Awamu ya tano imelalamikiwa sana kuhusiana na ukiukwaji mkubwa wa haki za watu.
Pana watu wengi wameuwawa, wamepotezwa na wengine wamejeruhiwa. Wapo ambao wamefilisiwa, wamenyanyaswa, wako magerezani au mikononi mwa dola hadi sasa kinyume kabisa na utaratibu.
Wapo waliokuwa na dhamana za kutoa...