Juzi Ijumaa, tarehe 16 Septemba 2022 nikiwa natoka kazini nilipark gari Bunju B hii sehemu ambapo gari za Bagamoyo zinazotoka Tegeta usimama na kupakia abiria.
Nilipaki gari na kushuka kuingia dukani kwa ajili ya kujipatia mahitaji kidogo ya Familia.
Kwenye gari niliacha begi lenye Laptop aina...