india

  1. MK254

    Why Kenyans Will No Longer Have To Travel To India For Cancer Treatment

    Kenyans will no longer have to travel to India or any other country for cancer treatment. This comes after President Uhuru Kenyatta launched the Integrated Molecular Imaging Centre (IMIC) at the Kenyatta University Teaching Referral and Research Hospital (KUTRRH) on Saturday, October 16. The...
  2. jollyman91

    India likely to allow export of Sputnik Light COVID shot this month - sources

    NEW DELHI, Sept 23 (Reuters) - India is likely to allow the export of domestically produced doses of Russia's Sputnik Light COVID-19 vaccine this month, as the shot has yet to be approved in India, two sources with knowledge of the matter told Reuters. Local media have reported that Indian...
  3. Tony254

    Wakulima wa chai huko India wanalia kwamba chai kutoka Kenya ina bei ndogo kwa hivyo inawafanya kukosa biashara

    Hehehe. Nyang'au sisi hatutambui chochote linapokuja swala la biashara. Tunafinya mpaka Wahindi wa huko India. Wakulima wao wanalia kwamba chai kutoka Kenya inauzwa bei ya chini na kuwaharibia biashara. Wanataka serikali yao iingilie kati. Hehehe waendelee kulia tu, sisi tutaendelea kuwafinya...
  4. stakehigh

    CCM ni kati ya vyama vikubwa duniani (nyuma ya India, China, Pakistan na Uturuki)

    - Wanasema "NUMBERS DONT LIE": Katika list ya mwisho ya MAY 2020, wazi ikionyesha chama cha 10 duniani zenye wanachama kati ya mil 5 mpaka 50: lakini ikiwa ya 12 kwa jumla ya vyama vyote duniani https://en.wikipedia.org/wiki/List_of_largest_political_parties - CCM inapoendelea na sera zake...
  5. May Day

    India: Kijana alivyopoteza maisha kwa ajali wakati akifanyia majaribio helikopta aliyokuwa akiiunda

    Nakumbuka hata hapa nchini kuna taarifa kadhaa zinazoelezea juu ya uundwaji wa chombo hichi, na hata kumewahi kutoka lawama ni kwa nini hwapewi kibali cha kujaribu Vifaa vyao hivi. Ingawa wanasema huwezi kujua ufanishi bila kujaribu lakini nadhani kuna mashine na mashine. Hii imetokea India...
  6. beth

    #COVID19 India: Idadi ndogo zaidi ya maambukizi tangu Machi yaripotiwa

    Visa vipya 28,204 vya COVID19 vimerekodiwa ndani ya saa 24 zilizopita, idadi ambayo kwa mujibu wa takwimu za Serikali ni ndogo zaidi kurekodiwa katika Taifa hilo tangu Machi 16. Kwa ujumla, maambukizi yapatayo Milioni 32 yamerekodiwa India hadi sasa. Wizara ya Afya imesema vifo 373 vimeongezeka...
  7. B

    #COVID19 Kwa mujibu wa Zitto Kabwe, Tunapoteza watu kwa kiwango kikubwa kutokana na Corona

    Jambo la kheri kuwa sherehe za nane nane zimefutwa kimya kimya. Juzi kati Mwenge wa Uhuru ulikuwa Morogoro nao kimya kimya. Mambo ya mbuni yametufikisha hapa. ---- extracts tokea kwake Zitto Kabwe. Kwamba tunapoteza watu si chini ya 2,000/mwezi kwa Corona. Hali hii si ya kufumbiwa macho...
  8. World Logistics Company

    Uzoefu wetu na India: Kwanini wafanyabiashara wanaagiza mazao kutoka nje ya nchi?

    Wadau wa Biashara na Ujasiriamali, Tumeona humu kuna wazoefu wa biashara hizi za mazao ya kilimo, bila shaka ni sahihi kuleta jambo hili kwenu ili tubadilishane uzoefu. Pichani ni mzigo wa nafaka za mahindi uliagizwa na mteja wetu wiki kadhaa zilizopita. Mzigo huu ulitokea nchini India na...
  9. beth

    #COVID19 Chanjo ya Johnson & Johnson yaidhinishwa India

    Serikali Nchini humo imeidhinisha matumizi ya dharura ya Chanjo ya Johnson and Johnson dhidi ya Ugonjwa wa COVID-19. Hadi sasa Mamlaka za Afya za India zimeidhinisha Chanjo kadhaa ikiwemo AstraZeneca. Taifa hilo limekuwa likirekodi wastani wa Visa vipya 30,000 hadi 40,000 kwa siku tangu mwezi...
  10. Alvin_255

    Raia mwenye asili ya Congo apigwa na Polisi hadi kufa nchini India

    Mkongomani auwawa kwa kupigwa hadharani na Polisi nchini India. Kifo cha Mkongo huyo kimesababisha mandamano kwa raia walivyoona akipigwa marungu na miti kichwani na kiunoni kwa kushambuliwa na Polisi Zaidi ya 8 bila Huruma hadi alipokata roho na kuendelea kupiga maiti kwa kuiponda-ponda...
  11. beth

    #COVID19 UNICEF: Janga la Corona ni changamoto kwa watoto masikini kupata elimu

    Kwa mujibu wa Ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la UNICEF, Mtoto mmoja kati ya wanne ndiye mwenye kutumia Vifaa vya Kidigitali na Mtandao. Imeelezwa, Familia nyingi zimeuza mali zao au kuchukua Mkopo ili kununua Vifaa hivyo na kuwawezesha Watoto wao kuendelea na Masomo wakati huu wa Ugonjwa...
  12. Analogia Malenga

    Watu 38 wauawa na radi wakijipiga picha ‘selfies’ India

    Takriban watu 38 wamefariki dunia kwa kupigwa na radi ambapo 11 kati yao walikuwa wakipiga picha (Selfie) katika jengo la Kitalii la Amber Fort wakati mvua inanyesha Katika matukio mengine, watu 18 walifariki kwa radi huko Uttar Pradesh ambapo imeelezwa wengi wao ni Wakulima. Pia, Polisi...
  13. 2019

    #COVID19 Siku 60 zijazo Tanzania inaweza kuwa zaidi ya India kwenye suala la COVID-19

    Tanzania nchi ya mzaha mzaha kwenye kila kitu. Watanzania wengi ni watu wasiojali, yani hawajali chochote kiwe hatari au faida. Watanzania hao hao kwenye kualalamika wanaongoza baada ya kupata madhara tayari ila ni wazito sana kufanya maamuzi. Pamoja na wizara ya afya kutangaza idadi ya...
  14. beth

    Serikali ya India yataka Twitter iwajibishwe kwa maudhui yanayowekwa na Watumiaji wake

    Twitter is in uncharted waters in one of its largest markets. The social media company no longer has immunity over content posted on its platform by third parties in India, according to a court filing submitted Monday by the Indian government. The court has yet to weigh in on the matter. The...
  15. beth

    #COVID19 COVID-19: Vifo Nchini India vyafikia 400,000

    Wakati jitihada za kuongeza kasi ya Chanjo zikiendelea Nchini humo, idadi ya vifo kutokana na janga la Virusi vya Corona imepita 400,000 huku Wataalamu wakionya namba halisi inaweza kuwa kubwa zaidi kwasababu vifo vingi havijarekodiwa rasmi. Hivi karibuni, maambukizi mapya India yamepungua...
  16. Analogia Malenga

    Waliopokea Chanjo ya AstraZeneca ya India kunyimwa pasi maalum ya kuingia Ulaya

    Pasi maalumu ya Umoja wa Ulaya, itakayoanza kutumika tarehe 1 mwezi Julai kurahisisha safari kwenda Ulaya kwa wale waliopata chanjo itaanza kufanya kazi lakini ikiwa na sharti moja muhimu. Mtu yeyote aliyepewa chanjo ya AstraZeneca inayozalishwa na Taasisi ya Serum ya India hatastahiki kupata...
  17. beth

    #COVID19 India: Maambukizi ya COVID-19 yaendelea kupungua

    Mwenendo wa mlipuko wa COVID19 Nchini humo unaendelea kubadilika na sasa India imerekodi maambukizi mapya 70,421 ndani ya saa 24 zilizopita, ikiwa ni idadi ndogo zaidi kuripotiwa tangu Machi 31. Taifa hilo limerekodi jumla ya visa Milioni 29.51 na vifo vimefikia 374,305 baada ya vingine 3,921...
  18. beth

    India: Miji mikubwa yaanza kufunguliwa baada ya maambukizi ya COVID-19 kupungua

    Miji mikubwa Nchini humo ikiwemo Mumbai na New Delhi imeanza kufunguliwa baada ya wimbi la pili ya Virusi vya Corona ambalo limetajwa kuwa baya zaidi kupelekea vifo vya maelfu ya watu. Idadi ya maambukizi mapya 100,636 yaliyorekodiwa saa 24 zilizopita ilikuwa takwimu ndogo zaidi kuripotiwa...
  19. J

    Chadema walimpenda sana Job Ndugai na alipoenda India walimlilia, kwa sasa Chadema wanampenda Rais Samia!

    Upendo ni jambo muhimu na la baraka mbele zake Mungu. Chadema walimpenda sana Spika Ndugai na hasa pale walipobaki na Dr Tulia wakati Job akiwa India kwa matibabu walimlilia na kumuombea uponyaji wa haraka. Aliporejea Freeman alienda air port kumpokea na kumsindikiza hadi nyumbani kwake...
  20. Analogia Malenga

    Zimbabwe yagundua kesi za kwanza za aina mpya ya virusi vya corona vya India

    Makamu rais wa Zimbabwe akiwa katika hospitali ya Wilkins kwa ajili ya chanjo ya kupokea chanjo ya Covid 19. Shirikisha Zimbabwe imegundua kesi za kwanza za aina mpya ya virusi vya corona ambavo vimeibuka nchini India, Makamu wa Rais Constantino Chiwenga alisema Jumatano, na kuongeza kuwa...
Back
Top Bottom