Habari zenu wanajukwaa, naulizia kwa anayefahamu internet service provider anayepatikana jijini Mwanza, nahitaji huduma ya internet iwe ni ya point to point au fiber connection. Internet iwe yenye kasi ya kutosha angalau 10Mbps na kuendelea.
Kujiajiri mtandaoni ni field inayokuwa kwa kasi sana. Na malipo yake kwa standard zetu ni mazuri. Yanaanza dola moja hadi kumi kwa saa. Uwekezaji mkubwa wa mtu kufanya kazi hizi ni internet na vifaa vya kazi, hasa kompyuta.
Vijana waliomaliza vyuo wanaujuzi mbalimbali wa kufanya kazi hizi...
Baraza la Haki Za Binadamu la Umoja wa Mataifa mwaka 2016 lilitambua Intaneti (Internet) kuwa ni Haki ya kila mtu.
UN inatambua, kila mtu ana Haki ya kupata na kutumia Intaneti bila ya kujali kipato chake, eneo alilopo na hali yake ya mwili (ulemavu au la).
Hata hivyo Jamii Forums...
Internet ni mfumo wa dunia wa kielektroniki unaounganisha kompyuta na vifaa vyengine vya kielektroniki vinavyokubali mfumo huo.
Mitandao ya kijamii ni teknolojia inayohusisha kompyuta ambayo hurahisisha kugawana na kusambaza mawazo na taarifa mbalimbali katika kujenga mtandao na jamii halisi...
Wanasema tupo kwenye mapinduzi ya nne ya viwanda. Hayo yanategemea sana internet.
Kwa hiyo kwa sasa internet ni kama barabara kwa umuhimu wake.
Upatikanaji wa internet unawezesha maelfu ya shughuli za kiuchumi kufanyika.
Sasa ili kukuza huo uchumi kwanini serikali hazifanyi/haifanyi internet...
Asalam wakuu natumaini wazima.
Kuna simu Samsung s6 inazingua accessibility ya internet kila nikijaribu ku surf inanambia unblock Samsung internet first hata nikitumia wi fi mziki ni uleule,naombeni ushauri kabla sija restore factory au kuiflash nifanye nini?
Manga ni riwaya picha (Kwa Kiingereza comics au graphic novels) zenye mtindo wake wa kipekee kutokea nchini Japan. Manga ni maarufu sana nchini humo kiasi kwamba kuna mamia ya maktaba zilizojaa Manga tu. Maktaba hizi huitwa Manga Kissa
Manga Kissa nyingi ziko karibu na vituo vya treni...
Simu infinix ina line ya tigo. Ikiwa kwenye 4G au 3G ukiipigia haipatikani. Hata kama umezima data. Ila ikiwa kwenye 2G simu ukiipigia inapatikana hata kama umezima data. Sasa nimeshindwa kuelewa hii kitu inakuwaje.
Naomba ufafanuzi kwenye hili.
Cc. reyzzap na Chief-Mkwawa
N.B: NI KWAJILI YA MATUMIZI YA KUONGEZA ELIMU NA TAALUMA.
Si ajabu wengi wakiwemo hata viongozi wanadhani internet ni kwajili ya upuuzi tu maana wengi kwenye hutumia internet kufanya vitu visivyo na faida mfano kudiscuss umbea kwenye magrupu, kufanya umalaya, video za x, kuwa waraibu wa muvi...
Wajamvi,
Jana wakati nashusha movies kadhaa kwa simu, nilikua na bando la internet kwenye simu ambalo nilijiunga kwa ajili ya saa 5usiku-12asbh.
Mara kadhaa nilikua nafuatilia kasi ya internet ambapo ilikua ikicheza kati ya 300-500kbs/sec.
Kwenye mida ya saa 8usk hivi nakuja kucheki speed...
Je, ni kweli kwamba Tanzania hakuna 4g?hii tunayotumia ni 3.5g na tumedanganywa na makampuni ya simu?
Wakuu nasikia hii 4g ya Bongo ni ya uongo na kwamba walichofanya wameleta tu 3g ya ulaya Marekani au China na kutuaminisha kuwa na ni 4G
Wanasema hii 4g ya Bongo ni chenga tu na ni sawa na 3G...
Kenyans will from June start experiencing faster Internet speeds as the government completes plans to increase capacity by up to tenfold.
ICT Principal Secretary Jerome Ochieng’, during a visit at the Telkom Kenya offices in Mombasa, said due to the increased Internet usage in the country, the...
Kwenu TCRA na waziri wa mawasiliano na uchukuzi, mbona mambo hayako kama ambavyo mlitaka tuamini kuwa yatakuwa?
1. Gharama ya bundle bado zinatofautiana kutoka mtandao mmoja na mwingine japo mlisema mnaweka uniformity (Sera ya Ujamaa na Kujitegemea)
2. Hakuna kushea bando kama ambavyo...
In 2020, Tanzania ranked as position 124 out of 180 countries in the World Press Freedom Index. In 2019, it was position 118 out of 180, which is 93 positions down, compared to 2018. Tanzania has witnessed a consecutive fall in the Index each year since 2016. The article “Bulldozing the Media”...
Shirika linalofuatilia upatikanaji wa huduma ya intanet la NetBlocks limesema huduma ya intaneti kwa majukwaa ya Facebook, WhatsApp na Instagram imerudi nchini Ethiopia baada ya kukosekana mwishoni mwa juma.
Taasisi ya Huduma za Habari ya Ethiopia na Kampuni inayomilikiwa na Serikali ya...
Kwanza niwape hongera kwa kuwa moja ya mitandao inayotoa huduma nyingi kwa bei nafuu,kuanzia msg,dakika , kutoa na kutuma hela kwa Halopesa.
Ila sasa mmezingwa na jambo la Kasi ya intenet kuwa ndogo sana.
Mawazo yangu nadhani kwa vile kumekuwa na wigo kubwa na wahamiaji kwenye mtandao wenu...
Kampuni ya Teknolojia ya Huawei inatarajiwa kurusha satelaiti mbili angani mwezi Julai, 2021 ikilenga kuingia katika teknolojia ya intaneti ya 6G.
Kampuni hiyo ya China imekuwa mstari wa mbele duniani kuboresha kasi ya upatikanaji wa mtandao wa intanet, hii ikiwa ni mara ya pili kurusha...
Tanzania remains the place to be for cheapest data, internet access
WEDNESDAY APRIL 28 2021
Summary
For the second year running, Tanzania is the country in East Africa where you will pay lowest to access the internet on your smartphone. PHOTO | FILE | NMG
Countries with long-established...
Mwishoni mwishoni mwa hotuba ya Rais Samia kazungumzia mambo ayaonayo mitandaoni.
Mambo ya kizushi, ya kuchonganisha, na kila aina ya uzandiki.
Ni jambo jema. Ni jema kwa sababu linaonyesha haishi peke yake kwa kujitenga kwenye puto alimo yeye tu mwenyewe.
Anafuatilia kinachoendelea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.