macho

  1. T

    Kati ya Volkswagen Touareg na Harrier macho ya panzi ipi gari nzuri hapa?

    Habari wakuu. Nataka kununua gari, naomba mawazo ya uzoefu kati ya Harrier macho ya panzi na Vokswagen Touareg ni ipi nzuri ya kuchukua. Sina uzoefu wowote wa magari ya Volkswagen. Natanguliza shukrani.
  2. sky soldier

    Nimeshuhudia kwa macho yangu, biashara ya photo studio imejaa sana matukio ya ngono

    Well, hii weekend nlienda kwa mshkaji wangu tuliemaliza nae chuo kimoja, yeye baada ya kusota kitaa akajiongeza hakuenda kusoma masters akafungua studio ya picha na maisha yakawa yanaenda. Sasa huyu rafiki hadi leo hajaoa na hua namtania sana aoe aache ubachela umri unaenda na kazi anayo...
  3. kibovu

    Hospitali ya macho Mwanza

    Wakuuuu poleni na majukumu, Naombeni msaada wa hospital nzuri ya macho Mwanza inayotibu kwa bima ya afya, asanteni.
  4. Analogia Malenga

    Je, wajua rangi unayoiona unapofumba macho si nyeusi?

    Inawezekana tusiwe na jina la Kiswahili kwa rangi ambayo mtu huiona anapofumba macho, lakini rangi inayoonekana sio nyeusi Katika Lugha ya Kiingereza rangi unayoiona ukifumba macho inaitwa Eigengrau sio ‘Black’ kwa maana ya nyeusi
  5. C

    Msaada naombeni kujua bei za frem ya miwani ya macho

    Wakuu naomba kujua bei za frem za plastic za miwani ya macho ni bei gani na ninaweza kununua frem za kawaida nikapeleka waka weka lenz. Pia naomba kujua bei halisi ya miwani ya macho ya MTU asie ona umbali mrefu.
  6. Superbug

    Katika Uzi huu taja tabibu za hatari au unazoziogopa ambazo umewahi kushuhudia kwa macho

    Kwenye maisha ya mwanadamu Kuna mapito ya kusisimua Sana Sasa Uzi huu naomba tutaje tabibu za hatari ambazo tumewahi kuziona kwa macho na zinazosisimua na kuogopesha. Naanza na nilizoona Mimi binafsi. 1.Sindano ya katikati ya jicho. 2.Sindano ya mgongo . 3. Sindano ya kwenye kisigino. 4...
  7. B

    Hoteli ya Sugu iwafumbue macho vijana kuhusu nguvu ya uwekezaji

    Habari za boxing day wananchi, Sisi tulio uzeeni tunafarijika sana kuona kijana Kama Sugu ambaye ameishi maisha ya taadhari zote za kiuchumi akifanikiwa kuwekeza kwenye hoteli huku akiwa hana skendo yoyote ya wizi wa fedha za umma. Tumezoea kwa miaka mingi miradi ya vijana wa Chama cha...
  8. S

    Hilda Newton nakushauri kuwa macho na wasiojulikana

    Dada yangu Hilda, sikufahamu na hata wewe hunifahamu, ila binafsi nakusoma sana Twitter kama mmoja wa makamanda. Kabla sijaendelea, naomba kwanza nikupongeze kwa post zako na msimamo yako kwani unaonekana kupinga na kuchukia udhalimu unaoendelea hapa nchini, na katika hili la kupinga vitendo...
  9. B

    Dola ikifumba macho CCM inasambaratika

    Natabiri kifo Cha CCM kitatokana na dola kutumba macho. Chama Cha siasa kisichokuwa na wanasiasa kimekufa. CCM inakimbia kwa kasi ya ajabu sana kuikumbatia dola na kuachana kabisa na siasa. Hakuna chama Cha siasa kinachokuzwa na dola, dola inalinda tu kwa kuzingatia matakwa ya amri za mara kwa...
  10. R

    Matatizo ya macho low vision yaliyosababishwa na kuangalia TV

    Ni wiki nyingine tena bado tupo tunapambana na maisha kila mmoja na nyanja zake na humu ndani pamekuwa na somo kubwa watu wanaelimishana na kupata mitazamo tofauti sasa basi naomba niende moja kwa moja kwenye mada Nina kaka yangu mmoja ana matatizo ya macho low vision problen haoni vizuri na...
  11. Geza Ulole

    Uhuru Kenyatta akiri hadharani Big 4 Agenda ni changa la macho

  12. Nyendo

    Mbunge pekee wa CHADEMA, Aida Khenan ahudhuria sherehe za kuapishwa kwa Dkt. Magufuli jijini Dodoma

    Mbunge pekee wa CHADEMA, Aida Khenan wa Jimbo la Nkasi Kaskazini ahudhuria sherehe za kuapishwa kwa Dk John Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Aida Khenan ametoa msimamo mwingine kuwa hawezi kuwasaliti wananchi waliomchagua kuwawakilisha...
  13. Pascal Mayalla

    Uchaguzi 2020 Kuona ni Kuamini: Je, Oktoba 28, utachagua nini kati ya unachoona kwa macho kitu cha ukweli kilichopo vs ahadi tupu? Msikilize Masanja Mkandamizaji...

    Wanabodi, Sisi wana tasnia ya habari, kwenye uchaguzi huu, zaidi ya kuwahimiza watu na kuwahamasisha, hiyo tarehe 28 October, wajitokeze kwa wingi, kwenda kupiga kura, na kuitumia haki yao ya kidemokrasia, kuwachagua viongozi wanao wataka, media pia tuna wajibu wa ziada wa kuwaelimisha...
  14. EINSTEIN112

    Nimeambiwa nina Glaucoma (Pressure ya macho)

    Dk, naombeni msaada nimeambiwa nina pressure ya macho maswali yangu ni kuwa:- Je, inasababishwa na nini inaweza kupona Nini dawa yake kuna tiba mbadala. Nawasilisha
  15. Sky Eclat

    Macho ya askari yanaangalia nini?

  16. Komeo Lachuma

    TCRA huu wizi wa Makampuni ya simu mbona mmeufumbia macho? Angalieni Airtel

    Wananchi tumekuwa tukilalamika sana kuhusiana na wizi unaofanywa na mitandano ya simu. Mmeziba masikio yenu kwa Vigondo. Hamsikii.Na macho yenu mmeyavalisha miwani ya Mbao. Hamuoni. Airtel kwanza wana utaratibu ambao mimi nmeshindwa uelewa.napotaka kuangalia data bundle iliyobaki sipewi majibu...
  17. Informer

    Tanzania yakabidhiwa gawio la Tsh. bilioni 100 kutoka Kampuni ya Twiga

    RAIS wa Jamuhuri ya Muunguno wa Tanzania John Magufuli hii leo anatarajiwa kupokea gawio la Sh Bilion 100 kutoka Kampuni ya Madini ya Twiga inayomilikiwa kwa ubia na Kampuni ya Barrick Gold Mine na Serikali ya Tanzania. Tukio linafanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere...
  18. Bujibuji Simba Nyamaume

    Utamu wa picha, macho yako

  19. Komeo Lachuma

    Mambo 10 ya Kukera/Kukereketa yaliyopo katika Klabu ya Simba ambayo TFF, CAF na FIFA iyatolee macho makali

    Mambo 10 ya Msingi yanayokera nliyoyaona katika team ya Simba 1. Nasisitiza TFF ifikirie kuongeza dakika matches za Simba. Najisikia vibaya sana kuona Simba inacheza mpira huu wa kwenye game, mpira dont touch my shoes, mpira burger, pizza, sambusa, biriani, juices, maziwa,asali e.t.c Inapangiwa...
Back
Top Bottom