Mjinga mkubwa wewe, tatizo sio huyo mwanaume unayemwambia:
"Kaa mbali na mke/mpenzi/mwanamke wangu."
Tatizo ni mke, mpenzi au girlfriend wako amempa nafasi mwamba ya kuongea, kuwasiliana au kutaniana naye na kutongozwa na kuna uwezekano tayari kashampiga miti.
Shtuka adui yako ni mke au...
Nimekuwa nikisoma na kufuatilia baadhi ya visa vya kweli katika vitabu na mitandao ya kijamii vinavyohusu mahusiano na ndoa kuvunjika na moja ya sababu zinazosababisha kutokea hayo ni Mahali pa kazi.
Wake kwa waume wamekuwa wakilalamika kuachwa na mtu wake kwa sababu ya mfanyakazi mwenzie...
sio wa kike wala wakiume, wamekomaa mno.
unadhani wamekomazwa na nani, wapi?
Kabinti kanang'ang'ana na lizee jitu zima na kakijana kanang'ang'ana na jimama jitu zima..
Ni nini hasa chanzo cha hali hili isiyo ya kimaadili wala isiyo ya kawaida inayosikitisha sana mapenzini katika jamii?🐒
Habari ndugu zangu.
Miaka miwili iliyo pita nilitongoza Binti mmoja mitaa ya home akanichomolea nje.sikukata tamaa mapema nikamrudia kipindi Cha pili majibu alio nipa ni kama hapo juu kichwa nilicho andika.
NO ONE WILL DIE VIRGIN BECAUSE LIFE F&CK ALL OF US
Mtakao Sema chai nimewawekea na...
Jamani naombeni ushauri, kuna mwanamke nampenda sana nae ananipenda sana tuliahidiana kuoana., Sasa kuna changamoto imejitokeza tena kubwa sana kumbe kabla yangu, aliunganishiwaga mwanaume mwingine na wazazi wake, nayeye kwakua alikua hana mtu mwingine alikubali.
Ikaendaa yule jamaa akakaa muda...
Tarehe 22 Mei 2018 taarifa ilitoka kwenye vyombo vya habari kuwa mwanamke anayeitwa Berlina Wallace, mwenye miaka 49 amekutwa na hatia ya kumjeruhi mpenzi wake wa zamani Mark van Dongen umri miaka 29, kwa kumwagia tindikali (acid) kiasi cha kumsababishia upofu wa macho na kumuunguza sura...
Naomba kujua utaratibu wa Mtumishi wa Umma kujiunga na vyama vya wafanyakazi.
Ni halali mtumishi kuanza kukatwa mshahara wake bila idhini yake na kuchangia vyama vya wafanyakazi? Hatua gani zinaweza kuchukuliwa dhidi ya mtu au chama kilicbokata pesa ya Mtumishi bila idhini yake?
Katika dunia ya mahusiano ya kimapenzi, tofauti za umri kati ya wenzi ni jambo ambalo linaweza kuleta changamoto na fursa za kipekee. Utafiti wa kina umeonyesha kuwa tofauti hizi zinaweza kuathiri mienendo, malengo, na matarajio ya wahusiano. Nadharia mbalimbali, kama vile Nadharia ya Mwitikio...
wanawake wengi wanaona hakuna tatizo lolote kwa mwanaume kushiriki ama kuwa na viashiria vya mapenzi ya jinsia moja, kwao huchukulia ni sawa tu..
Tumeshajionea mpaka mitandaoni wanaume wanacheza vigodoro na wanasifiwa sana na wanawake, wanawake hawaoni kuna tatizo lolote.
Mwanaume anavaa...
Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza.
Kwenye pita pita zangu huko mtandaoni nikakutana na Habari ya kijana Mmoja WA ki Jerumani anataka msichana WA Kitanzania Kwa lengo la ndoa.
Nimeweka screenshot hapo chini inajieleza kabisa.
Mkitaka maelezo zaidi mnaweza kwenda kwenye account yake ipo...
Kuna mahusiano mkizaa mtoto ndiyo mnaoana na Kuna mahusiano Mimba ikishaingia tu wanaachana
Hapa ndiyo tunajifunza kuwa unaweza kuwa kwenye mahusiano ambayo huwezi jua yanahusiana na nini
Huwa namuonea huruma tu nikiwaza kama atakutana na nani, nani atakua mume wake, je? Atakutana na fedhuli au atapata noble and wise man.
Tatizo ni hivi, siku za karibuni kwenye mtandao fulani wa kijamii nimekua nikikutana maudhui ya ngono. Kusema ukweli niliingia baadhi ya account, video zite...
Habari za jumamosi wakuu, nadhani mmeamka poa.
Twenzetu moja kwa moja kwenye mada, huyu bi dada ni jirani yangu anaishi na mume wake na watoto wawili pamoja na ndugu zao inshort wanaishi familia kubwa kidogo.
Lengo la kuleta huu uzi ni kutaka ushauri maana huyu bi dada tulitokea kuzoeana mpaka...
Zingatia sana unapoanzisha mahusiano mapya
Kila mwanaume anatarajia kupata sex kutoka kwa mwanamke wake.
Ladies, Mwanaume anapokutongoza, moja ya kitu anatarajia kutoka kwako ni SEX.
Hivyo unapomwambie "Nakupenda pia" ni sawasawa na kusema hivi "Nimekubali, Na Nipo Tayari Kukupa Mwili Wangu"...
Asalam alyekum wakuu.
Eti Kwa mfano umeachana na mchumba wako (kwa sababu yoyote ile) uliyekuwa unaishi naye na akaondoka akaenda mbali huko je kama utaendelea kuishi nyumba ile ile na ukapata mpenzi mpya.
Je, ni busara kumuweka wazi mpenzi mpya juu ya previous relationship au kiume unatakiwa...
Salaaam
Ngoja⁵ tuwaweke kwa style zao. Sio lazima wawe wapenzi hata urafiki wa kawaida.
smart na mahondow
Pdidy na unique flower🤣
Heriel na donatila
Chaliiifrancisco na ephen
Mshana na faiza 😅
Mrangi na niffer
Bichwa na cocaaa🤣
Mshamba achekwi & Depal
raraa reee na Numbisa
Deep pond na Kapeace...
Hebu kuwa mkweli hapa katika hili jambo, ukiulizwa Leo kwamba mahusiano yamekupa faida gani au maendeleo yapi unawezaje kujibu
Vijana wengi tunejikita sana na kutumbukia katika hili janga la mahusiano bila kutambua faida ama hasara gani zilizopo humo
Let's majibu hapo
Habari wana JF
Bila kupoteza muda nijikite moja kwa moja kwenye kilichonifanya kuandika yumkini nikapata ufumbuzi wa changamoto yangu.
mwenzenu kuna kitu ambacho kimekuwa kikinisumbua miaka mingi sana japo kuwa mwanzoni nilikichukulia poa sana lakini kumbe nilikuwa nakosea.
Once napoamua kuwa...
Mahusiano yalinitesa sanaa Nikawa wakulialia Nikashindwa ku move on kutokana nilikuwa kipofu sikuona Mlango wa kutokea Nililuzi concentration baazi ya Mipango yangu na Mambo yangu kiujumla.
Hakikisha unatake care Roho yako, nafsi pamojah na mwili wako Jitahidi kujilinda
Hivyo jlivyo wewe ni...
Ukweli mchungu wa chanzo cha Mahusiano na Ndoa kuvunjika ni Wanawake kukataza Waume zao kuwa na Wanawake wengi bila kukumbuka kuwa Mwanaume anatulia na mke mmoja anapofikisha angalao miaka 60 hivyobasi namna ya kuenjoy mahusiano na ndoa zao wakubali waume zao kurusha risasi nje pia wasitake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.