maambukizi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Analogia Malenga

    #COVID19 Rais Ramaphosa akutwa na maambukizi ya COVID-19

    Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amepimwa na kukutwa na Covid-19 na anatibiwa kwa dalili zisizo kali. Bw Ramaphosa alianza kujisikia vibaya siku ya Jumapili baada ya kuondoka katika ibada ya kumbukumbu ya Rais wa mwisho wa enzi za ubaguzi wa rangi wa Afrika Kusini FW De Klerk mjini Cape...
  2. Marumeso

    Hivi ni kweli Mtu anaweza kuwa anaishi na Maambukizi (HIV+) halafu hajijui?

    Umuofia Kwenu, Juzi kati kuna mshkaji wangu alikuwa na dem walikubaliana kupeana mambo. Huku na huko ukafika ule muda wa kupumzika bidada akaandaa mazingira tayari kwa kupumzika. Sasa kumbe huyu jamaa yangu alipanga wapime afya kwanza kabla ya mpambano na jamaa alikuwa na vifaa vyote vya...
  3. Frumence M Kyauke

    Fahamu dawa ya PrEP na inatumika vipi kuepuka maambukizi ya VVU

    PrEP ni nini? Pre-exposure prophylaxis au PrEP ni matumizi ya dawa za kupunguza makali ya VVU na watu wasio na VVU ili kuzuia upatikanaji wa maambukizi ya VVU. Tangu Septemba 2015, WHO imependekeza kwamba watu walio katika hatari kubwa ya kuambukizwa VVU, wanaojulikana kama watu walio katika...
  4. Analogia Malenga

    #COVID19 Maambukizi Afrika Kusini yameongezeka maradufu. Visa 8,500 vyarekodiwa ndani ya saa 24

    Afrika Kusini imerekodi ongezeko kubwa la maambukizi ya virusi vya corona ambayo yameongezeka maradufu kote nchini humo tangu Jumatatu. Maafisa wa afya wanasema aina mpya ya Omicron iliyogunduliwa inaweza kuwa inachochea kuongezeka, ingawa haijulikani wazi ni watu wangapi kati ya wenye...
  5. Miss Zomboko

    Vijana waongoza kwenye maambukizi mapya ya VVU, Wasichana ndio vinara

    Maambukizi mapya kwa vijana kati ya miaka 15 hadi 24 yamezidi kuongezaka huku wasichana wakiwa vinara katika janga hilo. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Ajira, Uratibu wa Bunge, Vijana na Watu Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, alisema hayo jana katika maadhimisho ya Siku ya Ukimwi...
  6. Kinuju

    #COVID19 Ujerumani kuongoza kwa maambukizi ya Corona inafikirisha

    Ujerumani ndiyo ilikuwa nchi ya kwanza kuchanja raia wake wote na busta juu. Inakuwaje tena inaongoza kwa maambukizi ya virusi vya corona hadi kufikia watu elfu 50 kwa siku?
  7. beth

    #COVID19 Austria: Wasiochanjwa Covid-19 kuwekwa Lockdown kudhibiti maambukizi

    Serikali ya Austria imeweka 'Lockdown' ya Nchi nzima kwa watu wasiopata chanjo dhidi ya CoronaVirus. Hatua hiyo inalenga kupunguza kasi ya maambukizi katika Taifa hilo. Mamlaka zimekuwa na wasiwasi kuhusu ongezeko la vifo, ikielezwa kuna hofu Watendaji Hospitalini hawatoweza kukabiliana na...
  8. Frumence M Kyauke

    Maambukizi ya Fangasi katika Sehemu za Siri (Vaginal Candidiasis)

    Kati ya maambukizi yanayowasumbua wanawake wengi duniani ni maambukizi ya fangasi. Inakisiwa asilimia 75 ya wanawake wote duniani hupata maambukizi haya katika kipindi cha uhai wao. Maambukizi ya fangasi katika sehemu za siri za mwanamke husababishwa na uwepo wa fangasi wanaojulikana kitaalamu...
  9. Miss Zomboko

    #COVID19 Wanaokwenda Hospitali kupata matibabu ya kawaida wako hatarini kupata maambukizi ya CoronaVirus

    Data mpya zilizotolewa Nchini Marekani zinasema Watu wanaokwenda hospitali kupata huduma za kawaida (sio za CoronaVirus) wanakuwa kwenye hatari ya kupata Maambukizi ya Virusi hivyo Data hizo zilizotolewa na Shirika la Kaiser Health News zinasema zaidi ya Visa 10,000 vilivyothibitishwa vya...
  10. MakinikiA

    #COVID19 Kumbukeni kunawa mikono na kuvaa barakoa,chanjo inachochea maambukizi haizuii watanzania

    Ndugu zanguni hali Sasa watu wamejiziuka sana eti chanjo,waliochanja ndio wanaombukiza sana na wengi wanaugua mafua ya hapa na pale lakini kwa kuwa Kinga ya miili yetu ni zaidi kuliko wale jamaa wanaohamasisha chanjo hivyo mjitahidi zile mbinu za kuepuka kuambukizwa kunawa kwa sabuni...
  11. beth

    #COVID19 Mlipuko wa COVID-19 unaweza kuongeza maambukizi ya Virusi vya UKIMWI Afrika

    Ukanda wa Afrika Magharibi na Kati unaweza kushuhudia ongezeko la maambukizi na vifo vinavyohusiana na VVU katika miaka mijayo kutokana na Huduma za Afya kuathiriwa na Mlipuko wa Virusi vya Corona. UNAIDS imesema Huduma za Afya zimeathiriwa kwa kiasi kikubwa na janga hilo, hali iliyolazimu...
  12. Analogia Malenga

    #COVID19 Maambukizi ya Covid-19 yaongezeka Uingereza kwa kutoweka Vaccine Passports

    Uingereza imerekodi takribani maambukizi mapya laki 5 kwa wiki mbili zilizopita, na vifo 223 vimerekodiwa Oktoba, 19 idadi kubwa kurekodiwa tangu mwezi Machi Uingereza imeongoza kwa maambukizi ukilinganisha na nchi nyingine za Ulaya ambazo zimelazimisha kuwa na Passport za Chanjo (Vaccine...
  13. M

    #COVID19 Hadi 07/10/2021 wananchi wa Marekani waliochanja ni 65%. Lakini maambukizi mapya ni 102,000 na vifo kwa jana ni 1,709!

    Hapo ndkpo mjue hii chanjo ya corona haisaidii kitu. Marekani ni moja ya mataifa ya kibeberu yaliyofanikiwa kuchanja zaidi ya asilimia 60 ya watu wake. Kiwango hicho kinadharia kinapaswa kuikinga jamii na maambukizi mapya kwa kuleta kitu kiitaacho "herd immunity", Lakini kwa corona hakuna...
  14. Sam Gidori

    #COVID19 Nchi 15 zisizo na maambukizi ya COVID-19 duniani

    Tangu kuripotiwa kwa kisa cha kwanza cha Ugonjwa wa UVIKO19 katika jimbo la Wuhan nchini China, maambukizi ya virusi hivyo yamepindukia visa milioni 200 huku zaidi ya watu milioni 4.5 wakipoteza maisha. Kubadilika kwa aina za virusi vya corona kama Alpha, Beta, Delta nk., kunaongeza chumvi...
  15. beth

    #COVID19 WHO: Maambukizi na vifo vya Corona vyapungua

    Shirika la Afya Duniani, WHO limesema idadi ya wagonjwa na vifo vitokanavyo na COVID-19 vimeendelea kupungua ulimwenguni katika wiki iliyopita. WHO imesema leo kuwa zaidi ya visa milioni 3.6 na chini ya vifo 60,000 vimeripotiwa kati ya Septemba 13 na 19. Kupungua kwa kiasi kikubwa cha visa...
  16. beth

    #COVID19 Maambukizi Barani Afrika yafikia Milioni 8.1

    Maambukizi Barani Afrika yamefikia Milioni 8.1 hadi kufikia mwishoni mwa wiki iliyopita huku Wagonjwa waliopona wakiwa 7,454,718 na vifo 206,202 Kwa mujibu wa Kituo na Kuzuia na Kudhibiti Magonjwa Barani humo, miongoni mwa Mataifa yaliyoathirika zaidi ni Afrika Kusini, Morocco, Ethiopia na...
  17. P

    SoC01 Jamii ya sasa na njia za kukabiliana dhidi ya maambukizi ya virusi vya UKIMWI na ugonjwa wa UKIMWI

    Kwa jamii yetu ya Sasa ni ngum Sana kumtambua mtu anayeishi na maambukizi ya virusi vya ukimwi, au mgonjwa ukimwi kwa kumuangalia kwa macho ya kawaida bila kufanya vipimo vya kisayansi MAKUNDI AMBAYO YAPO HATARINI SANA KUPATA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI; 1. Watu wanao tumia madawa ya...
  18. The Assassin

    #COVID19 Baada ya Israel kuchanja 70% ya watu wake dhidi ya Covid 19, maambukizi yarudi kwa kasi kubwa

    Nchi ya Israel hadi kufikia mwezi April 2021 ilikua imechanja zaidi ya 70% ya raia wote kuanzia miaka 12 na kuendelea. Lakini ghafla kuanzia mwezi June hadi August 2021 maambukizi ya covid 19 yamerudi upya na kwa kasi kubwa. Wataalamu wa Israel wanasema hii inatokana na kupungua kwa ufanisi...
  19. beth

    Jakarta, Indonesia: Shule 600 zafunguliwa baada ya maambukizi kupungua

    Mji Mkuu wa Nchi hiyo, Jakarta umefungua Shule zipatazo 600 baada ya Kanuni zilizowekwa kudhibiti mlipuko wa COVID19 kulegezwa. Mamlaka zimesema kiwango cha maambukizi kimepungua kutoka mwezi uliopita ambapo Taifa hilo lilitangazwa kuwa kitovu cha maambukizi ya Virusi vya Corona Barani Asia...
  20. beth

    #COVID19 WHO: Idadi ya maambukizi ya Corona duniani inaonesha ongezeko la maambukizi ni dogo ikilinganishwa na miezi iliyopita

    Baada ya Visa duniani kuongezeka kwa kiwango kikubwa kwa takriban miezi 2, Shirika la Afya (WHO) limesema hivi sasa takwimu zinaonesha ongezeko la maambukizi lipo kwa kiasi kidogo. Visa vipya zaidi ya Milioni 4.5 na vifo 68,000 vilirekodiwa wiki iliyopita ikilinganishwa na Visa zaidi ya Milioni...
Back
Top Bottom