata mimi nilisikia kwamba alitekwa pale Mbele."
Inaonyesha tukio lenyewe lilifanyika without fanfare na lilikuwa not noticed by many.(...
Nimeona video ikisambaa toka jana ikimuonesha Tundu Lissu akiwa anazomewa na watu waliokuwepo kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jana tarehe 11/09/2024 wakimzomea na kumuita YUDA je ni cha kweli?
Wanakumbi.
Netanyahu alikuwa akitetemeka sana wakati mpiga picha alipogundua, mara moja alijaribu kuwaficha kwenye video .
Netanyahu ana kila kitu anapewa misaada ye pesa na silaha kutoka Marekani na Ulaya.
Hamas wamemfanya anateteka hovyo...
Habari sitaki kusema mengi ila Najiuliza tu wale wanahabari ambao hua mnatuletea thread za Maslahi kwa Taifa Mara Mama ni mtu mwema umeambiwa na sauti from within je haya yanayoendelea ya wanawake kulawitiwa. wapinzani kutekwa au wakosoaji kutekwa mkiyasema sio kwamba ndio mtakua mmefanya kwa...
Kila nikisikiliza media kubwa zilizoaminika kwasasa ni kama TBC tu
Iwe BBC Swahili, VOA, CNN au Al Jazeera zote ni ovyo tu zinatoka habari za kuendelea na za uongo na uzushi sana
Wanainanga Russia, Parestina, Libya, North Korea nk
Lakini katu wanawasifu wahalifu kama Ukraine, Rwanda, Israel nk...
Habari ndugu, naombeni msaada kwa yeyote mwenye gazeti la HABARI LEO la Leo tarehe 04/09/2024 anisaidie jambo.
Nimepoteza vyeti vyangu vyoye vya elimu hivyo ilinipasa kuandaa tangazo kwenye gazeti na Leo ndiyo siku tangazo hili limetoka lakini kwa bahati mbaya nikapatwa na msiba hivyo...
Naona Nissan wako serious, wanaleta generation nyingine ya Patrol ambayo tunaamini ndio itacompete na LC J300!
Itakuja 2025, Nissan wameipa model code Y63 na ni generation ya 7 ya Patrol tokea waanze 1951.
Inakuja na twin turbo V6 mambo ya V8 yashapitwa na wakati, na engine ndogo ya 3.5L sio...
Wakuu habari ya muda huu, ninahitaji mkopo wa laki 7 usio na riba na nitalipa kwa miezi 5(Kila awamu ni Tsh.140000 au zaidi).
Dhamana ni hati ya kiwanja nilichonunua 2019 kwa Tsh 1.3M..Nipo magomeni mwembechai. Aliye tayari karibu tuchat.
Namba zangu ni 0654102984.
Hawa waandishi wetu huwa hawanaga ubunifu wa kuandika habari zinahusu jamii yetu?
1. Vijana,
2. Ukosefu wa ajira?
3. UTEKAJI/abductions,
4. Kuwawezesha wanawake?
5. Ulinzi wa watoto?
6. Mabadiliko ya tabia ya nchi/mazingira?
NB: Zaidi ya kuripoti mikutano ya viongozi, matamasha? vikao vya bunge?
Juzi juzi hapa mara baada ya jeshi la Ukraine kuivamia Russia hakika habari motomoto za jeshi la Ukraine kusonga mbele zilikuwa zikiandikwa kwa mbwembwe na karibu vyombo vyote vya habari vya Ulaya.
Lakini kwa ukimya huo lazima Ukraine atakuwa anachezea kichapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.