Lipo tatizo la tume ya uchaguzi kuacha kuendesha uchaguzi na kubaki na taarifa za copy and paste kwa kiwango Cha data wanachoamua wao.
Huko Ushetu CCM na ACT pekee wamepigiwa kura zaidi ya laki moja na elfu sita. Kwa tuliokuwa tunafuatilia kampeni na baadaye siku ya kupiga kura lazima tujiulize...
Habari
Kiukweli nipo kweny mshangao kubwa na siamini hiki ninachokiona na sielewi nini kimetokea.
Leo alfajiri majira ya saa 11 na nusu nimeamka vzuri tu na kwenda msikitini kuswali. Na kumbukumbu zangu zipo vzur kuwa mlango wa chumba changu nimeufunga na kama kawaida funguo huwa naweka...
MALI anayochezea Diarra wa Yanga imeipiga Kenya ya Onyango wa Simba bao 5
Uganda anayochezea Aucho wa Yanga imeipiga Rwanda ya Kagere wa Simba bao Moja
Na Malawi ya Banda na Nyoni wa Simba imekufa bao 3 kwa Ivory Coast
Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni:
Huyu ndiye Bernard Kamilius Membe mgombea urais kwa tiketi ya ACT wazalendo akiwa mwana CCM.
Hili bila shaka ndiyo lile bao almaarufu la dak ya 90.
Kazi kweli kweli.
Ni Tanzania pekee ambayo watu wake ni wavivu wa kufikiri na kuwaza, nchi ambayo watu wake wanachagua kiongozi kwa sababu wamehongwa kilo moja ya chumvi halafu wamiwa hawana uhakika wa kupata hela ya mboga na ugali.
Nchi ambayo watu wake wanapenda sana uongo kuliko ukweli.
Ni nchi ambayo watu...
Maajabu 7 ya Afrika kwenye mpangilio wake kama jinsi yalivyopigiwa kura mwaka 2013.
1. Bahari nyekundu -Misri, Eritrea, na Sudan.
2. Mlima Kilimanjaro -Tanzania.
3. Jangwa la sahara- Algeria, Chad, Misri, Libya , Mali, Mauritania, Morocco, Niger, Sudan, Tunisia.
4. Kuhama hama kwa wanyama...
MMEA WA AJABU – COMFREY
Comfrey ni mmea uishio miaka mingi. Una umuhimu kama mboga zenye afya kwa familia, pia malisho bora kwa wanyama wengi. Majani ya mmea huu huweza kutengenezwa mbolea kwa ajili ya bustani. Pia mmea huu hutumika kwa tiba mbalimbali kwa binadamu.
Comfrey ni mmea...
Uchaguzi wa rangi ni muhimu sana kwanye biashara yako kuliko unavofikiria.
Rangi zinaongeza hamasa kubwa kwa jinsi wateja wanavoiangalia biashara yako na kuithamini.
Na moja ya mambo ambayo watu wengi wanakosea ni kuchagua rangi zinazofaa katika biashara zao.
Kumbika ukianza tu kutumia...
Mbunge anakunja milioni ishirini na mbili (22,000,000/=) kwa mwezi lakini halipi kodi
Mbunge huyo huyo anatunga sheria ya kodi huku yeye akijipa kinga ya kutolipa kodi!
Pesa anazolipwa Mbunge zinatokana na kodi ya ambao hata mlo moja kwa siku ni shida!
KumbeTanzania inajengwa na wazalendo...
Mtoto Charles Mathias Mbena(6) mkazi wa Kibungo Juu, Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro ameonesha kipaji cha hesabu ambapo anaweza kujumlisha na kutoa hesabu za makumi na malaki bila kutumia karatasi.
Mtoto huyo anayesoma darasa la awali katika Shule ya Msingi Nyigwa ametakiwa kufanyiwa...
Nipo kwa sebule naangalia TV, siamini ninachokiona mchumba wangu anaombewa na mwamposa apate mchumba, sielewi jamani au Mimi simfai, yaani nimechoka hadi akili, sijui nikamuulize kwanini kaenda kuombewa wakati mimi ameshanipata, sielewi
FROM FACEBOOK 😁
Dah! Yaani Kenya kuja kuifikia mbona ni safari.
========
Kenya has been ranked as the top country in the world in reducing the population with no access to electricity, pointing to the impact of the State’s focus on rural areas for nearly a decade.
The Energy Progress Report for 2021, a...
JIONEE WATU WENYE UWEZO WA AJABU NA KUSHANGAZA
Je, unafahamu kuwa watu wenye nguvu za ajabu kuliko uwezo halisi wa kibinadamu wapo? Ni kweli watu hao wapo na wengine wanaishi hadi sasa. Ni watu ambao wana vitu vya ajabu kama uwezo, nguvu na kuwa imara madhubuti. Wafuatao ni baadhi ya watu hao...
Ninakishangaa sana chama ambacho ndicho kinatakiwa kua kinara katika kutii katiba ya nchi lakini kinafumbia na kukumbatia mambo ya ajabu kabisa.
Ni uvunjaji wa sheria na katiba ya nchi kuona kiongozi wa chama cha siasa tena mwenyekiti wa Wilaya kabisa bado ni mtumishi wa umma tena ni mkuu wa...
Katika milango ya fahamu 5 ya binadamu ambayo ni
1. Masikio
2. Ulimi
3. Macho
4. Ngozi
5. Pua
Mlango wa fahamu wa sikio ndio mlango pekee unao chelewa kufa(kutofanya kazi) baada ya binadam kufa.
[emoji117] Binadamu akifa sikio huendelea kufanya kazi yaan marehem ""HUENDA"" huendelea kusikia ...
"Katika mazishi Wazee Chato walimuomba Rais Samia mkoa wakidai ni ahadi ya mtangulizi wake.kwa hekima akasema ataangalia vigezo.Kama Mbunge Mstaafu jirani Muleba Kusini najua vigezo havipo.Wazo halitekelezeki. Wazee jirani na sisi naamini tutapewa nafasi kushauri"Anna Tibaijuka
---
Anaandika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.