korosho

  1. Stroke

    Je, Uwekezaji wa Vietnam Katika Korosho Mkoani Mtwara una tija kwa Taifa letu?

    Inafahamika kwamba Vietnam ndiye mnunuzi mkubwa wa Korosho hapa nchini na muuzaji mkubwa wa zao hilo katika nchi za ulaya na Marekani. Katika mwaka 2019 alifanya biashara ya korosho yenye kiasi cha thamani ya Bilioni 3 za Kimarekani ( sawa na Shilingi Trilioni sita za Kitanzania) Katika siku...
  2. C

    Serikali ieleze mnunuzi wa korosho inalipia kiasi gani ili kupata bei halisi

    Katika hali ya wakulima kulalamika juu ya bei ndogo ya kuuzia korosho, mkulima awekwe wazi kuwa kiasi kungine amelipia viatilifu, hili hesabu yake ikae sawa. Mtindo wa kugawa viatilifu bure usirudiwe tena, kwa sababu haziendani na kiasi mkulima halisi anacholipia, pia ugawaji hauzingatii...
  3. M

    NMB acheni kutuibia wakulima wa korosho

    Wakuu,, Nina Hasira kwa kiwango Cha PGO huwezi amini. NMB nyie Ni wachamungu wezi na Kama wezi wengine tu ...licha ya kuwa na wateja wengi. Ipo hivi kwenye mabango ya malipo ya korosho huwa mnapunguza pesa kiwizi Sana huwa mnashirikiana na makatibu au mmeamua kujiongeza KUTUIBIA WAKULIMA. Mfano...
  4. Kinuju

    Mnada wa korosho wasitishwa baada ya kukosekana mnunuzi

    Gazeti la Nipashe la leo limeripoti kwa masikitiko makubwa kuwa mnada wa korosho umesitishwa baada ya kampuni za wanunuzi kukosekana! . Hii inatokea huku Nape Nnauye na Zito Kabwe waliojipambanua kama watetezi wa wakulima wa korosho na wakapiga kelele sana miaka yote mitano ya Serikali ya awamu...
  5. Pdidy

    Lindi: Wakulima wa korosho wagoma kuuza bei ya hasara, Mkuu wa mkoa wasaidie Hawa wakulima

    LEOO NIMEANGALIA WAKULIMA WANAVYOLIA LINDI KUSA M ADA KUJA NA BEI ZA HASARA KABISA KAKUMBUKA .MENGI SANA WANANCHI WA LINDI MMENUFURAHISHA SANA WALIPOFIKA MNADAN WAKAKUTA BEI ZA AJABU WALICHO FANYA N KUGOMA NA KUAIRISHA . MNADA DC NA MKUU WA MKOA NAJUA UNALIJUA HILI NAMANI KUONA UKITOA NENO...
  6. J

    Shirika la Viwango Tanzania (TBS) yapania kuongeza thamani ya ubora wa viwango vya korosho na bidhaa zitokanazo na korosho wilayani Nachingwea

    SHIRIKA LA VIWANGO TANZANIA (TBS) YAPANIA KUONGEZA THAMANI YA UBORA WA VIWANGO VYA KOROSHO NA BIDHAA ZITOKANAZO NA KOROSHO WILAYANI NACHINGWEA Na Mwandishi wetu Nachingwea Shirika la Viwango Tanzania (TBS) leo Tarehe 16 Septemba, 2021 wanatoa mafunzo kwa Wajasiriamali na Wasindikaji na...
  7. J

    TBS yatoa mafunzo kwa wajasiriamali wa bidhaa za korosho (wasindikaji na wafungashaji) - Mkoani Lindi

    TBS YATOA MAFUNZO KWA WAJASIRIAMALI WA BIDHAA ZA KOROSHO (WASINDIKAJI NA WAFUNGASHAJI) - MKOANI LINDI Na Mwandishi wetu Mkoani Lindi; Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kushirikiana na Taasisi zingine za serikali leo Tarehe 13 Septemba, 2021 wanatoa mafunzo kwa Wajasiriamali wapatao 40 ni...
  8. beth

    Kampuni ya Marekani kununua korosho zote zilizobanguliwa Tanzania

    Ubalozi wa Marekani hapa nchini umetangaza kuwa Kampuni ya Kimarekani, Ward Holdings Intl. itanunua korosho zote zilizobanguliwa Tanzania kwa bei ya juu ya soko Ubalozi huo umesema taarifa hiyo ni kubwa kwa Wakulima wa Korosho nchini na ni faida kwa Tanzania na Walaji wa Korosho nchini Marekani
  9. DENLSON

    Kampuni ya Kimarekani, Ward Holdings International, kununua Korosho za Tanzania

    Habari njema kwa wakulima wa korosho Tanzania.
  10. M

    Ushauri kwa Rais Samia kuhusu zao la Korosho msimu wa 2021

    Ndugu wanabodi wenzangu, Nimesukumwa na nia ya dhati ya kutoa ushauri wa namna tunavyoweza kunusuru anguko baya la bei ya zao la korosho kwa msimu wa 2021 unaotegemea kuanza mnamo mwezi Oktoba 2021. Korosho ni zao linauzwa nje (export crop) kwa miaka yote na hivyo huchangia katika uingizaji wa...
  11. yongpal

    Mashamba ya korosho mkoa wa Lindi

    Habarini za leo wana Jamii Forums Nilikuwa napenda kuuliza mashamba ya korosho kwa mkoa wa Lindi upatikanaji wake umekaaje na vipi gharama za kununua eneo la hekari moja. Msaada tafadhali kwa mwenye ufahamu juu ya hili.
  12. DustBin

    Serikali iwalipe wakulima wa zao la korosho madeni ya mwaka 2018

    Nawasalimu kwa jina la JMT.. Kama kichwa kinavyojieleza. Kwanza nianze kwa kusema kwmba mimi sio mkulima wa zao hilo, lakini pia sio mwenyeji wa mikoa yenye umaarufu wa kilimo cha zao hilo. Hivyo naandika haya sio kwamba nina maslahi yangu, hapana..! Nimeona niwasemee wahusika kwani nina amini...
  13. W

    Rais Samia amepiga 'hat trick' kwenye Korosho

    Na Emmanuel J. Shilatu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amepiga 'hat trick' kwenye zao la Korosho katika mambo yaliyokuwa kero na vilio vya siku nyingi vya Wakulima. I: PEMBEJEO Rais Samia ametatua kilio cha Wakulima cha pembejeo ambapo Safari hii pembejeo...
  14. beth

    Bungeni Dodoma: Nape ashinikiza Serikali kuunda Bodi ya Korosho, asema Kaimu Mkurugenzi amepewa kazi kubwa kuliko uwezo wake

    Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye ametaka kuundwa kwa Bodi ya Korosho ambayo haijakuwepo kwa miaka mitatu akihoji, nini lengo la Serikali na zao hilo? Akiwa Bungeni amesema, "Zao ambalo linaongoza kuingiza Fedha nyingi za kigeni Nchi hii mwaka wa tatu hakuna Bodi. Mkurugenzi yupo anakaimu...
  15. Clark boots

    Biashara ya kununua korosho Kanda ya Kusini (Lindi & Mtwara)

    Habari za majukumu wakuu! Nadhani humu kuna watu wanaojihusisha na hii biashara ya kununua korosho(Almaarufu "Kangomba") kule mikoa ya Lindi & Mtwara. Naomba kwa wale wazoefu basi watoe uzoefu wao kuhusu hii business. •Wakati sahihi wa kuanza kununua mzigo. •Maeneo(vijiji) haswa...
  16. Kinoamiguu

    Nanyamba: Wilaya inayotegemea zao la Korosho, wananchi wapo hoi kiuchumi

    Wakuu Salam, Nipo wilayani Nanyamba huku kusini maisha ya wananchi kiuchumi yapo hoi sana. Wilaya ya Nanyamba hutegemea korosho pekee kama zao la biashara. Hata hivyo kabla ya 2017 zao hilo liliweza kuwa mkombozi wao kiuchumi. Mwaka 2017 serikali ya CCm bila kufanya utafiti wa kutosha waliingia...
  17. Miss Zomboko

    Minada ya Korosho na ufuta kufanyika kwa njia ya Kieletroniki

    Katika kuongeza thamani ya zao la Korosho na ufuta hapa nchini serikali imesema katika msimu ujao wa uuzaji wa mazao hayo minada yake itafanyika kwa njia ya kieletroniki ambayo itaaanza mapema kabla ya minada kuanza. Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ameyasema hayo bungeni jijini Dodoma...
  18. N'yadikwa

    Marufuku ya vifungashio vya plastiki: Nawaza hivi mikate ya slice itafungashwa kwenye nini na bidhaa nyingine kama korosho nk

    Kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti la mwananchi leo nimeona tangazo la OMR Muungano na mazingira kuhusu mwisho wa matumizi ya vifungashio vya Plastiki kama vibebeo. Akili yangu ikajiuliza fasta fasta hivi ile mikate maarufu ya slesi ambayo tulikuwa tunabeba kupelekea ndugu zetu vijijini kama...
  19. Kinoamiguu

    Wananchi Mikoa ya Kusini wapo hoi bin taaban kiuchumi. Ni baada ya uporaji wa KOROSHO zao 2017

    Wandugu, Hali ni mbaya Mikoa ya kusini, Pwani, Lindi na Mtwara. Zao la KOROSHO siyo mkombozi wao tena. Ikumbukwe hapo mwishoni mwa mwaka 2017 serikali ilitangaza ununuzi wa zao la KOROSHO kwa kisingizio cha kukomesha unyonyaji kwa WAKULIMA wa zao hilo. Kwa mujibu wa wakazi wa huko tangu wakati...
  20. S

    Naomba kuelewa mapato ya acre moja ya kila zao kwa mwaka: kahawa, korosho, migomba na parachichi

    Members wakulima na wazoefu wa hayo mazao, Naomba kuelewa kama muongozo kwa ufupi mapato ya wastani kwa mwaka kwa kila zao hapo juu. Naomba tu share uzoefu wetu kwa manufaa yetu sote.
Back
Top Bottom