heslb

  1. The unpaid Seller

    Maajabu: HESLB wamenifutia deni lote lililokuwa limesalia mwezi huu Januari

    Hallo hata sijui wamekosea au vipi. Nimecheck salary slip ya January nimekuta loan board hawajanikata na hawapo kabisa kwenye salary slip yangu. Nikapagawa kwa muda ikabidi nicheck status ya loan yangu kwenye website yao, nikakuta napongezwa kwa kumaliza kulipa deni. Awali mwezi uliopita deni...
  2. M

    Msaada yafadhali: Namna ya kurejeshewa fedha zilizozidi HESLB

    Naomba mwenye ulewa anisaidie namna ya kujaza maombi ya kuresha fedha iliyozidi Toka bodi mikopo Kwa njia ya online. Natanguliza shukrani.
  3. A

    Kwa hili la HESLB ingekuwa kwenye mamlaka ya Hussein Mwinyi, Mkurugenzi angeshatenguliwa

    Sina nia ya kupuuza juhudi za Mh. Samia Suluhu amiri jeshi mkuu. Ila ameonekana kucheka na wazembe. Kwa namna ninavyoona mwenendo wa Mh. Hussein Mwinyi kule Zanzibar,ninauhakika angekua na mamlaka juu ya HESLB angeshatengua uteuzi. Na angevunja menejimenti yote ya HESLB Tena hao wachunguzwe...
  4. A

    Maswali kwa mkurugenzi wa HESLB ndugu Badru

    Mpaka kufikia leo January 9/2022 baadhi ya wanachuo hawajapewa mikopo tangia wamefungua vyuo yani wengine wanakaribia kusaini awamu ya pili wapewe fedha,wengine walisha saini ila hawajapewa fedha zao za awamu ya kwanza mpaka sasa. Je wewe mzee unataka nini hasa kwa watoto wa wanaume wenzio? Je...
  5. Panctuality

    Bachelor of accounting and finance (BAF) kupitia diploma in accounting and finance (DAF) as qualification ina mkopo toka HESLB?

    Wazee wa "ceteris peribus" habarini. Bila kuwapotezea muda naomba kujua endapo kama bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu (HESLB) huwa wanatoa mikopo kwa wanafunzi wanaosomea bachelor of accounting and finance mathalani waliopitia diploma ya accounting and finance? Au wanufaika wa mkopo...
  6. Analogia Malenga

    Prof. Bisanda aomba HESLB kufadhili wanafunzi wa Chuo Kikuu Huria, mwaka huu wametoa mikopo kwa wanafunzi saba pekee

    Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria Tanzania, Prof Bisanda amesema wanakumbana na changamoto ya Bodi ya Mikopo Kutowatambua wanafunzi wa Chuo hiko, hivyo hutoa mikopo kwa wanafunzi wachache ambapo kwa mwaka huu wametoa mikopo kwa watu saba tu. Amesema gharama inayotumika kusomesha wanafunzi watatu...
  7. LUS0MYA

    Unahitajika ukaguzi wa dharura bodi ya mikopo ya elimu ya juu

    Waziri anayehusika atoe amri ya ukaguzi wa dharura na kutumia vyombo vya usalama na TAKUKURU kwa kuwa kuna viashiria vikubwa ya matumizi mabaya ya fedha na utoaji mikopo mwaka huu licha ya serikali kusema kuwa imetenga bajeti kubwa zaidi kuliko miaka mingine. 1. Idadi ya wanafunzi walioomba...
  8. Clark boots

    Taharuki iliyopo sasa vyuoni kuhusu HESLB

    Ndugu wadau wa elimu habarini za mda huu, Tangu kuanza kwa wiki hii inayoelekea weekend kumetokea na taharuki kubwa kwa vyuo mbalimbali hapa Nchini na inaendelea hadi da huu wanafunzi wengi tuko midomo wazi. Issue iko hivi, baada ya vyuo kufunguliwa na wanafunzi kuanza masomo bodi ya mikopo...
  9. F

    Msaada: Nahitaji kuappeal mwaka huu HESLB na sijafanya usajili bado na kwenye appeal form wanahitaj reg no, nafanyaje hapo?

    Naombeni msaada wa hilo swali plz kwani sielewi mpaka sasa nifanye nini angali sijapata registration no ya chuo kutokana na kukosa ada ya kujisajili na form ya kuappel kuna kipengele cha kujazwa reg no
  10. A

    Shaka Hamdu Shaka ziara yako HESLB ni mashaka matupu, mamlaka za juu zikusaidie

    Ikumbukwe kwamba hivi karibuni katibu wa CCM itikadi na uenezi ndugu Shaka alienda bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu(HESLB) akitaka kujua ukweli wa mambo juu ya wahitaji kutopata mikopo hivyo malalamiko kuzidi kua mengi. Baadhi ya wahitaji wamefika ofisi za bodi lakini watumishi...
  11. N

    Badru wa HESLB tambua wote ni wahitaji epuka matabaka!

    Hivi karibuni niliandika uzi huu: https://www.jamiiforums.com/threads/bodi-ya-mikopo-elimu-ya-juu-heslb-wanatokaje-awamu-hii.1922083/ Hata hivyo Badru bado anajisifia kuwa walioangaliwa Zaidi kwenye mikopo ni wale watoto wenye uhitaji zaidi wanaotoka familia duni. Ukweli hajui watoto wa wale...
  12. J

    Shaka atua Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndg. Shaka Hamdu Shaka Jumanne 26 Oktoba, 2021 ametembelea Ofisi za Bodi ya Mikopo ya wanafunzi elimu ya Juu zilizopo maeneo ya Tazara Wilaya Temeke Jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na viongozi na watendaji wa bodi hiyo. #ChamaImara #KaziIendee
  13. B

    Ni wakati wa Bodi ya Mkopo Elimu ya Juu (HESLB) kubadilika

    Nafahamu mpaka sasa upangaji wa mkopo kwa wanafunzi unasuasua japo mnaeleza pesa mnayo bil 570 wanafunzi nusu ya zaidi ya waliomba hawajui hatma yao (mnachelewa). Kupanda na kushuka katika maisha ni jambo la kawaida kwa mfano familia ya mzee kiyoyozi miaka 20 nyuma ilikua nakipato kizuri na...
  14. Abdul Nondo

    Bodi ya Mikopo wasijibu kwa ujumla ujumla Kiwango kidogo cha mikopo kwa wanafunzi

    HESLB wamejitetea kwamba kiwango cha chini cha mkopo walichotoa kwa mwanafunzi ni Tsh2,099,500. Hi ni taarifa ya jumla jumla na haina msingi.Hiyo ni fedha ya kujikimu na hutolewa sawa kwa wote. Bodi waseme kiwango cha chini cha Ada walichotoa ni Shiling ngapi? Mwaka huu zaidi ya wanafunzi elfu...
  15. Jamaa Fulani Mjuaji

    Kwanini Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu (HESLB) inaendesha mambo kisiasa?

    Haya ni Maoni Yangu, kwa mtazamo wangu naona Hili swala linaumiza sana watoto wa walala hoi kwanini Bodi ya mikopo Elimu Ya Juu inaendesha mambo yake kwa ahadi za kisiasa sana. Kwenye briefing zao na taarifa ambazo huwa wanazisoma mbele ya media huwa zinajaa mbwembwe sana kuwa tuna hela Tayari...
  16. Benno Bongo

    Ni nini sababu ya kupungua kwa mikopo ya HESLB mwaka 2021?

    Tatizo hasa ni nini kupungua kwa mikopo 2021 na watu wengi hususani wanaotoka kaya maskini kupata chini ya asilimia 50. Karibu tujadiliane
  17. NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

    Ushauri kwa Serikali: Futeni HESLB na fedha zote zielekezwe kwenye ajira mpya za graduates wa vyuo!

    Maisha yanaendelea! Maelfu ya graduates wasio na ajira yanaongezeka mtaani kila mwaka!na graduates wanashindwa kurejesha mkopo wa masomo waliotumia kusomeshwa. Muda umefika serikali ifanye Re alocation ya bajeti ya mkopo kuwa bajeti ya ajira mpya ili graduates waajiriwe na serikali nchini...
  18. W

    Mwanachuo anayeingia mwaka wa pili akaomba mkopo HESLB kwa mwaka huo, wanapotoa batch yeye ataingizwa kwenye batch gani?

    Naomba msaada wandugu, Eti kwa mwanachuo anaeingia mwaka wa pili, akaomba mkopo HELSB kwa mwaka huo. Wanapotoa batch yeye ataingizwa kwenye batch Gani, maana batch ya kwanza wamesema ni kwa mwaka wa kwanza na idadi at. Msaada please
  19. Elisha Sarikiel

    Bodi ya mikopo (HESLB) yawapangia wanafunzi 37,731 mkopo awamu ya kwanza kwa mwaka 2021/2022

    Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza leo (Jumapili, Oktoba 17, 2021) orodha ya Awamu ya Kwanza yenye wanafunzi 37,731 wa mwaka wa kwanza waliopangiwa mikopo yenye thamani ya TZS 99.9 bilioni kwa mwaka wa masomo 2021/2022 unaotarajiwa kuanzia wiki ijayo. Mkurugenzi...
  20. Jesusie

    FY2021|22 HESLB imesajili wanafunzi wapya elfu 29 tofauti na elfu 32 wapya waliosajiliwa FY2016|2020

    Kwamiezi michache tu ya awamu ya sita Rais Samia ameongeza Jumla ya wanafunzi wanufaika wapya 29,117 wa HESLB,Mtakumbuka miaka mitano ya awamu ya tano tuliongeza wanafunzi wapya 32,583,God's Good === Mpaka awamu ya nne inaondoka madarakani FY2015|16 kulikuwa na Jumla ya wanafunzi 98'300...
Back
Top Bottom