malezi

Malezi School is a private educational institution based in Nairobi, Kenya.

View More On Wikipedia.org
  1. mama D

    Kuhani Musa Richard Mwacha - Malezi mabovu, kujamiiana hovyo kunakopelekea kukataa mimba/kutelekeza watoto ni moja ya vyanzo vya panyaroad

    Kujamiiana hovyo kunapelekea kukataa mimba au kutelekeza watoto, pamoja na malezi mabovu kwenye jamii vyanzo vya panyaroad Wengi wa hawa tunaowaita panya wana baba zao na mama zao
  2. BARD AI

    Wazazi acheni kudekeza watoto ni hatari

    Wazazi nchini wameaswa wasiwadekeze watoto, ikiwa ni pamoja na kuzuia wasifanye kazi shuleni kwani ni hatari kwao siku za usoni. Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Shule ya Msingi Rockeni Hill na Shule ya Sekondari Anderlek Ridges, wilayani Kahama, mkoani Shinyanga, Alexander Kazimili na...
  3. NetMaster

    Wakina mama wenye watoto wakiume, Haya malezi mnayojidanganya ni kuwajali watoto kiuhalisia ni hatari kwenye ulimwengu wetu wa wanaume

    Sana sana kwa wamama ambao wanalea peke yao watoto wa kiume Imefikia stage niseme tu kwamba baadhi ya wamama wanaolea watoto wao wa kiume hawana tofauti na mama kondoo anealea mtoto simba kwa malezi ya kikondoo. Ndio tunajua kwamba mnawapenda watoto wenu lakini muwe mnakumbuka hao watoto ni...
  4. R

    Mamilioni ya pesa anayotaka Jackline Mengi kwa ajili ya malezi ya watoto wake haya hapa!

    Mahakama imeeleza kuwa uamuzi wa kiasi halisi kinacholipwa lazima ufanywe kwa kuzingatia njia na hali ya maisha ya baba. Mawasilisho na viambatanisho vinadhihirisha kuwa kabla ya kifo cha marehemu alikuwa akitoa kiasi kilichoombwa kutokana na uwezo na hadhi yake. Marehemu alikuwa baba mzazi wa...
  5. JESCA DONISIANI

    SoC02 Malezi Bora suluhisho la yote

    MALEZI BORA SULUHISHO LA YOTE. Ni wazi kwamba sisi sote tumekuwa wa kwanza na wapenzi wa misemo ya kiswahili hususani "Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo", " samaki mkunje angali mbichi", " Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu". Je Hawa walimwengu ni kina nani haswa ambao watamfunza?, Je...
  6. Brainwashed

    SoC02 Aiba, malezi, maadili; kuvunja mnyororo wa uongozi mbovu

    Uongozi ndiyo kiini cha mafanikio au anguko la jamii yeyote ile. Hakuna jamii, tasisi, kampuni hata taifa ambalo mafanikio yake au anguko lake halihusishwi na uongozi wake uliyopita au uliyopo sasa. Wengi wetu tunakubalina na dhana hii, na ndiyo sababu tunakuwa wepesi kuwaanyooshea vidole vya...
  7. Jaquelines

    SoC02 Uwajibikaji Katika Malezi

    Utangulizi Uwajibikaji ni neno la Kiswahili linalotokana na neno 'wajibu' likiwa na maana ya jambo la lazima ambalo mtu au watu fulani kulifanya. Uwajibikaji wa malezi ya watoto katika familia, jamii na hata taifa zimandio hulea mabadiliko (manufaa au yasiyo na manufaa) katika jamii au taifa...
  8. prince basho jr

    Wazazi wajikite kujenga misingi bora ya malezi ya watoto wao

    WAZAZI WAJIKITE KUJENGA MISINGI BORA YA YA MALEZI YA WATOTO WAO. Kasi ya mabadiliko ya hali ya maisha imekuwa ikitengenisha wazazi na watoto wao hadi kufikia wazazi kukosa muda wa kutosha kukaa au hata kuishi na familia zao kwa muda mrefu katika Dunia ya sasa. Katika Dunia ya sasa sio jambo la...
  9. Miss Zomboko

    Changamoto za Malezi ya Watoto kipindi wakiwa kwenye Balehe

    Huu ni wakati ambao mabadiliko mengi katika mwenendo wa maisha ya mtoto hujitokeza ambayo hutokana na homoni ambazo husababisha mabadiliko ya kimwili, kiakili, kihisia, na mahusiano yake kijamii pia. Katika umri huu, watoto hufanya uamuzi wenyewe kuhusu marafiki, michezo wanayoipenda. hisia za...
  10. S

    SoC02 Muda katika malezi ya watoto na athari zake kwenye maisha ya mtoto na jamii yake

    Yaliyomo: UTOTO NA UWAJIBIKAJI WA MZAZI KATIKA MALEZI YA MTOTO MTOTO NA ELIMU MTOTO NA JAMII TABIA NA MATENDO MTOTO NA MTAZAMO WA MAISHA ATHARI ZA MALEZI DUNI UTOTO NA UWAJIBIKAJI WA MZAZI KATIKA MALEZI YA MTOTO Utoto hauepukiki lakini je watoto wengi wanafurahia utoto wao? Hali ya...
  11. R

    SoC02 Malezi ya Msanii Diamond Platnumz katika kuibua mabilionea vijana kupitia vipaji vyao

    Diamond Platnumz alizaliwa katika hospitali ya Amana iliyopo jijini Dar es Saalam tarehe 02 Oktoba 1989. Jina halisi alilopewa na wazazi wake ni Naseeb Abdul Juma. Akiwa na umri mdogo wazazi wake walitengana na alibaki akilelewa na mama yake mzazi aitwaye Sanura Kassim maarufu kama “Sandra”...
  12. Kigamba

    SoC02 Malezi ya mama pekee

    Malezi mengi ya watoto kwa sasa yamekua majukumu ya mama hili linachangiwa na sababu mbalimbali ikiwemo talaka, mimba za utoto, ubakaji,utelekezwaji pamoja na mtindo wa maisha. Katika mada ya Leo tajikita kwenye malezi ya mama kama mtindo wa maisha. Wanawake wengi wamekua wakichagua mtindo huu...
  13. Ncha Kali

    Kwa dunia ya leo na ijayo, malezi ya babu na bibi hayana tija kwa future ya mtoto

    Ni ukweli usiosemwa! Wazee wetu ambao tumekuwa tukiaminishwa kuwa ni visima vya hekima na busara, kwamba tuwasikilize na kujifunza kwao. Kiuhalisia hawana mchango wowote kwenye dunia ya leo ya sayansi na teknolojia. Malezi yao hujikita kwenye kile wanachokiita maadili na mila, na kwa wachache...
  14. kataip

    Pole mwanaume uliyeacha malezi ya damu wako ukawekeza kwa demu

    Mwanaume huna muda na wanao, mkeo na watu wako. Umepata neema miaka 10 watoto 4. Mkeo anawaangalia kwa mapenzi na kukueshimu hana out, dinner wala lunch na wanao hata akikuomba mtoke unasema una kazi nyingi. Unakutana na wasichana kwenye kazi, semina na vikao nk unavuta unawekeza, out, safari...
  15. G

    Je, haya ni malezi bora Kwa kizazi chetu cha kesho? Tujitathimini

    Amani iwe kwenu nyote wandugu. End.
  16. JanguKamaJangu

    Fisadi anaweza kutengenezwa kutokana na malezi, angalizo ni hili kwa wazazi/walezi

    "Kushindwa kuwapatia watoto mahitaji muhimu kama vile makuzi na malezi yenye kuzingatia maadili, na elimu bora ya awali tunahatarisha ustawi wa jamii ya kizazi kijacho “Hapo ni kutengeneza Mafisadi, wapiga deal, wahuni wataendelea... Samaki hukunjwa angali mbichi," Dk. Richard Shukia - Mhadhiri...
  17. A

    Kwanini kina mama tu ndio huwa wanatueleza mabaya ya baba lakini sio rahisi kina baba kueleza mabaya ya mama?

    Nimejiuliza sana, mama zetu ni wepesi sana kueleza mabaya ya baba zetu na kuyaanika wazi, kauli kama kipindi unaumwa mimi ndio nilikupeleka hospital baba yako alikuwa amelewa chakari, baba yako alikuwa akipata hela basi humuoni nyumbani n.k... Kauli za namna hiyo zimekuwa nyingi sana katika...
  18. B

    Malezi: Mnaotumia condom wasaidieni wanaopaswa kutumia P2 kesho msikose watoto

    Kununua na kutumia kondom unachangia uchumi, unadhibiti magonjwa na unalinda mimba zisizotarajiwa. Hakuna side effects kwenye via vya ndani vya uzazi na ni njia salama. 2. Watoto wangu Mnaotumia P2/ 72 hrs na nyingine nawapongeza kuchangia uchumi na kudhibiti mimba zisizotarajiwa. Ila amkwepi...
  19. heartbeats

    Walezi wa siku hizi malezi ni ziro wengi wao, hili jambo si mara ya kwanza kuliona

    Habari wakuu wenzangu Unakuta mtu yupo bize na smart phone kuliko malezi au kumjali mtoto, unakuta mtoto katundikiwa mziwa mama hajali kama mtoto ananyonya kupitia pua au mdomo ye ni bize na kuperuzi tu, Jambo lililonikera ni moja tu, nimekutana na mama mmoja ni mnenee tako iloo yani shape...
  20. Balvejmumt

    Malezi ya sasa bado siyaelewi

    Habarini wakuu, Mimi si mwandishi mzuri lakini naomba tusaidiane katika hili. Naomba nianze na visa kama viwili nilivyokutana navyo siku za karibuni Wiki mbili zilizopita, Wakati nipo mapumziko ya kimatembezi baada ya kuihudumia jamii yangu kwenye masuala ya kitabibu ndipo nilipo kutana na...
Back
Top Bottom