internet

  1. Kenya 2022 Waziri wa Mambo ya Ndani akanusha Madai ya Ruto ya kuzima umeme na internet siku ya Uchaguzi

    Fred Matiang’i, Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa nchini humo amesema madai ya Naibu Rais William Ruto ya Serikali kuzima Umeme na Mtandao ili kutekeleza wizi wa kura ni kejeli kwa kuwa wanaunga mkono Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kuendesha na kufanikisha...
  2. Nataka kununua wifi router ya kusambaza intaneti nyumbani lakini itakaa masaa 6 tu. Je, nikiiwekea power bank itakuwa inakaa muda gani?

    Habari zenu wakuu, Nina tatizo la network hapa nyumbani kwangu maeneo ya sebleni kwangu na chumbani kwangu ambako ndiko natumia internet. Sasa kuna sehemu ya nje ni kama kibanda kisicho na umeme, network imejaa 4g huwa inashika vizuri sana, nataka niweke portable wifi router ndogo hizi...
  3. Rekodi Mpya: Tanzania avuliwa taji la gharama nafuu za Internet, Kenya ndie bingwa mpya East Africa

    Hongereni majirani, kwa sasa nyie ndio mnaoongozea kwa cheapest internet in East Africa. Well, kwa huku kwetu TZ gharama zimepanda sana, kwa sasa GB 1 ni 1,861 sawa na shilingi yenu ya kenya 94. Youtube views za miziki yetu zilivyo drop ni kithibitisho tosha,
  4. TCRA GB 1 Yafikia shilingi 1,861 ambayo itapanda, Ni jitihada za kuiminya internet kwa lengo lipi ?

    TCRA kuna nini huko, Nachojua hizi internet TCRA ndio kama anaewajumulia mitandao ya simu waje kutuuzia kwa reja reja, Hatuwezi kuilaumu mitandao ya simu bali TCRA, Wao wakipandisha bei basi na mitandao inapandisha. Kuna nini hasa ? Hizi ni danadana za haba na haba hujaza kibaba sitakja...
  5. N

    Airtel wapandisha vifurushi vya internet

    Hakuna waziri anayevutia wawekezaji kupata faida kwenye biashara ya DATA kama Nape nnauye, kijana anapiga kazi aiseeee Nimeamka nakuta kifurushi cha 1500 nilichokuwa naapata gb1 kwa sasa ni mb 850, hapo ukilalamika utasikia Nape anasema TCRA fatilia hao, utasikia mnalalamika nini wakati...
  6. Vodacom Kasi Internet ni Utapeli?

    GTs, Nimekuwa muumini wa huduma bora toka VODACOM, hasa kwenye bundle za internet. Na nimekuwa muumini wa KASI INTERNET, ila cha ajabu bundle ya internet hiyo ya kasi imekuwa na spidi ya kobe, yaani kila kitu kipo slow mpaka najiuliza hivi kuna tatizo? Je ni mtandao gani wa simu wenye internet...
  7. Je, ni kweli unaweza kupata internet bure kwa kutumia VPN Proxy?

    Wadau wa JamiiForums eti inawezekanaje mtu kutumia mtandao free bila bando... Kuna wanaosema wanatumia free intanet kwa kufanya ujanja kwa kutumia VPN proxy me nikaona niwashirikishe waungwana usikute nimepigwa.
  8. Wakazi wa DAR wenye uhitaji wa Internet katika kazi zenu kuanzia Ofisini mpaka Nyumbani, suluhisho hili hapa

    Najua watu wengi sana hutumia internet katika mishe za hapa na pale,binafsi ni wale watu wanaoishi mjini kwa kutegemea internet kwa sana, pamoja na mengine ninayofanya ila nina mengi makubwa nayafanya kupitia internet. Nimeshatumia internet mbali mbali za makampuni makubwa na madogo, na baadhi...
  9. Miundombinu tayari kwa shirika la umeme Kenya kusambaza intaneti

    Tunakwenda vizuri. Kenya Power will start offering fixed internet services by June next year in a shift that will put it in competition with telcos and trigger fresh price wars in the battle for the market. The State-owned power utility has been piloting the fixed internet provision to a...
  10. L

    Internet Explorer ya Microsoft inafungwa kabisa kuanzia tarehe 15 mwezi Juni

    Internet Explorer ya Microsoft inafungwa kabisa kuanzia tarehe 15 mwezi Juni.
  11. Tetesi: TTCL Kusambaza Internet Bure Majumbani na Maofisini. Bili ni kwa Mwezi

    .
  12. Kuhusu "Connect 16" na huduma yao ya satellite internet

    Siku chache zilizopita niliwasiliana na hii kampuni ya CONNECT 16 nikihitaji huduma ya internet kwa matumizi ya nyumbani(hasa huku remote areas) na nikapewa maelezo haya kutoka kwa mhusika: 1. Installation charges ni TZS 300,000/- 2. Monthly subscription ni TZS 75,000/- kwa package ya speed ya...
  13. R

    Msaada TTCL Copper Internet

    Habari za wakati wadau; Kwa ambao wamewahi kutumia huduma za TTC internet kwa upande wa Copper Cable connection naomba mnipe mrejesho juu ya utendaji wake ukoje katika speed na kadhalika installation cost ni sh ngapi means vifaa na ufundi total ni sh ngap nimeenda TTCL wameniambia vifaa...
  14. Vodacom internet huku kwangu inasumbua leo

    Leo internet ya Vodacom kama haiko sawa hivi. Je ni huku kwangu tu au hata huko?
  15. African Countries By The Number of Internet Users 2022

    Nchi za Afrika kwa idadi ya watumiaji wa internet. Hizi takwimu zina maanisha nini?. Tanzania ipo nyuma tu ya Afrika Kusini na Nigeria kwa nchi za kusini mwa jangwa la Sahara. Tanzania ina watumiaji wa internet millioni saba zaidi ya Kenya, Kenya haijawahi kuwa na internet penetration ya...
  16. L

    Biashara ya bidhaa za Afrika kwa njia ya mtandao wa Internet kupanua mauzo ya bidhaa za Afrika nchini China

    Fadhili Mpunji Mwezi Aprili mwaka huu shughuli nyingi ya mauzo bidhaa za Afrika kwenye mtandao wa internet ilifanyika nchini China. Wateja wa miji mbalimbali ya China walitumia muda wao kwenye simu na kompyuta zao, wakitazama, kusikiliza, kuchagua na kununua bidhaa mbalimbali kutoka nchi za...
  17. Makampuni ya simu yameamua kwa makusudi kupunguza kasi ya internet?

    Leo siku ya tatu nina experience low speed ya internet, awali nilidhani nilijua shida ni airtel nayotumia nikaunga voda bado nikapata tatizo lile lile. Nilipouliza na wengine malalamiko ni hayo hayo. Vipi kwako hali ikoje? Kama sote iko hivyo je ni maagizo ya TCRA? Maana juzi niliona...
  18. Hivi vifurushi ni ofa tu. Bei ya internet Tz kwa kutumia salio ni ipi?

    Eti wakuu, ukitumia internet bila kununua kifurushi rate yake kwa wastani ikoje?
  19. TANGA: Chuo cha Ualimu hakina huduma ya Internet

    Chuo cha Ualimu Korogwe Mkoani Tanga, pamoja na kutoa mafunzo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), lakini chuo hicho hakina huduma ya internet, hivyo kuwafanya wanafunzi wanaojitunza kozi hiyo kuwa ngumu wakati wa kufanya mafunzo ya vitendo. Lakini pia, pamoja na Serikali kujenga...
  20. Kwa waliowah tumia internet ya Net Solution

    Wakuu kwema... Kutokana na changamoto ya bando, nikawa natafuta mbadala wa voda, nikawapata hawa net solution... Wameniambia watakuja kufanya survey kama ninapokaa connection itakubali, installation wanafanya kwa 300k na vifurush vinaanzia 88k unlimited kwa mwezi. Naomba kujua kama kuna mtu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…